TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

Ukitazama quality ya matangazo hayo mawili utapata majibu
  1. Tangazo la TTCL linaonekana lipo hoi bin taabani, je tutegemee huduma bora hapo!?
  2. Tangazo la Vodacom linajitanabaisha kuwa watoa huduma wako smart
 
Inategemea na fundi aliyefanya configuration ya router wengi wanaweka band moja tu.
Ikishakuwa wifi 5 kuendelea inakuwa na band zote 2.4ghz na 5Ghz.

2.4ghz ina range kubwa ndio maana hao mafundi wanaweka kama default sababu wifi isipofika mbali utalalamika.

5ghz ina speed ila range yake ndogo, most of time hii watu hutumia kufanya Configuration za Gaming, streaming etc ndani ya Nyumba,
 
Tofauti ya TTCL Fiber na Vodacom supakasi ni thahiri mbili tu, mengine ni minor

  1. TTCL Fiber ni fixed delivery so huwezi kutumia nje ya ofisi au nyumbani wakati Supakasi Vodacom ni mobile, wireless, unaweza kusafiri nayo nk
  2. TTCL ni cheap TZS. 55k/month wakati Vodacom supakasi ni TZS. 115(4G)/month
 

Hivi hii changamoto ni kwangu tu au hadi huko kwenu.
Namaliza mwezi sasa Supakasi kupata 10Mbps ni ndoto.
 
Mfano Fiber ya TTCL ni 1TB kwenye Terms zao wameandika, ina maana uki abuse na kutumia zaidi ya 1TB kisheria wanaruhusiwa kupunguza speed.

Sijajua term za Voda zipoje.

Huku voda bwana chief mkwawa hatujawai kuona usumbufu sisi kwa mwezi nafikir tu natumia zaidi ya 3TB na hatukuwahi kukwama tuna upload na kudownload movie na bado nina download mafaili ya simu na kuna wadau jirani hapa tumewapa password hao sijui matumizi yao yakoje ila kasi tunapata ni ile ile
 
Wakuu mnaotumia supakasi ikitokea katikati apo hujalipia kama miezi miwili kunakua na shida?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…