Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ni maeneo gani?Kuna baadhi ya vifaa including Router inatakiwa kununua, washafanya survey kufikia jumatatu watakuwa wameshaniungia TTCL fiber.... Nlijaza form yao mwezi wa 6 mwanzoni, so imechukua kama miezi 2 kupata huduma...
Ntaleta feedback mchakato ukikamilika
Nyamagana, MwanzaHaya ni maeneo gani?
Walivyokuja Ku survey kwangu niliwauliza kama kuna vifaa vya kununua ili nijipange kifedha waliniambia niandae hela ya kulipia internet tu hamna gharama nyingine ambayo nitatakiwa kuchangiaVifaa vinavyohitajika
1. ODF Module 1pc @
2. Wireless router 1pc @
3. SFP 1pc @
4. Media Converter 1pc @
5. Coupler 1pc @
6. LC pigtail 1pc
7. SC-LC patch cord 1pc @
8. FC-LC patch cord 2pcs @
9. Data cabinate 4U 1pc @
So far vifaa vyote hapo wanavyo except SFP na SC-LC patch cord na router. Data cabinet 4U pia unajinunulia... So gharama ya ziada sidhani kama itazidi 250000
Huu ndo utaratibu hata me walinambia hivyo, Ila chenga zikaanza. Ndo wakaingiza hizo swaga za kununua router na SFP... Sina namna na huduma nahitaji, nikafungua pochiWalivyokuja Ku survey kwangu niliwauliza kama kuna vifaa vya kununua ili nijipange kifedha waliniambia niandae hela ya kulipia internet tu hamna gharama nyingine ambayo nitatakiwa kuchangia
Sent from my CPH2015 using JamiiForums mobile app
Lakini ulifanikiwa kufungiwa?! Upo maeneo gani?!Huu ndo utaratibu hata me walinambia hivyo, Ila chenga zikaanza. Ndo wakaingiza hizo swaga za kununua router na SFP... Sina namna na huduma nahitaji, nikafungua pochi
Wameniletea vifaa ninavyo hapa kazini, walikuwa waje leo ila imeshindikana mpaka keshoLakini ulifanikiwa kufungiwa?! Upo maeneo gani?!
Barikiwa saaananimewacheki hapa ttcl kwa namba yao wakanipa namba nikapiga wamesema kimara wapo hadi mlandizi wamefika mana pia wamechukua detail zangu wamesema watanipigia ili surveyor aje
namba yao ni hii kwa ttcl fiber 0733000060 ukipiga hii watakueleza kila kitu
Kwahiyo ni unlimited mwezi mzima kweli? Unaperuzi mwezi mzima kwa hiyo 60k?Ttcl unyama sana saizi hope utapatiwa huduma nzuriii mkuu
Sanaa ni ww tu n fiber Iko na speed nzuriii sanaaaKwahiyo ni unlimited mwezi mzima kweli? Unaperuzi mwezi mzima kwa hiyo 60k?
Tena wajinga haswaBasi TTCL wakishindwa kuitumia hiyo fursa ku supply internet kote na kuteka soko la internet nitawaona wajinga
Hili sasa ni balaattcl fiber kifurushi cha 100,000/-
20mbps up, 40mbps downView attachment 2305769View attachment 2305770
Hii 55k unlimited naifunga mwaka huuTatizo gharama. Ukifanya uchunguzu utagundua unatumia elf 3 nyingi sana ku keep up na LTE hio. Maana kama mtumiaji almost kila siku utajiunga ukicheki kwa siku 1O utakuwa ushamaliza 3OK sasa si bora uunge 55,OOO UNLIMITED
Hii ya 55k kustream sio unlimited kwa mwezi mzima?Sio hio ya kuunga bundles wanayo ya fixed Kwa mwezi 115k ambayo Iko vzr sana kustream unlimited kabsa
Tatizo hao jamaa hawako serious Mkuu,huwez amini nina karibu mwezi tangu nijaze fomu lakini hata surveyor sijamuona. Hapa nasubiri mpk December nikiona kimya navuta tu supakasi,ni gharama Sana lkn sio wababaishaji km Ttcl. Hili shirika inatakiwa lifumuliwe wafanyakazi wake wamelala sanaHii 55k unlimited naifunga mwaka huu
Am talking about supakasi internet boss wang toka Vodacom Io ya Ttcl sjajua badoHii ya 55k kustream sio unlimited kwa mwezi mzima?
Tatizo hao jamaa hawako serious Mkuu,huwez amini nina karibu mwezi tangu nijaze fomu lakini hata surveyor sijamuona. Hapa nasubiri mpk December nikiona kimya navuta tu supakasi,ni gharama Sana lkn sio wababaishaji km Ttcl. Hili shirika inatakiwa lifumuliwe wafanyakazi wake wamelala sana
The issue is hawako serious na wanachotaka fanya tatzo TZ hujuma nyng kla Kona shda aniKha! Kwan shida itakua wateja wengi sana ama wataalamu wachache? Yan kampuni kubwa wanafanya procrastination ya ajabu
Wanafanya kazi kwa mazoeaKha! Kwan shida itakua wateja wengi sana ama wataalamu wachache? Yan kampuni kubwa wanafanya procrastination ya ajabu