Wewe huelewi mambo ya siasa.Kwani nani anakwambia kuna hata shirika moja la serikali linamake profit.zile zilikuwa ni mbwembwe za kisiasa ambazo zilikuwa obvious.hapa nazungumzia hiyo point ya negative net assets iliyoletwa na mtoa maada akimnukuu HasungaSijui kama umeelewa hoja ya mleta thread au uccm umekula ubongo wako. Hoja ni kwamba ttcl wakati WA ngosha walikuwa wanatoa gawio lakini Leo wanadai Wana deni lisilolipika. HATA atcl hivyohivyo lakini kumbe zilikuwa mbwembwe.
Hakuna shirika lolote la serikali lililowahi kufanya vzuri Zaidi ya kubebesha mzgo watanzania.
Maccm must go to hell.
Ni jpm pekee anajua deni hilo limetoka wapi na fedha zilikwenda wapi.Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imesema Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limelemewa na deni la Sh403 bilioni ilhali mtaji ilionao ni wa Sh243.
Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Japhet Hasunga amesema hayo jana Jumatano Oktoba 20, 2021 baada ya kuipitia ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2019/20 ambapo amesema wamebaini kuna viashiria katika Shirika hilo kutofanya vizuri kwakuwa lina mtaji hasi wa Sh132 bilioni na madeni makubwa kuliko mtaji wake.
“Hicho ni kiashiria kuwa bado shirika haliendi vizuri. Shirika letu linalipa hadi kodi lakini mapato yao hayajaingizwa katika vitabu vyao,” amesema Hasunga.
=====
Pamoja na nia njema ya JPM, mashirika ya umma yamekuwa yanakula pato la Taifa bila kuleta tija. Tubaki na Tanesco yenye maslahi mapana ya Taifa, haya mengine tukihitaji uzalendo tuwape wafanyabiashara wazawa wajaribu bahati yao.
TTCL ndio ina mkongo wa Taifa wa Data, pamoja na advantage hiyo kibiashara wameshindwa kabisa kutawala soko la internet, yaani mwingine ananunua kutoka kwao halafu anawagaragaza sokoni, tumeshindwa.
Kwann wasibinafsishe au waingie ubia na kampuni zinazoeleweka.
Magufuli aliikuta TTCL imeshajifia miaka mingi tu iliyopita. Amehangaika nayo mpaka hapo ilipofika. Awamu wa sita nao wafanye kitu kwa TTCL tuone.Bwana yule ameiingiza hii nchi hasara kubwa
Hivi wale waliopokonywa koroshow zao tayari washalipwa ama bado uhakiki wa mashamba unaendelea kule kaburini Chato
Sitegemei jipya. Ila yeye an afadhali hajifanyi Mungu kama yule dhalimu.samia akimaliza mda wake subiria ripoti ingine
ni kama li zombi tu yani ni marehemu aliyefufuka japo hayupo sawa,kwa sasa tunaweza kuthubutu kusema Ttcl imefufuka ukilinganisha na mwaka 2016 kurudi nyumaLimeshafufuka?
Hata kwa nyundo siendi
Ngoja tuwasubiri labda watakuja na majibu sahihi
Limeshafufuka?
Hizo ngonjera kawaambie mazuzuUtarudi tu, ni suala la muda tu.
Hivi ubahabari Tanesco haijawahi kupata faida tangu limeanzishwa??? Tanesco linafanya kazi nje ya nchi eti??? Tulikuwa tunaishi zama za ulimbukeni sanahilo ni shirika la serikali, serikali haiwezi kupata hasara ikifanya biashara ndan ya nchi yake
Hivi ubahabari Tanesco haijawahi kupata faida tangu limeanzishwa??? Tanesco linafanya kazi nje ya nchi eti??? Tulikuwa tunaishi zama za ulimbukeni sana
Sitegemei jipya. Ila yeye an afadhali hajifanyi Mungu kama yule dhalimu.
If a company's liabilities exceed its assets, this is a sign of asset deficiency and an indicator the company may default on its obligations and be headed for bankruptcy. ...
Red flags that a company's financial health might be in jeopardy include negative cash flows, declining sales,
and a high debt load.
So based on what is happening at Ttcl, it's definite that the company is already in the limbo ready only for the interment. Next on the list will be Atcl, another of the remaining white elephant 🐘 projects draining the country's coffers.
TTCL,ATCL,TANESCO etc yaani yote yanaaingiza hasara serikali...Tunajifunza ni nin hapo? Serikali haiwezi kufanya biashara!! Wakusanye Kodi tu!
yaani mtu ashakata moto miezi imeisha bado mnaumia kichwa mkiskia tu ilo jina, kosa lake ni lipi mpaka unamwita dhalimu