TTCL ina deni la bilioni 403 ilhali mtaji bilioni 243

If a company's liabilities exceed its assets, this is a sign of asset deficiency and an indicator the company may default on its obligations and be headed for bankruptcy. ...

Red flags that a company's financial health might be in jeopardy include negative cash flows, declining sales,

and a high debt load.

So based on what is happening at Ttcl, it's definite that the company is already in the limbo ready only for the interment. Next on the list will be Atcl, another of the remaining white elephant 🐘 projects draining the country's coffers.
 
Wewe huelewi mambo ya siasa.Kwani nani anakwambia kuna hata shirika moja la serikali linamake profit.zile zilikuwa ni mbwembwe za kisiasa ambazo zilikuwa obvious.hapa nazungumzia hiyo point ya negative net assets iliyoletwa na mtoa maada akimnukuu Hasunga
 
Ni jpm pekee anajua deni hilo limetoka wapi na fedha zilikwenda wapi.
 
Kwann wasibinafsishe au waingie ubia na kampuni zinazoeleweka.

Hili shirika si waliuziwa wahindi wakijulikana kama CELTEL na ISSA ambae ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa bodi ya TANESCO akiwa ndio dalali wa kuliuza shirika? Magufuli alipoingia akawalipa hela zao na kulirudisha shirika serikalini na kutangaza kuwa shirika lilikuwa linatengeneza faida na kutoa gawio kwa serikali!!!

Imekuwaje sasa shirika lililosifiwa na Magufuli hata miaka miwili haijapita linakuwa na madeni kuliko mtaji wake?
 
Bwana yule ameiingiza hii nchi hasara kubwa

Hivi wale waliopokonywa koroshow zao tayari washalipwa ama bado uhakiki wa mashamba unaendelea kule kaburini Chato
Magufuli aliikuta TTCL imeshajifia miaka mingi tu iliyopita. Amehangaika nayo mpaka hapo ilipofika. Awamu wa sita nao wafanye kitu kwa TTCL tuone.
Tusibeze juhudi za JPM kuifufua TTCL. Alijitahidi kwa wakati wake
 
TTCL ndio mtandao pekee ambao hauna huduma ya 4G ndani ya baadhi ya makao makuu ya mikoa

Hizi hasara zinatoka wapi kama huduma shindani hawana!

Au ndio wale wakurungezi wanajigawia tu mishahara!
 
TTCL,ATCL,TANESCO etc yaani yote yanaaingiza hasara serikali...Tunajifunza ni nin hapo? Serikali haiwezi kufanya biashara!! Wakusanye Kodi tu!
 
hilo ni shirika la serikali, serikali haiwezi kupata hasara ikifanya biashara ndan ya nchi yake
Hivi ubahabari Tanesco haijawahi kupata faida tangu limeanzishwa??? Tanesco linafanya kazi nje ya nchi eti??? Tulikuwa tunaishi zama za ulimbukeni sana
 
Hivi ubahabari Tanesco haijawahi kupata faida tangu limeanzishwa??? Tanesco linafanya kazi nje ya nchi eti??? Tulikuwa tunaishi zama za ulimbukeni sana

Huezi kuripoti loss report kwenye shirika linalomilikiwa 100% na serikali, huo ni upumbavu na ujinga wa hali ya juu na kutokujua aspect za uchumi, ni sawa sawa na zile hospitali znazotoa huduma bure vijijini kuziandikia balance sheet kwamba znapata hasara! Deni linalomatter ni la nje, hakunaga deni la ndan ya nchi linatumika kama siasa na sio ukweli wenyewe
 
Sitegemei jipya. Ila yeye an afadhali hajifanyi Mungu kama yule dhalimu.

yaani mtu ashakata moto miezi imeisha bado mnaumia kichwa mkiskia tu ilo jina, kosa lake ni lipi mpaka unamwita dhalimu
 

ni TTCL ndo anaekufanya mpaka unaandika comment apa, akiamua kuanza kujiendesha kwa faida hutakaa uguse mtandao
 
TTCL,ATCL,TANESCO etc yaani yote yanaaingiza hasara serikali...Tunajifunza ni nin hapo? Serikali haiwezi kufanya biashara!! Wakusanye Kodi tu!

bana weee, serikali haiwezi kutengeneza loss katika uchumi unaoumiliki, TTCL inaweza kuendelea kuwepo miaka yote unlike ATCL ambayo itatoka nje ya nchi hence kuhitaji foreign currency
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…