TTCL inadai Tsh Bilioni 21 ila haijui inayemdai

TTCL inadai Tsh Bilioni 21 ila haijui inayemdai

TTCL inatoa huduma za simu za mezani. Simu ambazo hufungwa majumbani na maofisini. Madeni hayo ni madeni ya siku nyingi wakati wa enzi zile hakuna simu za mkononi wala teknolojia haijaendelea kama sasa. Kwaiyo wateja hao wengi wamefunga biashara na wamehama kwenye makazi yao na wengine wamefariki. Kiufupi ni madeni ambayo huwezi ku trace mdaiwa. Sasa huwezi kuyaondoa tu kwenye vitabu vya mahesabu, kuna taratibu zake ndio maana madeni yanasomeka mpaka leo.
Hii kali
Kwa hiyo hizo simu za nyumbani hata majina hayakuwepo hata kwenye register tu manually daftari la stationery Ili Wayatoe vyombo vya habari kama wako hai au walikufa wapatikane

Kwa hiyo hadi madaftari walipoteza
 
TTCL inatoa huduma za simu za mezani. Simu ambazo hufungwa majumbani na maofisini. Madeni hayo ni madeni ya siku nyingi wakati wa enzi zile hakuna simu za mkononi wala teknolojia haijaendelea kama sasa. Kwaiyo wateja hao wengi wamefunga biashara na wamehama kwenye makazi yao na wengine wamefariki. Kiufupi ni madeni ambayo huwezi ku trace mdaiwa. Sasa huwezi kuyaondoa tu kwenye vitabu vya mahesabu, kuna taratibu zake ndio maana madeni yanasomeka mpaka leo.
Utakuwa TTCL wewe jamaa. Haya peleka majibu kwa Kichere. Utetezi wa kipuuzi huu ndio maana hata odita akakupuuza
 
Kwani enzi zile walitoa gawio la pesa ngapi? huenda ndo mzigo wanaoutafuta.
 
Hapana, you can keep track za unayemdai kupitia records za huduma. Hizo sababu ulizotaja ni minority tu. Kuna uzembe mahali

Hilo shirika for past 15 years limekuwa likitoa huduma mbovu but no body was paying attention
Ukiwa umekaa nyuma ya keyboard ni rahisi kuongea utumbo kama huu. Hata mashirika binafsi na hata mabenki yanakopesha Watu na baadae wanashindwa ku trace wadaiwa. Ni vile wao hawatangazi tu kwa sababu za kibiashara. Hata mitandao mingine ina post paid customers ambao baadae hawawi traced. Ni vile mmekariri kukosoa tu hamjui ugumu wa kazi field. Utamtrace mtu aliyekuwa anatumia P.O Box 4 Nzega mwaka 1980? Hilo box sasa hivi anatumia huyo huyo mtu? Kwanza yupo hai? Bado anaishi Nzega? Shirikisha brain kaka
 
Hawa watu sijui ni wanamdharau mama au ni nini hiki?
Yani inawezekanaje usimjue mdeni wako?

--
Ukaguzi wa CAG umebaini TTCL ina madeni makubwa ya TZS bilioni 21, lakini uongozi haukuweza kutambua wadaiwa husika. Shirika hilo limetoa pendekezo kwa bodi kufuta deni la bilioni 7.51.



Tawala ya CCM hakyanan ishafitinika, na haiwez ifikisha Nchi yetu popote kwa style hii!!
 
Hii kali
Kwa hiyo hizo simu za nyumbani hata majina hayakuwepo hata kwenye register tu manually daftari la stationery Ili Wayatoe vyombo vya habari kama wako hai au walikufa wapatikane

Kwa hiyo hadi madaftari walipoteza
Kubali kuwa management ya TTCL ya sasa na hata iliyopita na iliyopita ilikuta ripoti kama hii. Madeni haya ni tangu serikali ya Mwinyi kurudi mpaka kwa Nyerere. Wakati wa Mkapa wakaanza kutumia System na kuhama kutoka manual work . Kuna several system migration zimefanyika zikashindwa kucapture baadhi ya records . Hakuna kiongozi wa TTCL wa sasa wala aliyepita wala aliyepita zaidi aliyesababisha hii loss. Besides viongozi wamepambana kuhakikisha madeni yamekuwanywa lakini imekuwa ngumu mno.
 
Wadaiwa sugu wa TTCL, wanaombwa kujitokeza.
 

Attachments

  • IMG-20240403-WA0039.jpg
    IMG-20240403-WA0039.jpg
    80.7 KB · Views: 2
Hahaaa hii nchi mbona safari bado ndefu. Ukiwakuta hao wanaosimamia hizo taasisi wamechomekea,tai kwasana na vijitambi vyao wengine. Halafu unaambiwa habari kama hii. Huwezi amini
 
Halafu utakuta hiyo TTCL bado Ina CEO anatembelea V8. Nchi ya kijinga sana hii.
 
Back
Top Bottom