Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
TTCL (Shiriki la mawasiliano la Tanzania) leo ni mara ya nne nakatwa pesa kila niingizapo vocha kwenye simu.
Mie huweka vocha tatu za shs 1,000/= ili nijiunge na kifurushi, cha ajabu naweka vocha ya kwanza haikatwi ya pili inakatwa ya tatu haikatwi.
Mara ya tatu usiku nilijaribu kununua bando kupitia T-pesa ikashindikana, ikanibidi kuongeza salió kwanza kupitia T-pesa napo nikakatwa.
Mara zote nawapigia na wananirekebishia. Sasa ntaendelea kuwapigia mpaka lini kila niongezapo vocha???
Mie huweka vocha tatu za shs 1,000/= ili nijiunge na kifurushi, cha ajabu naweka vocha ya kwanza haikatwi ya pili inakatwa ya tatu haikatwi.
Mara ya tatu usiku nilijaribu kununua bando kupitia T-pesa ikashindikana, ikanibidi kuongeza salió kwanza kupitia T-pesa napo nikakatwa.
Mara zote nawapigia na wananirekebishia. Sasa ntaendelea kuwapigia mpaka lini kila niongezapo vocha???