TTCL kero hii itaisha lini?

TTCL kero hii itaisha lini?

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,703
Reaction score
1,724
TTCL (Shiriki la mawasiliano la Tanzania) leo ni mara ya nne nakatwa pesa kila niingizapo vocha kwenye simu.
Mie huweka vocha tatu za shs 1,000/= ili nijiunge na kifurushi, cha ajabu naweka vocha ya kwanza haikatwi ya pili inakatwa ya tatu haikatwi.
Mara ya tatu usiku nilijaribu kununua bando kupitia T-pesa ikashindikana, ikanibidi kuongeza salió kwanza kupitia T-pesa napo nikakatwa.
Mara zote nawapigia na wananirekebishia. Sasa ntaendelea kuwapigia mpaka lini kila niongezapo vocha???
 
Back
Top Bottom