Pre GE2025 TTCL, TCRA, Posta, UCSAF na PDPC watoa ujumbe wa kwaheri kwa Nape baada ya kutenguliwa

Pre GE2025 TTCL, TCRA, Posta, UCSAF na PDPC watoa ujumbe wa kwaheri kwa Nape baada ya kutenguliwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sio woga. Ni kwamba si kazi yako. Mamlaka zinatengua, ni jambo lisilo la kushangilia, unapongeza aliyetenguliwa.......unampongeza kwa sababu gani? Kwa achievement ipi?
Yeah yaan aliemtengua amefanya makosa Ila bado TCRA na PDPC mboni wamepongeza sijaona Jabiri wala yule boss wa PDPC wakipigwa chini, huu upendeleo ndio nini mboni wengine TTCL, Posta na hao wengine wamekula mweleka why TCRA na PDPC wameachwa na wamepongeza mtu alietenguliwa? Kwako Chura .kiziwi hii imekuaje hii nasikia harufu ya upendeleo hapo Watoto wote wamekosea adhabu kwa wote Chura kawachapa watatu wawili kawaachia what is this?
 
Yeah yaan aliemtengua amefanya makosa Ila bado TCRA na PDPC mboni wamepongeza sijaona Jabiri wala yule boss wa PDPC wakipigwa chini, huu upendeleo ndio nini mboni wengine TTCL, Posta na hao wengine wamekula mweleka why TCRA na PDPC wameachwa na wamepongeza mtu alietenguliwa? Kwako Chura .kiziwi hii imekuaje hii nasikia harufu ya upendeleo hapo Watoto wote wamekosea adhabu kwa wote Chura kawachapa watatu wawili kawaachia what is this?
Waangalie walivyo na tofauti Yao na akina maharage
 
Waangalie walivyo na tofauti Yao na akina maharage
No, Wote inabidi wachezee mboko haiwezekani uwaadhibu Hawa alafu Hawa uwaache huo ni upendeleo wa Wazi, twende kwenye VAR Wote wamempongeza kwanini Wote wasipewe Red Card?
 
Back
Top Bottom