Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Mtoto wa kiume umecha hoja unajikita kwenye mipasho 😀Kwahiyo mla kungu ana nongwa ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto wa kiume umecha hoja unajikita kwenye mipasho 😀Kwahiyo mla kungu ana nongwa ?
Hojo ni nini binti?Mtoto wa kiume umecha hojo unajikita kwenye mipasho 😀
Kungu Shoga!Hojo ni nini binti?
Nimeoa tayari na sipo tayari kumsaliti mkewanguKungu Shoga!
Hahahha hizo kauli za watu wa upinde tumezoe kuzikia.Nimeoa tayari na sipo tayari kumsaliti mkewangu
Binti unajitoa akili makusudi mimi naitwa mnachihanguuHahahha hizo kauli za watu wa upinde tumezoe kuzikia.
Mtoto wa kiume unaitwa changuuu kuna nini tena.
😅
Unaitwa Changuuu mtoto wa kiume unajua mambo ya kungu kama siyo punga ni nini.Binti unajitoa akili makusudi mimi naitwa mnachihanguu
Kungu niliwaona watoto wa kizanzibar wanazitumia akiwemo huyo mama yako mama ngekewaUnaitwa Changuuu mtoto wa kiume unajua mambo ya kungu kama siyo punga ni nini.
Changu bana unapenda kungu😀Kungu niliwaona watoto wa kizanzibar wanazitumia akiwemo huyo mama yako mama ngekewa
Mla kungu a.k.a mama ngekewaChangu bana unapenda kungu😀
You're right! Maamuzi ya mamlaka kuu ya nchi hayajadiliwi, kuhojiwa, au kuzungumzwa kwa namna yoyote kwa dhana au mwelekeo ulio kinyume na context ya mamlaka hiyo tena na vyombo vilivyo chini yake!Na mm napendekeza bodi yote, mkurugenzi mkuu wango'ke haraka saana. Ni utovu wa nizamu kujadili maamzi ya ikulu hasa kama anatengua teuzi.
KwaniniNi kweli hawakuwa sahihi kufanya vile.
Changuu bana😀Mla kungu a.k.a mama ngekewa
We jamaa unapenda ligi zisizo na uelekeo!Changuu bana😀
Bana"hili neno linaandikwa na watoto wa kike wewe endelea kula kungu hizoChanguu bana😀
Bado Akina mama WA Mtama wanamsubiri watandike kanga apite. Viongozi WA Mtama kuweni macho. Safari hii mama hatanii.Lile V8 la nape limesepa na kijiji mpaka na ofisi za waziri.