Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Unaweza ukaiandika jambo la maana sana ila ukaharibu Kwa maneno machache sana mathalani unapoandika neno " na mkewe akiwa kitandani"...unaharibu sana jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WamejukanyagaWanaukumbi.
Huu siyo utaratibu wa Serikali Rais anamtengua Waziri kisa Bodi inatoa Tangazo.
MUNGU AMEAMUA UGOMVIHuyu utaona kero atakazoanzisha akifikiri atarudishwa tena. Mama alikosea sana kuwarudisha hawa watu magufuli aliwatema.
Zile dharau na kejeli walisikika wakimtolea kiongozi aliyeheshimika sana sio na watanzania tu ila afrika na dunia hawakustahili kuaminiwa tena na chama cha mapinduzi... ila tu kama mama alikua anaona walikua sawa kumdharau magufuli na kumkejeli.
Mojawapo ya kutokubalika mama na wengi ni kuwarudisha hawa wenye chuki na magufuli
Wapuuuzi sana hawa, akilli za maharagwe hiziWanaukumbi.
Huu siyo utaratibu wa Serikali Rais anamtengua Waziri kisa Bodi inatoa Tangazo.
Naona kama kichwa cha habari kinapingana na mtazamo wa maelezo yako ndani. Unakubali kuwa walichokifanya ni utonvu wa nidham, kisha hukubaliani na utenguzi wa waziri kufuatia wizara ilichokifanya. Anyway, wote hao niserikali, rais na waziri wote ni serikali,acha wawajibishaneWanaukumbi.
Huu siyo utaratibu wa Serikali Rais anamtengua Waziri kisa Bodi inatoa Tangazo.
Amekosea neno kisha aka andika kisa!Naona kama kichwa cha habari kinapingana na mtazamo wa maelezo yako ndani. Unakubali kuwa walichokifanya ni utonvu wa nidham, kisha hukubaliani na utenguzi wa waziri kufuatia wizara ilichokifanya. Anyway, wote hao niserikali, rais na waziri wote ni serikali,acha wawajibishane
Hata mimi bado sijaelewa. Kama kosa ni kumuaga kwa tangazo.TCRA na PDP wamechomokaje?
Tcra wamoTCRA na PDP wamechomokaje?