Pre GE2025 TTCL, TCRA, Posta, UCSAF na PDPC watoa ujumbe wa kwaheri kwa Nape baada ya kutenguliwa

Pre GE2025 TTCL, TCRA, Posta, UCSAF na PDPC watoa ujumbe wa kwaheri kwa Nape baada ya kutenguliwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wanaukumbi.

Huu siyo utaratibu wa Serikali Rais anamtengua Waziri kisa Bodi inatoa Tangazo.

IMG_7063.jpeg

PIA SOMA
- News Alert: - Utenguzi wa Baadhi ya Viongozi wa TTCL, Posta na UCSAF
 
Huyu utaona kero atakazoanzisha akifikiri atarudishwa tena. Mama alikosea sana kuwarudisha hawa watu magufuli aliwatema.

Zile dharau na kejeli walisikika wakimtolea kiongozi aliyeheshimika sana sio na watanzania tu ila afrika na dunia hawakustahili kuaminiwa tena na chama cha mapinduzi... ila tu kama mama alikua anaona walikua sawa kumdharau magufuli na kumkejeli.

Mojawapo ya kutokubalika mama na wengi ni kuwarudisha hawa wenye chuki na magufuli
MUNGU AMEAMUA UGOMVI
 
Wanaukumbi.

Huu siyo utaratibu wa Serikali Rais anamtengua Waziri kisa Bodi inatoa Tangazo.
Naona kama kichwa cha habari kinapingana na mtazamo wa maelezo yako ndani. Unakubali kuwa walichokifanya ni utonvu wa nidham, kisha hukubaliani na utenguzi wa waziri kufuatia wizara ilichokifanya. Anyway, wote hao niserikali, rais na waziri wote ni serikali,acha wawajibishane
 
Hivi huko TTCL ndipo alipo Ma-beans CHAN -DE?
Nataka kuchora Delta kila pembe ya Delta jina member wa genge Millet-Marope-Mabeans..
Juu yao yupo El Patron Cha-mukwere pesa ya mbongo Chief.
Ila naona Cha-Mukwere El Patron kapoozwa kiduchu ni vile mrithi wake kapewa upaji mkubwa.
 
Naona kama kichwa cha habari kinapingana na mtazamo wa maelezo yako ndani. Unakubali kuwa walichokifanya ni utonvu wa nidham, kisha hukubaliani na utenguzi wa waziri kufuatia wizara ilichokifanya. Anyway, wote hao niserikali, rais na waziri wote ni serikali,acha wawajibishane
Amekosea neno kisha aka andika kisa!
 
Back
Top Bottom