Pre GE2025 TTCL, TCRA, Posta, UCSAF na PDPC watoa ujumbe wa kwaheri kwa Nape baada ya kutenguliwa

Pre GE2025 TTCL, TCRA, Posta, UCSAF na PDPC watoa ujumbe wa kwaheri kwa Nape baada ya kutenguliwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Na mm napendekeza bodi yote, mkurugenzi mkuu wango'ke haraka saana. Ni utovu wa nizamu kujadili maamzi ya ikulu hasa kama anatengua teuzi.
Ila Nape kaipamba sana TTCL yaani hakuna cha maana alichofanya ukiachilia kupandisha bei ya vifurushi mana kuzindua minara mara sijui minini.
Ila mkurugenzi wa Ttcl sijui kama watamuondoa maana jamaa ajenda yake kwenye shirika ni #FiberMlangoniKwako ila vifaa vyenuewe hawana, kasi y kusambaza ni ndogo ilhali wanapokea ruzuku toka serikalini, huduma za T PESA ovyo, huduma ya wateja ovyo, kupiga simu ovyo, bando za SMS ndio balaa kwa mwezi Tsh 2000 wanakupa SMS 1500 na bado
 
"Salami" ndiyo nini enyi TTCL?
Hata kuhariri taarifa zenu kabla ya kutoa hewani hamuwezi? Mnaweza nini sasa?

TTCL ni jipu. Rais atumbue hii body na management yake maana hawana maadili ni jipu lenye usaha
DG na BOARD ya TTCL inajua Nappe kaonewa, na ndio maana wametoa hiyo tangazo.
Rais asikae kimya, lazma cheo cha urais kiheshimiwe.
 
mI SIONI TATIZO HAPA NI NINI.WAMETOA SHUKRANI KWA KUFANYA KAZI VIZURI NA NAPE HAKUNA CHA AJABU HAPA
SASA MLITAKA WAFANYAJE ???
 
Back
Top Bottom