James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 1,984
- 3,695
Mbona yupo humu ana id yake fekiNdio DG wa TTCL aje JF kufafanua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona yupo humu ana id yake fekiNdio DG wa TTCL aje JF kufafanua.
Aende mikocheni jionii ofisi za jf akajieleze otherwise kesho haifiki anatumbuliwa.Mbona yupo humu ana id yake feki
Ila Nape kaipamba sana TTCL yaani hakuna cha maana alichofanya ukiachilia kupandisha bei ya vifurushi mana kuzindua minara mara sijui minini.Na mm napendekeza bodi yote, mkurugenzi mkuu wango'ke haraka saana. Ni utovu wa nizamu kujadili maamzi ya ikulu hasa kama anatengua teuzi.
Anatumbuliwa na huku JamiiForums auAende mikocheni jionii ofisi za jf akajieleze otherwise kesho haifiki anatumbuliwa.
ameonyesha insurbodination.
Nappe anasoma Law pale Open University, labda ameomba likizo afanye mitihani.Tena wa Butimba TTC. Butimba si high school bali kituo cha kufanyia mitihani tu.
Sawa kabisa, ni OUT tu ndipo anaweza kupata degree ya mchongo na hasa kama angekuwa na huo wadhifa. Akiwa likizo hiyo degree ataisikia kwenye vyombo vya habari tu.Nappe anasoma Law pale Open University, labda ameomba likizo afanye mitihani.
James Hadley Chase siku hizi hutoi Novel Mpya, sijui imekuwaje.Nappe anasoma Law pale Open University, labda ameomba likizo afanye mitihani.
Huu ni kama woga hiviNimewashangaa, ukiona "uteuzi umetenguliwa" wewe tulia kimyaaa
Nipo kuzimuJames Hadley Chase siku hizi hutoi Novel Mpya, sijui imekuwaje.
DG na BOARD ya TTCL inajua Nappe kaonewa, na ndio maana wametoa hiyo tangazo."Salami" ndiyo nini enyi TTCL?
Hata kuhariri taarifa zenu kabla ya kutoa hewani hamuwezi? Mnaweza nini sasa?
TTCL ni jipu. Rais atumbue hii body na management yake maana hawana maadili ni jipu lenye usaha
Waliitana kuchota poshoBoard ya Wakurugenzi ya TTCL imeitisha kikao leo Asubuhi kujadili suala la Nape na kuja na hii Pongezi?
Watasema walikuwa wanatania tu.Wameandika Salami lakini sio salamu
Na jamaa alidokeza hayo. Kwamba anayo makampuni yote ya simu na hivyo kupata pesa ya kulijenga lile soko ni kazi rahisi sana " kwani shilingi million 300 kwao ni pesa kidogo sana"Waliitana kuchota posho
Kuelekea 2025; Mama angefika na nchi ya BAIDOA na akamalizia na nchi ya SINGLE DAR watanganyika wangemfuata kwa mguu na ngoma na matarumbetaKuelekea 2025 🐼
Hata kipindi cha Ndugulile pia walitoa tangazo kama hiloDG na BOARD ya TTCL inajua Nappe kaonewa, na ndio maana wametoa hiyo tangazo.
Rais asikae kimya, lazma cheo cha urais kiheshimiwe.