Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
- Thread starter
- #41
DG alitumbuliwa.Hata kipindi cha Ndugulile pia walitoa tangazo kama hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DG alitumbuliwa.Hata kipindi cha Ndugulile pia walitoa tangazo kama hilo
Waziri Ndugulile alitumbuliwaDG alitumbuliwa.
political motivation.Waziri Ndugulile alitumbuliwa
YeahJe walitoa kwa watangulizi wao pia?
wameliwa kichwa.Je walitoa kwa watangulizi wao pia?
Nchi hii wapuuzi ni wengi sana. Sasa walichokifanya kina kuathiri nini?
Simpendi Nape ila unachokisema mleta mada ni roho ya kishetani!
Ndo roho zenyewe za kishetani hizo. Mtu akiambiwa asante weww inakuathiri nini?
DG wa TTCL na Wenzake waliotoa pongezi na kufanya insurbodination kwa Mh Rais walikaa kimya, wakadharau maoni ya Watanzania, mama kafanya yake. Urais ni TAAISISI lazma iheshimiwe.Ndio DG wa TTCL aje JF kufafanua.
Inamdhalilisha Rais ambaye hakutoa sababu ya kuwaondoa, hivyo yeye ndio mamlaka kuu hakosolewi na subordinate wake.Ndo roho zenyewe za kishetani hizo. Mtu akiambiwa asante weww inakuathiri nini?
Sheria ipi katika nchi hii inasema Rais hakosolewi?Inamdhalilisha Rais ambaye hakutoa sababu ya kuwaondoa, hivyo yeye ndio mamlaka kuu hakosolewi na subordinate wake.
Kaa kwa kutulia kama upo unauza machungwa barabarani hujui sheria za utumishi w aUmma.
Hizo nafasi watapewa wazanzibarSheria ipi katika nchi hii inasema Rais hakosolewi?
Kumshukuru mtu kwa utumishi inamaanisha kumkosoa Rais?
Kuishi kwa kuhisi hisi vitu vibaya ni dalili kuu ya incompetency.
Hiyo ni inferiority character!
Omba kanuni za utumishi wa umma na viongozi ujifunze usikaze fuvu kama la watumbuliwa jombaa, elimika!Sheria ipi katika nchi hii inasema Rais hakosolewi?
Kumshukuru mtu kwa utumishi inamaanisha kumkosoa Rais?
Kuishi kwa kuhisi hisi vitu vibaya ni dalili kuu ya incompetency.
Hiyo ni inferiority character!
Wazanzibar ni Watanzania tu kama watanzania wengine, mama ni msikivu.Hizo nafasi watapewa wazanzibar
Ziweke hapaOmba kanuni za utumishi wa umma na viongozi ujifunze usikaze fuvu kama la watumbuliwa jombaa, elimika!