TUACHANE KUANZIA LEO

TUACHANE KUANZIA LEO

Mimi nilimkalia kimya bila kujibu baada ya hapo kaniomba sana msamaha na sikumjibu mpaka leo
 
Anayeacha hasemi hizo ni blah blah za mapenzi..!! 😹🤣🤣

Kuna mmoja alimtumia demu wake tuachane, demu akamtumia pic za papa, jamaa akamwambia typing error uko wapi babe 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom