Tuachane na yote. Hili suala ni la muhimu sana kujiuliza.

Tuachane na issues nyingine nk. Nakuuliza mdada wa JF. Kama nawe umewahi tuliza makalio yako ukapata muda wa kutafakari jambo hili.

Kwa mfano Usipoolewa. Umejipangaje?
Nitaishi kama ninavyoishi mpaka sasa [emoji1787] au bac
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…