Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
And the opposite is not trueUkiwa kwenye ajira unaweza kujiajiri pia
By the way vyote vinahitaji high degree of commitment!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
And the opposite is not trueUkiwa kwenye ajira unaweza kujiajiri pia
Kweli ccm hamnazo ss hapo usichokielewa nn au mpaka uandaliwe ubao ufundishwe(Halaf ,Haikut,serikalin,so )rekebisha hayo maneno Kisha tuendelee na mjadala husika itakuwa ngumu sana Kwa mtu kama wewe kuweka akiba kutokana na mshahara wakati hayo maneno yanakushinda kuandika.
Messi,ronaldo.Mimi mkinionesha tajiri aliyeajiriwa basi .....
Kawaida ya jeshi mzee ni cheo.Ujinga ni pale unapoanza kufokewa au kukemewa. Nimewahi shuhudia mtu mzima anarushwa kichura jeshini na kijana mdogo wa kumzaa.
[emoji1666]Highest form ya utumwa ni ya consciousness. Unajengewa picha ya kuwa bila mkoloni wewe ni bure. Bora mtumwa mwenye shibe kuliko mtu huru mwenye njaa. Unachoandika fear of responsibility that comes with freedom. You just want to be there conforming in comfort. Moja ya highest forms za maisha ni leaving a mark in the world. You can't do this while employed. In fact ukiwa employed inasaidia wengine ktk kuacha mark. Unakuwa foot soldier.
Having said that, sio kila mtu ana vinasaba hivi and it's in order of the natural selection. Wengine watajiajiri wengine wataajiriwa, wengine wataongoza na wengine wataongozwa.
Ndio advantage ya biashara ulipo...ikisha kaa stable una enjoy ila before hapo unahenyeka na kumenyeka mpaka unatamani kukufuru
Utasikia Job SecurityUncle bright
Braza Mimi ni mtumishi wa umma kwa muda wa miaka 11 (since 2012)
Nilianza chini sanaa kutoka ofisa wa chini sanaa mpaka sasa Nina haka la masters.
Ila pia ni mfanyabiashara kwa miaka mi 2 sasa (2021).
In nutshell:-
Ni Bora kubwa sanaa kujiajiri kwenye biashara kuliko ajira ya serikali.
Na muda mwengine najuta kwanini sikuanza biashara mapema.
Ajira na hasa hii ya serikali ni UFALER MKUBWA SANAAA.
#YNWA