Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Unapo zungumzia gesi ni tofauti sana na mafuta katika swala zima la uhifadhi na usafirishaji.
Ili kuweza kuisafirisha gesi nje ya nchi unahitaji miundo mbinu ya kuweza kuibadilisha kuwa kimiminika.
Ikiwa katika hali ya kimiminika ndipo unaweza kuipakia kwenye meli ikiwa kwenye mitungi maalumu na kuisafirisha hadi nje ya nchi.
Mbaya zaidi huwezi kujenga bomba la gesi kutoka Tanzania hadi ulaya. Pesa utakayotumia itakua kubwa sana kuliko faida utakayoipata.
Mara nyingi mabomba ya kuisafirisha gesi asilia hujengwa katika umbali mfupi mfano mkoa hadi mkoa au wilaya hadi wilaya.
Sasa unapomsikia mtu anasema bomba zimechimbwa kutoka Mtwara hadi Ulaya unawaza hivi inawezekanaje? Unakuja kugundua labda kunatatizo katika elimu hii ya mafuta na gesi.
Gesi ya Mtwara bado ipo zaidi itaanza kuzalishwa mpaka LNG plant itakapokua imejengwa.
Hii inayozalishwa sasa ni kiasi kidogo tu.
Karibuni kwa maswali sasa
Mengineyo:
Kwa ushauri kuhusu maswala ya gesi na mafuta pia karibuni.
Nakukumbusha nyumba yako itakua salama endapo kama mtungi wa gesi ya kupikia (LPG) utahifadhiwa mahali penye hewa ya kutosha nje ya nyumba yako, na kupitisha mpira wa gesi kupitia ukutani au dirishani mpaka kwenye jiko lako jikoni.
Pika salama lala kwa amani bila hofu.
Mawasiliano: 0747744895
Agiza gesi ya kupikia mahali ulipo kupitia hapa: Campus City Shopping Mall - Online Shopping for Popular Electronics, Fashion, Home & Garden, Toys & Sports, Automobiles and More.
Ili kuweza kuisafirisha gesi nje ya nchi unahitaji miundo mbinu ya kuweza kuibadilisha kuwa kimiminika.
Ikiwa katika hali ya kimiminika ndipo unaweza kuipakia kwenye meli ikiwa kwenye mitungi maalumu na kuisafirisha hadi nje ya nchi.
Mbaya zaidi huwezi kujenga bomba la gesi kutoka Tanzania hadi ulaya. Pesa utakayotumia itakua kubwa sana kuliko faida utakayoipata.
Mara nyingi mabomba ya kuisafirisha gesi asilia hujengwa katika umbali mfupi mfano mkoa hadi mkoa au wilaya hadi wilaya.
Sasa unapomsikia mtu anasema bomba zimechimbwa kutoka Mtwara hadi Ulaya unawaza hivi inawezekanaje? Unakuja kugundua labda kunatatizo katika elimu hii ya mafuta na gesi.
Gesi ya Mtwara bado ipo zaidi itaanza kuzalishwa mpaka LNG plant itakapokua imejengwa.
Hii inayozalishwa sasa ni kiasi kidogo tu.
Karibuni kwa maswali sasa
Mengineyo:
Kwa ushauri kuhusu maswala ya gesi na mafuta pia karibuni.
Nakukumbusha nyumba yako itakua salama endapo kama mtungi wa gesi ya kupikia (LPG) utahifadhiwa mahali penye hewa ya kutosha nje ya nyumba yako, na kupitisha mpira wa gesi kupitia ukutani au dirishani mpaka kwenye jiko lako jikoni.
Pika salama lala kwa amani bila hofu.
Mawasiliano: 0747744895
Agiza gesi ya kupikia mahali ulipo kupitia hapa: Campus City Shopping Mall - Online Shopping for Popular Electronics, Fashion, Home & Garden, Toys & Sports, Automobiles and More.