Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lilivyolala chiniNiliona nilicheka sana eti kaambiwa na Bi ubwa
Yaani shape yake yule mzee inaniacha hoi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alivyo tumbo na chura kubwaa anachekesha sana na akiongea sasa kwa mbwembwe
Eti mayasa njoo unifungueUkimsimamisha na bi ubwa lazima ucheke
Yashaanza mbonaNasubiria hapa marudio nione
We nae umeanza vizuri ila mbele umeyakanyaga...sasa kupaka mkongo inahitaji uwekezaji gani??kupaka mkongo, ili ugundue nini, unawekeza kwenye vitu vya kipumbavu, shukuru vile Mungu kakuumba endelea kuishi na kutimiza jukumu uliloitiwa duniani.
Waafrika wengi wetu hatujui purpose ya kuwepo duniani, tupo tu..ndio maana tunafanya mambo yasiyo na tija.
Sijui itakuwa nzuri Kama beki3 alijitahidiKwa kweli
Ngoja tuone hiyo ya kina Chuchu inayokuja
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]me tu shape yake Kwanza ndo inaniacha hoi kile kibinda[emoji1][emoji1]Eti naenda kwa mpenzi wangu Bi Ubwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji38][emoji38][emoji38]jamaniAlivyo tumbo na chura kubwaa anachekesha sana na akiongea sasa kwa mbwembwe
Beki tatu alijitahidi sanaSijui itakuwa nzuri Kama beki3 alijitahidi
[emoji38][emoji38][emoji38]ila kimbembe anajua kuigiza nayeKimbembe na mfupa wa samaki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2]bi ubwaa!!Bi Ubwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti piganeni
Uwanja ulee mweupe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Humo kwenye mfuko umebeba Nini?
Anajibu eti nywele zako[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]
Ya leo hiyo🤣🤣🤣🤣[emoji2][emoji2][emoji2]bi ubwaa!!
Nimecheka huyo mzee milanzi anamwimbia mkewe eti asiyejua kusoma nimjinga kabisa barua ikija huitembeza kutwa[emoji2][emoji2]
Wamekutana pipa na mfuniko🤣[emoji38][emoji38][emoji38]ila kimbembe anajua kuigiza naye