Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀Bhna tumechoka kutusimangaWana harufu fulani watu wanayotumia hayo madude hawajui tu haswa manywele yananuka , sometimes unakuta binti anajikuna Kuna machawa kibao wengine hawazioshi kabis hata mwezi
Anasema labda upo kwenye sifuri[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nitaangalia kesho marudio sikuweza angalia mwayaaa
Yaani nilicheka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Anasema labda upo kwenye sifuri[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aghrr ndo hapohapo bongo movie wanapofeli unakuta stori inaanza vizuri mwishoni sasa utopoloYa Fundi sule huku mwisho imepoa
Inaboa..
Kama imechacha hivi.
Namuona tu Peter na yule msichana wake.
Hawajui kwakweliHawajui kutunga stori
Fundi ni hovyo sana aiseeAghrr ndo hapohapo bongo movie wanapofeli unakuta stori inaanza vizuri mwishoni sasa utopolo
[emoji23][emoji23]Yaani nilicheka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Finishing mbovu mnoHawajui kwakweli
[emoji2][emoji2]Uzuri ndio inaishaFundi ni hovyo sana aisee
Natamani hata waitoe.
Ila nahisi inaishia wiki hii.
Siyo peke yako dyaa me mwenyewe nikasema mbona Kama siielewi sahivi hii fundi yaani sijui wanakwama(ga) wapiFinishing mbovu mno
Sijui ni mimi tu naona hivyo[emoji848]
Yaani haieleweki, inachosha hatari.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]halafu nilidhani katukana hapo[emoji23][emoji23]
Mayasa anamwambia nenda njaa ikufilimbe[emoji23][emoji23]
Kumbe tupo wawili 😂😂😂Siyo peke yako dyaa me mwenyewe nikasema mbona Kama siielewi sahivi hii fundi yaani sijui wanakwama(ga) wapi
Kwa kweli[emoji2][emoji2]Uzuri ndio inaisha
Eti naenda kwa mpenzi wangu Bi Ubwa🤣🤣🤣[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]halafu nilidhani katukana hapo
Eti naenda kwa mpenzi wangu Bi Ubwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Juzijuzi anamwambia umeniuliwa wanangu wewe nakufa mgumba🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],eti naomba unaizalie mtoto,
sasa we bwana mi mtoto namtoa wapi wakati sina kizazi
Ina maana mi nitakufa mgumba [emoji1787][emoji1787]