Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sijaangalia jamani!!Zahanati
Bi Star anamwambia kimbembe
Naona una sura ya uwaziri mwanangu
Kama siyo uwaziri basi ukuu wa mkoa hukosi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Zahanati
Bi Star anamwambia kimbembe
Naona una sura ya uwaziri mwanangu
Kama siyo uwaziri basi ukuu wa mkoa hukosi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijaiona jamani ni leo au
Mbona makasirikoNa kujichua
Angalia marudio[emoji1787]
Azam one mm mzito kuwekaNitaangalia kesho marudio
Saa tatu naangalia second chance azam one
inaozaje na kwann hatuwez ona kwa machoLazima watoe harufu Kwa sababu Ili ngozi itoke lazima ipitie kuoza kwanza japo hatuwezi kuona Kwa macho yetu
NdiyoHivi nyimbo iloimbwa kwenye kosa moja ameimba recho kizunguzungu eti?
Najua Basi!!..natania sijichubui mpendwaUnapaka kipako gani bibie