Tuache kujichubua

We nae umeanza vizuri ila mbele umeyakanyaga...sasa kupaka mkongo inahitaji uwekezaji gani??
Bora hata sisi na mkongo kuliko wazungu wanaotengeneza na Kutumia Viagra za viwandani kabisa.
 
Bi Ubwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti piganeni
Uwanja ulee mweupe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]

Humo kwenye mfuko umebeba Nini?
Anajibu eti nywele zako[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji2][emoji2][emoji2]bi ubwaa!!

Nimecheka huyo mzee milanzi anamwimbia mkewe eti asiyejua kusoma nimjinga kabisa barua ikija huitembeza kutwa[emoji2][emoji2]
 
[emoji2][emoji2][emoji2]bi ubwaa!!

Nimecheka huyo mzee milanzi anamwimbia mkewe eti asiyejua kusoma nimjinga kabisa barua ikija huitembeza kutwa[emoji2][emoji2]
Ya leo hiyo🤣🤣🤣🤣
Umeona Ombeni anavyoingia chooni😂😂😂
Bi Ubwa😂😂😂😂😂🙌
 
Reactions: ABJ
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…