Tuache kujichubua

Ushaona kitovu chake kilivyoharibika kwaajil ya surgery ya tumbo
Duuuuh mama tiffah mbna kajiharibu hvyo?? Kuna mtu aliwahi nambia tumbo La zari akivua nguo unamkimbia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ndo maana hapost siku hizi.
 
Duuuuh mama tiffah mbna kajiharibu hvyo?? Kuna mtu aliwahi nambia tumbo La zari akivua nguo unamkimbia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ndo maana hapost siku hizi.
 

Attachments

  • DBD2246E-5343-49D5-817F-987CE618FC23.jpeg
    109.4 KB · Views: 23
Bora uwaambie ukweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanafiki sana hawa.
ni wanafiki tu,,,. hayo maneno wansemaga wakiwa hawana hela ngoja wazipate sasa
 
Hisia zangu, watu wamepumbazwa na kukosa ubunifu wa urembo. imebaki dhana ya kuwa mweupe peee na rangi za kung'arisha mwili pia kuumusha partially/artificial or permanent some parts of the body. Tujifunze mbinu za urembo ambazo ni sahihi kwa mazingira yetu ya kitanzania. Nakupenda na hongera sana Mama yangu popote ulipo.
 
Kupanga ni kuchagua Ke wabongo kapanga kula bata miaka 10 kisha afe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…