Tuache kujichubua

Tuache kujichubua

Ushaona kitovu chake kilivyoharibika kwaajil ya surgery ya tumbo
Duuuuh mama tiffah mbna kajiharibu hvyo?? Kuna mtu aliwahi nambia tumbo La zari akivua nguo unamkimbia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ndo maana hapost siku hizi.
 
Duuuuh mama tiffah mbna kajiharibu hvyo?? Kuna mtu aliwahi nambia tumbo La zari akivua nguo unamkimbia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ndo maana hapost siku hizi.
 

Attachments

  • DBD2246E-5343-49D5-817F-987CE618FC23.jpeg
    DBD2246E-5343-49D5-817F-987CE618FC23.jpeg
    109.4 KB · Views: 23
Hisia zangu, watu wamepumbazwa na kukosa ubunifu wa urembo. imebaki dhana ya kuwa mweupe peee na rangi za kung'arisha mwili pia kuumusha partially/artificial or permanent some parts of the body. Tujifunze mbinu za urembo ambazo ni sahihi kwa mazingira yetu ya kitanzania. Nakupenda na hongera sana Mama yangu popote ulipo.
 
Airport Dar (Julius Nyerere International Airport) kila siku Wachina hushuka na Wake zao lakini huwezipata Ke wa kichina wamefungasha maumbile bandia ya miili wasiwe kimbaumbau kiasilia kuliko Ke wa Bongo wasivyojiamini kwa uzuri wa maumbile yao ya asili hadi kulazimisha kuwa na;

✓ Matako na hispsi feki/bandia tokana na;

* Kupata dawa.

* Kuchoma sindano za kuumua sehemu hizo.

* Kameza vidonge.

* Kafanyiwa plastic surgery.

✓ Wigi (nywele za maiti).

✓ Kajichora chora mitatuu mwilini.

✓ Kajiwekea mipini puani kama ng'ombe.

✓ Kajiwekea mikope bandia.

✓ Kajiwekea mikucha mireeefu hadi ashindwe kujichamba chooni.
✓ Kapakaa rangi nyekundu kwenye lipsi za midomoni kama katoka kunywa damu ya Mtu.
✓ Kavaa skin tights za vigodoro kujaladia hispsi na matako bandia.

MADHARA:

1. Nyeti za miili (K) kuwa na maji mengi, ubaridi.

2. Kansa za kizazi, damu, ngozi n.k.

3. Ke kupoteza hamu ya kujamiiana na mwenzi.

4. Ke kuzeeka na kukongoroka mapema kwa mbabuko wa ngozi na makalio kushuka.

Bongo tunakwama wapi?
Kupanga ni kuchagua Ke wabongo kapanga kula bata miaka 10 kisha afe
 
Back
Top Bottom