Muhidumie pia sio hujaoa unataka joto bure bureMuache na mizinga pia...
Ucheusi mangala wake ndio mzuri
Saivi mabadiliko kidogo muhimu.Ucheusi mangala wake ndio mzuri
Komaeni alafu muone hiyo miili mipya kama mtapewa😂Saivi mabadiliko kidogo muhimu.
Nasikia Ile siku ya mwisho tutapewa miili mipya so wacha tujiachie huku ni mapito
Na tukipewa tutakutumia selfie utuone tulivyoKomaeni alafu muone hiyo miili mipya kama mtapewa😂
Nipo nimekaa pale selfika 😂Na tukipewa tutakutumia selfie utuone tulivyo
Wee kaone 🤣🤣Nipo nimekaa pale selfika 😂
Sawa, usituonee donge tu🤣Nipo nimekaa pale selfika 😂
😅Yaani mwili mpya mpewe nyie donge nione mimi, hapanaSawa, usituonee donge tu🤣
Ndio nashangaa kujichubua tujichubue Sisi af kutukataza utukataze wewe😅Yaani mwili mpya mpewe nyie donge nione mimi, hapana
Binafsi nachukia wanaojichubuaKwakweli acha niendelee kuung’ang’ania ucheusi mangala wangu kama matokeo ndio haya.
Sipendi sasa usimchubue DepalNdio nashangaa kujichubua tujichubue Sisi af kutukataza utukataze wewe
Abaki na makopo yakeKashajichubua yupo kopo la 3 linamalizikia, too late
Dah mwamba akamfungia maliwato huyu maza[emoji38][emoji38][emoji38]View attachment 2526029
View attachment 2526030
Ngozi inaharibika sanaa ukizeeka pia Mbona kuna wabibi wana ngozi nzuri sanaa na wamezeeka tuache kutumia vipodozi vikali
Mwanaume atakupenda tu hata ukiwa wa njano au mwekundu ukiona hajakupenda jua sio wako ,wako yupo tu atapenda rangi yako maana wanawake wengi wanahangaika kujipodoa sababu ya wanaume
Muhidumie pia sio hujaoa unataka joto bure bure
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ni wanafiki tu,,,. hayo maneno wansemaga wakiwa hawana hela ngoja wazipate sasa