spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Mimi pia mkuu hata weee kukuona ni miezi sasaYawezekana…ninamuda sana sijaona mwandiko wako
Rafiki habari za leoDah anatisha kwa kweli
Safi za kwakoRafiki habari za leo
Ulinifurahisha siku ile.Safi za kwako
Siku gani mpendwa😁😁Ulinifurahisha siku ile.
Ya jamaa anayeishi South Afrika na ni upinde wa mvuaSiku gani mpendwa😁😁
Yule sio jamaa ni Mwanamke msagaji kazi yake kuhamasisha wanawake waingie kwenye Ushetani wake,Nilifurahi walivyo mpa ban.Ya jamaa anayeishi South Afrika na ni upinde wa mvua
Lakini ulipambana naye kisawasawa. Wewe ni mwanamke wa shoka.Yule sio jamaa ni Mwanamke msagaji kazi yake kuhamasisha wanawake waingie kwenye Ushetani wake.
Siku ile nilijua nitapata ban kama zawadi maana kanajikuta ujinga wake ni sawa kusifia humu.Lakini ulipambana naye kisawasawa. Wewe ni mwanamke wa shoka.
Mkwe salia kwenye mada tafadhali.Muache na mizinga pia...
Wengi wana JF wasingekuwa wanafiki na kupambana na hao jamaa kama wewe, ujinga huu ungefutika. Lakini wengi ni wanafiki. Imagine mvulana kama cocastic anasifiwa na wanawake kwa upuuzi wake. Hii si sawa. Angalikuwa ni mtoto wako, ungefurahia akunjwe?Siku ile nilijua nitapata ban kama zawadi maana kanajikuta ujinga wake ni sawa kusifia humu.
Uliyo mtaja hapo hajulikani ni Mme au mke yeye kazi yake Jf ni kusifia Ufilauni basiii huwa nashangaa watu wanao msapoti.Wengi wana JF wasingekuwa wanafiki na kupambana na hao jamaa kama wewe, ujinga huu ungefutika. Lakini wengi ni wanafiki. Imagine mvulana kama cocastic anasifiwa na wanawake kwa upuuzi wake. Hii si sawa. Angalikuwa ni mtoto wako, ungefurahia akunjwe?
Culture Me alipigwa ban. Kwa kawaida huwa napambana naye. Ulinifurahisha ulipompa offer ya kumpa mume wako.Uliyo mtaja hapo hajulikani ni Mme au mke yeye kazi yake Jf ni kusifia Ufilauni basiii huwa nashangaa watu wanao msapoti.
Baada ya kuona nampa ukweli wake akaja na uwongo wake eti nilimfata pm yaani niombe kitu kwake nigombane nae jukwaani kwanza ningeogopa kwa kujua ataniumbua nisingejaribu kutaka vita nae alijua akiandika vile ataniumiza 😁Culture Me alipigwa ban. Kwa kawaida huwa napambana naye. Ulinifurahisha ulipompa offer ya kumpa mume wako.
Baada ya kuona nampa ukweli wake akaja na uwongo wake eti nilimfata pm yaani niombe kitu kwake nigombane nae jukwaani kwanza ningeogopa kwa kujua ataniumbua nisingejaribu kutaka vita nae alijua akiandika vile ataniumiza [emoji16]
Kila mtu mwenye akili alijua huo ni uongo!Baada ya kuona nampa ukweli wake akaja na uwongo wake eti nilimfata pm yaani niombe kitu kwake nigombane nae jukwaani kwanza ningeogopa kwa kujua ataniumbua nisingejaribu kutaka vita nae alijua akiandika vile ataniumiza 😁
Ulifutwa! Mkuu ila ungebaki kwa rejeaIlikuwaje na uzi Upo ?au umefutwa?
Uzi ulifungwa ila hukufutwa nimesahau jina.Mbona nilipitwa uzi gani nikasome?
Nadhani upo ila umefugwaIlikuwaje na uzi Upo ?au umefutwa?