Tuache kujichubua

Tuache kujichubua

Uliyo mtaja hapo hajulikani ni Mme au mke yeye kazi yake Jf ni kusifia Ufilauni basiii huwa nashangaa watu wanao msapoti.
Njoo unikague mwayaaa ili uje uwathibitishie waja mie nna kikojoleo kipi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wee usio taka ufilauni si ukae pembeni, vipi nimewahi kukushawishi uingie kwa huo ufilauni???

Hangaika na mambo yakoooo.
 
Ehee mwauja na ombeni
Siku moja yule mama mnene alodumbukia shimoni akawakuta kwenye stoo ya dawa nae akamuambia omben hivi huoni saizi zako?tafuta saizi yako
Yule nesi mwenye upara eti tatizo mwauja nataka sitaki nataka sitaki ukitaka takaaaaa
Nilitaka niseme
Mimi pale alinichekesha alivyowapush[emoji1787][emoji1787]
Sasa na lile shepu lake mimi hoi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani yule mama ndo ananifanya niangalie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilitaka niseme
Mimi pale alinichekesha alivyowapush[emoji1787][emoji1787]
Sasa na lile shepu lake mimi hoi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani yule mama ndo ananifanya niangalie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Anachekesha sanaa
 
Mi hatia ilinishinda jamani nikaacha kuangalia mwanzon ilikuwa nzuri
Vipi unaangalia ya kina Barris na feliz
Hatia ilikuwa bonge la mchezo
Yule Maya[emoji119]
Aliupiga mwingi sana yule Mama.

Mwingine aliyecheza vizuri ni Tom London
Hasa kile kipande cha live band walivyokuwa wanaimba Tom eeh Tom eeh Tom eeh Tom landani
Lilivyokuwa linajitupa kucheza,huku linamwaga hela[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Hiyo nyingine siangalii.
Naangalia marudio ya moyo,niliipenda.
 
Yaan amepata kabisa ugonjwa wa ngozi hivi huyu na mama salma kikwete nani atakuwa mkubwa?
Ana nundu nundu
Halafu amekongoroka sana[emoji19]
Unajua nilishindwa kumtambua kuwa ni Dotnata hadi nilivyokuja kusoma huu uzi.
 
Jana anavyomshukuru Tausi baada ya kupewa mkate[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani Bi Ubwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Bi ubwa ni noma...
IAlikua hataki kuwadischarge wale wtt waloungua ili aendelee kunywa uji wa wagonjwa na,chakula chao..
😄 😄 😄 😄 😄
 
Bi ubwa ni noma...
IAlikua hataki kuwadischarge wale wtt waloungua ili aendelee kunywa uji wa wagonjwa na,chakula chao..
😄 😄 😄 😄 😄

😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom