Tuache kujichubua

Tuache kujichubua

View attachment 2526029
View attachment 2526030
Ngozi inaharibika sanaa ukizeeka pia Mbona kuna wabibi wana ngozi nzuri sanaa na wamezeeka tuache kutumia vipodozi vikali

Mwanaume atakupenda tu hata ukiwa wa njano au mwekundu ukiona hajakupenda jua sio wako ,wako yupo tu atapenda rangi yako maana wanawake wengi wanahangaika kujipodoa sababu ya wanaume
Wanaofanya hivyo ni watu wasiotaka kutambulika kama ni vikongwe,wazee,vijana au watoto 😂😂😂.Na huenda wakawa wezi kwani wanaficha sura zao kwa namna hiyo😀😀😀😀😀
 
Mie nlikua sijui hata.
Kila siku marudio yanakuwepo
Saa 5 Hadi 5 na nusu asbh
Na saa 12 Hadi 12 na nusu

Huo muda Kila siku wanarusha marudio ya michezo ya Jana yake.

Ikiisha hiyo wanarusha marudio ya fundi.


Ila leo saa 1 ni fungu langu kama kawaida
 
Kila siku marudio yanakuwepo
Saa 5 Hadi 5 na nusu asbh
Na saa 12 Hadi 12 na nusu

Huo muda Kila siku wanarusha marudio ya michezo ya Jana yake.

Ikiisha hiyo wanarusha marudio ya fundi.


Ila leo saa 1 ni fungu langu kama kawaida
Yes leo naelewa ni fungu langu na Kosa moja.

Kosa moja, series inanihusu somehow hii, siachi kuitazama.
 
Kila siku marudio yanakuwepo
Saa 5 Hadi 5 na nusu asbh
Na saa 12 Hadi 12 na nusu

Huo muda Kila siku wanarusha marudio ya michezo ya Jana yake.

Ikiisha hiyo wanarusha marudio ya fundi.


Ila leo saa 1 ni fungu langu kama kawaida

Ila jamani azam hakuna vitu vya kuangalia ,sinema zetu chá kuangalia zahanat ya kijiji ,fundi,fungu langu nayo siifatilii,
Azam two naangalia our story na scandal,revenge ilinishinda haiish inaniboa
Azam one naangalia second chance na the unit hapo kabla kulikua na the American ilikuwa nzuri sana ghafla wakaitoa sijui iliisha hata sikuelewa hapa wakiweka movie wanaweka movie za zaman mbaya mbaya tu
Wanarudia sana movie kama Salt,mr bean uwiii ,zile Chanel mb 2 na max movie ni za zamani tu
Naipenda sana second chance ikiisha tu silipiii bora niwe naweka series naangalia

Au wenzangu kuna vitu mi sivijui
 
Yes leo naelewa ni fungu langu na Kosa moja.

Kosa moja, series inanihusu somehow hii, siachi kuitazama.

Eheee na kosa moja angalau nzuri kiasi yule jay voice ananichekesha sana Ila inaoneshwa jumamos na jumapili
 
Kila siku marudio yanakuwepo
Saa 5 Hadi 5 na nusu asbh
Na saa 12 Hadi 12 na nusu

Huo muda Kila siku wanarusha marudio ya michezo ya Jana yake.

Ikiisha hiyo wanarusha marudio ya fundi.


Ila leo saa 1 ni fungu langu kama kawaida

Hivi yule nesi anatembea na yule mwehu anaitwa nani? Kwanin anafanya vile jamani yule mwehu anatoroka kwao usiku [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi siipendi
Unanikera
Huyu dada amepoa kama maji ya mtungi
Haendani na kuwa msanii.

Cath si ndio ?yaan kapoa mno
Hiv unakumbuka huyu zamani kwenye mzee small Huyo mama aliigizaena mzee small,hako kababu kananichekesha sana eti kalimuambia kuwa na wewe ni hisani tu [emoji23][emoji23][emoji23] kwakweli hii wamejitahidii sanaa
IMG_7770.jpg

IMG_7769.jpg

IMG_7768.jpg

Huyu mama aliigiza zaman na mzee small marehem alikuwa anaolewa sijui wakauziwa mbuzi kwenye gunia enzi hizo ndio maigizo yameanza
 
Cath si ndio ?yaan kapoa mno
Hiv unakumbuka huyu zamani kwenye mzee small Huyo mama aliigizaena mzee small,hako kababu kananichekesha sana eti kalimuambia kuwa na wewe ni hisani tu [emoji23][emoji23][emoji23] kwakweli hii wamejitahidii sanaa
View attachment 2528651
View attachment 2528652
View attachment 2528653
Huyu mama aliigiza zaman na mzee small marehem alikuwa anaolewa sijui wakauziwa mbuzi kwenye gunia enzi hizo ndio maigizo yameanza
Hivi ndo huyu alicheza na mzee small?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah maisha yanaenda kasi,nilikuwa nishaanza msahau mzee small.


Huyo mzee anachekesha[emoji23]
Kwenye beki tatu ndio alikuwa ananichekesha zaidi,Ebitoke alikuwa anamwita mjomba kulwa,anasema sema Anko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Kwa kweli huu mchezo wa kosa moja sijui hata ulipitaje Azam wakauweka.
Yule dada amepangiwa character hata haendani nayo.
Msanii gani anaongea kama anataka kufanya maombi ya kuabudu.
 
Hivi ndo huyu alicheza na mzee small?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah maisha yanaenda kasi,nilikuwa nishaanza msahau mzee small.


Huyo mzee anachekesha[emoji23]
Kwenye beki tatu ndio alikuwa ananichekesha zaidi,Ebitoke alikuwa anamwita mjomba kulwa,anasema sema Anko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Kwa kweli huu mchezo wa kosa moja sijui hata ulipitaje Azam wakauweka.
Yule dada amepangiwa character hata haendani nayo.
Msanii gani anaongea kama anataka kufanya maombi ya kuabudu.

😂😂😂😂😂😂 nilimuona kwenye beki tatu kwakweli wanachekesha

Kwenye kosa mau anaboa
Cathy anaboa
Nahisi nafasi ya cathy wangemuweka gigy unaonaje?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilimuona kwenye beki tatu kwakweli wanachekesha

Kwenye kosa mau anaboa
Cathy anaboa
Nahisi nafasi ya cathy wangemuweka gigy unaonaje?
Yeah Gigy angefaa
Wangeweka mtu anayejiweza ,mcharuko,mwenye kashkash hivi
Huyu dada waliyemuweka kwa kweli ameharibu mchezo mzima
Uwezo wake hauendani na hii character.

Hata kwenye moyo,alibebwa sana na Characters wengine.
Haiwezekani mwanasheria hata mara moja hajastate kifungu chochote cha act..aisee shule pia ni muhimu kwa hawa waigizaji wetu.



Anko kulwa kwenye beki tatu yaani ilikuwa ni[emoji23][emoji91][emoji119]
 
Yeah Gigy angefaa
Wangeweka mtu anayejiweza ,mcharuko,mwenye kashkash hivi
Huyu dada waliyemuweka kwa kweli ameharibu mchezo mzima
Uwezo wake hauendani na hii character.

Hata kwenye moyo,alibebwa sana na Characters wengine.
Haiwezekani mwanasheria hata mara moja hajastate kifungu chochote cha act..aisee shule pia ni muhimu kwa hawa waigizaji wetu.



Anko kulwa kwenye beki tatu yaani ilikuwa ni[emoji23][emoji91][emoji119]

Walitakiwa wawe wanasoma pia director wao anakuwa sio mzuri kiukweli maigizo mengi hayana uhalisia
 
Fungu langu
Huyu mama Hidaya,kama kawaida ni jasusi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji119]
Huyu mama ni boonge la muigizaji
Hakuna character aliyowahi kupwaya

Kwenye hatia alikimbiza sana
IMG_20230224_190356_094.jpg
 
Bibi wakati/Kikala safari hii anaigiza wa kishua [emoji23]
Sema haendani na ushua.
Huyu anapendeza akiigiza uswahilini kama kwenye Mama Kimbo,Kombolela na Hatia.


Sema ana maneno huyu mama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20230224_190851_126.jpg
 
Walitakiwa wawe wanasoma pia director wao anakuwa sio mzuri kiukweli maigizo mengi hayana uhalisia
Yaani kama hili kosa Moja mimi nashangaa sijui hata lilipitaje kwenye pannel ya Azam hadi likashinda kupitishwa.

Kwakweli kwangu naona hamna kitu[emoji1787]
Wengine wamejitahidi tahidi
Ila huyo Caty kwa kweli hakuna kitu.
 
Back
Top Bottom