Tuache kujichubua

Tuache kujichubua

Bi ubwa ni noma...
IAlikua hataki kuwadischarge wale wtt waloungua ili aendelee kunywa uji wa wagonjwa na,chakula chao..
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenzenu niko na nesi mbiki na msichoke wake.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sio ukimwiiiii??
Mbna mwanzoni kule kwao mjini, alikua na kopo LA dawa tena kwake room??

Mi niliona anakohoa sana tuu nikajua labda mwauja kamuambukiza
Sasa yule binti wa sidi anammendea omben
 
Mi niliona anakohoa sana tuu nikajua labda mwauja kamuambukiza
Sasa yule binti wa sidi anammendea omben
Ombeni alianza kuumwa muda
Na kama uliangalia episode ya kwanza kabisa ilianza na Ombeni akiwa kwao
Akawaaga wazazi wake kuwa anaenda huko Lindi
Wakawa hawataki

Yeye akaona bora aende akamalizie siku zake huko.
 
Ombeni alianza kuumwa muda
Na kama uliangalia episode ya kwanza kabisa ilianza na Ombeni akiwa kwao
Akawaaga wazazi wake kuwa anaenda huko Lindi
Wakawa hawataki

Yeye akaona bora aende akamalizie siku zake huko.

Sikuona mwanzon kumbe kwa hiyo anawaaambukiza kwa makusudi
 
J3 had alhamic saa 1 kamili had nusu usiku, marudio saa 3 kamili usiku.

Marudio ya week nzima n jmos saa 5 asubuh.

Leo hakuna zahanati, subiri kesho marudio ya week nzima

Leo kuna marudio jion hii
 
Back
Top Bottom