cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jmosi lazima niangalie marudio aisee[emoji1787]
Nilicheka sana
Bi ubwaa na mama mwanzani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jmosi lazima niangalie marudio aisee[emoji1787]
Nilicheka sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bi ubwa ni noma...
IAlikua hataki kuwadischarge wale wtt waloungua ili aendelee kunywa uji wa wagonjwa na,chakula chao..
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sio ukimwiiiii??Hivi Ombeni anaumwa nini? Leo sikuangalia kipande kile anakumbuka daktari anamweleza khs ugonjwa
[emoji119][emoji119][emoji119]Hivi unaangaliaga zahanat ya kijiji? Inanichekesha sana mim
Ombeni alianza kuumwa mudaMi niliona anakohoa sana tuu nikajua labda mwauja kamuambukiza
Sasa yule binti wa sidi anammendea omben
Daaah basi tuuweni tuMuache na mizinga pia...
Ombeni alianza kuumwa muda
Na kama uliangalia episode ya kwanza kabisa ilianza na Ombeni akiwa kwao
Akawaaga wazazi wake kuwa anaenda huko Lindi
Wakawa hawataki
Yeye akaona bora aende akamalizie siku zake huko.
Ya Jana sijaangalia kwahiyo sijui ilikuwajeSikuona mwanzon kumbe kwa hiyo anawaaambukiza kwa makusudi
Daaah basi tuuweni tu
Mwanzani yuleee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi niliona anakohoa sana tuu nikajua labda mwauja kamuambukiza
Sasa yule binti wa sidi anammendea omben
Mie sikuangalia pia, nasubiri marudio kesho.Ya Jana sijaangalia kwahiyo sijui ilikuwaje
Alisema anaumwa Nini?
Nasubiri marudio.
J3 had alhamic saa 1 kamili had nusu usiku, marudio saa 3 kamili usiku.Hapa naisubiria Yaan hata sijui ratiba yake vyema
Sidhan km kuna marudio, najua ni kesho.Leo kuna marudio jion hii
NdiyoLeo kuna marudio jion hii
Mie nlikua sijui hata.Ndiyo
Saa12 Hadi 12 na nusu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mie sikuangalia pia, nasubiri marudio kesho.
Ila ombeni lazima ana ukimwiii.