kwenye hii lugha napenda kukosolewa halafu ajabu wabongo wengi mnajikuta mnaijua hii lugha kumbe vikapuku tupu kwenye hii lugha!..Wewe ungeongea kiswahili tu ama nawe ni diaspora😀
NIlitarajia kukuona ukicoment sana kwenye jukwaa la kiingereza pekee sasa wewe umeleta ugai gai hapa huoni kama hicho ni kiherehere kwenye lugha za watu kujifanya mnajua kingereza kuliko wenye nachokwenye hii lugha napenda kukosolewa halafu ajabu wabongo wengi mnajikuta mnaijua hii lugha kumbe vikapuku tupu kwenye hii lugha!..
English haijawahi kuwa na mwenyewe hata Kiswahili watu wanakosea sana sema sisi tunajiona tupo sawa lakini ukifuatisha Kiswahili sanifu chenyewe makosa ni mengi mno!..
nachokiandika nakijua.
We uliona Clear kwa sababu ulikuwa unaangalia kwenye TVPamoja na Yanga kutuzidi uwezo, refa wa jana alikua tatizo mkuu...
Siwezi kulaumu sana maana haibadilishi chochote ila kuna clear penati mbili alipeta...
Tujipe muda naona kikosi kinaimarika, tujitahidi tu dirisha kubwa Mutale na Mukwala wasibaki.
Lakin tukubali Refa angekua sahihi kwa asilimia 100 pande zote zingefaidika. Nafikiri Yanga angepata zaidi ya alichokipata.Pamoja na Yanga kutuzidi uwezo, refa wa jana alikua tatizo mkuu...
Siwezi kulaumu sana maana haibadilishi chochote ila kuna clear penati mbili alipeta...
Tujipe muda naona kikosi kinaimarika, tujitahidi tu dirisha kubwa Mutale na Mukwala wasibaki.
Mimi nitakusaidia piaUmeongea point tupu; atakayekubishia mimi nitavaana naye.
Wallah Wabillah tena! Nipo serious eti!! Mimi naona jamaa anafaa kabisa kumrithi Rasi Simba!Una mtania au uko serious maana Kwa Communication skills yangu naona hapo kuna makosa mengi Sana grammatically.
Oky sawa, vipi umeishajiuliza ile ya Hamza na Dube kama refa angetoa nyekundu kwa Hamza alafu dakika ya 50, hali ingekuwaje kwa Simba?Pamoja na Yanga kutuzidi uwezo, refa wa jana alikua tatizo mkuu...
Siwezi kulaumu sana maana haibadilishi chochote ila kuna clear penati mbili alipeta...
Tujipe muda naona kikosi kinaimarika, tujitahidi tu dirisha kubwa Mutale na Mukwala wasibaki.
Hivi, uwanjani refa anatakiwa kutumia sheria au busara?Oky sawa, vipi umeishajiuliza ile ya Hamza na Dube kama refa angetoa nyekundu kwa Hamza alafu dakika ya 50, hali ingekuwaje kwa Simba?
Akili za kindezi ndezi ni hizi ulizoandikia hapa. We hauna kitu positive unaweza kwenda na Mo head to head ukamuongoza kusema kweli.Yule anayejiita Dr Mo ni aina ya wale mashabiki Wenye akili za kindezi ndezi, wanapenda na matokeo yao mfukoni pengine mhanga wao anakuwa amewaaminisha wanaenda kushinda mechi, sasa wanapokutana na utofauti ndio hivyo wanabwabwaja kama wamekatika vichwa, utashindaje mechi na wachezaji wako viwango ni vidogo? Quality ya yanga kwa sasa ni kubwa uwezi kuwaendea kichwakichwa kwa kutegemea maelekezo ya sangoma ukawashinda kirahisi watakupasua na mganga wako!
We nae huna sense of reasoning, kama VAR ingekuwepo na refa akaamua Kwa usahihi Bado yanga angefaidika na kushinda...unawaza penalty yenu lkn ile ya musonda na Camara huioni, ile red card dakika ya 50 ya hamza huioni.Akili za kindezi ndezi ni hizi ulizoandikia hapa. We hauna kitu positive unaweza kwenda na Mo head to head ukamuongoza kusema kweli.
Ni uvunjifu mkubwa wa heshima na utovu wa nidhamu kwa mtu kama wewe kumuongelea Mo hivyo.
Vijiwe na makelele visikufanye utake kuwashusha watu na heshima wanazostahili kiasi hicho
Simba wamecheza vizuri, mwamuzi ana mapungufu yake.
Jamaa kaandika kifupi, ka review youtube uone zile penati au sio penati n.k
Unasema anajiita Dr Mo, na amesoma vyuo reputable, he earned it kijana.
Unaweza ukasoma na ukakosa akili, kusoma sio busara Wala hekima, uyo Mo unayemtetea anamlaumu mwamuzi kwanini akutoka kumlaumu mwamuzi aliyeifaidisha timu yake kule Zanzibar dhidi ya Azam? Kwanini akumlaumu mwamuzi aliyewapa ushindi dhidi ya Dodoma Jiji? Ile penalty ilikuwa ni halali? Tungepima kiwango chake cha elimu yake iyo unayotuwekea hapa kama angekuwa fair kutaja pia maamuzi yaliyoinufaisha timu yake!Akili za kindezi ndezi ni hizi ulizoandikia hapa. We hauna kitu positive unaweza kwenda na Mo head to head ukamuongoza kusema kweli.
Ni uvunjifu mkubwa wa heshima na utovu wa nidhamu kwa mtu kama wewe kumuongelea Mo hivyo.
Vijiwe na makelele visikufanye utake kuwashusha watu na heshima wanazostahili kiasi hicho
Simba wamecheza vizuri, mwamuzi ana mapungufu yake.
Jamaa kaandika kifupi, ka review youtube uone zile penati au sio penati n.k
Unasema anajiita Dr Mo, na amesoma vyuo reputable, he earned it kijana.
Mkuu dunia ndio iko hivyo? Mi ninavyojua katika mambo ya ushindani baina ya pande mbili unaangalia manufaa yako, na ukiona haiko sawa, unadai haki yako sehemu husika.Unaweza ukasoma na ukakosa akili, kusoma sio busara Wala hekima, uyo Mo unayemtetea anamlaumu mwamuzi kwanini akutoka kumlaumu mwamuzi aliyeifaidisha timu yake kule Zanzibar dhidi ya Azam? Kwanini akumlaumu mwamuzi aliyewapa ushindi dhidi ya Dodoma Jiji? Ile penalty ilikuwa ni halali? Tungepima kiwango chake cha elimu yake iyo unayotuwekea hapa kama angekuwa fair kutaja pia maamuzi yaliyoinufaisha timu yake!
Unawafanyia wengine ujinga yakikukuta unatoa milio ya Kila aina!
Mechi ya ngao yule Elly sasii aliwanyima yanga magoli mangapi? Mbona yanga aikunyanyua mapanga?
Uyo Mo anasukumwa na mihemko ya kishabiki oya oya na wengine wakiamua kufufua makaburi kumjibu atokuwa na hoja yoyote ya maana zaidi ya hisia za kipuuzi!
kiingereza ungeachana nacho4 times and you want to blame yanga you must be joking, so is it means young african they are corrupt even caf.. coz the last year simba played caf champion league and now federation so they drop, even in our home league the same, this means they are now not like before.. i think simba sport club they have to notice where they fail and not always to blame coz football is changing now if no competition no development..
waswahili nakujikuta mnajua kiingereza sasa kumbe nyote ni ngumbalu!..🤣kiingereza ungeachana nacho
Viongozi wenu wamewawini wanasimba kwa kutafuta Chaka la kujifichia udhaifu wao kwenye daby hiyo.Sijaona kabisa Kosa lolote la Mwamuzi Kayoko. Simba SC tukubalini tu kuwa kwa sasa Yanga SC si Kiwango chetu Ok?
Tunampeleka Kayoko FIFARefa mbona alichezesha vizuri tu.