Tuache kunyonya vitendea kazi vya mnyanduano kuepuka cancer hatarii sanaa.

Tuache kunyonya vitendea kazi vya mnyanduano kuepuka cancer hatarii sanaa.

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Hello,

Siwatishi na wala siwabembelezi nawajibika kusema kuokoa taifa na jamii kwa ujumla.

Ongezeko la watu wenye rangi za midomo kama ugonjwa wa ukoma wa midomo unapaa kwa kasi.

Kuna wimbi kubwa sana la watu wadada, wakaka, mabinti, vijana, wenye fungus za koromeo, fungus za midomo, homa za matumbo, kubabuka midomo, na viashiria vya cancer.

Onyo timiza raha na starehe kwa kiasi.

Mungu awasaidie

Wadiz.
 
JamiiForums-2027420380.jpg
 
Mzee Warioba ajumuishwe kwenye kikosi kazi cha mkandala, mchakato wa katiba mpya ukamilike mapema!
Na kwenye Katiba mpya kuwe na kifungu kinachokataza ngono kwa njia ya mdomo.

Mtu anayetumua mdomo na ulimi wake kunyonya sehemu za siri za mwanamke ni mtu asiyejiamini, haamini kama ana uwezo wa kutumia uume wake kumridhisha mwanamke hivyo anatumia mdomo kumridhisha. Vijana mjipende na muache uchafu.

Suluhisho hapa ni katiba mpya tu.
 
Back
Top Bottom