Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Siku ya kwenda hospital anaingiza chupa/tango.Mmmh! Kama una uhakika hujawahi kumuingilia waambie wakampime marinda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku ya kwenda hospital anaingiza chupa/tango.Mmmh! Kama una uhakika hujawahi kumuingilia waambie wakampime marinda.
Pole sana Kwa yaliyokumuta. Ila fanya uchunguzi Kuna mtu anamfanyia huko mchezo mke wako.Baada ya kesi alionifungulia wife kukwama mbele ya gender desk police, akaipeleka baraza za kata nikaitwa kuhojiwa jana, na huko akaongeza tuhuma ili ipate nguvu kes yake ,akawaambia huwa namuingilia kinyume na maumbile..
imagine ni mke wangu na tumezaa watoto 4 kwenye ndoa 15 yrs!!! Now ana force divorce ila hoja zake dhaifu kila anakonipeleka so akanituhum tuhuma hii nzito.
Wewe mkuu hujawajua wanawake bado, tulia kwanza yakukute
Mkuu naomba uniruhusu nikupe ushauri.Hapana, tatizo kakimbia na wanangu, hata hapa tunazungumza hatuko pamoja. Nataka nipate wanangu tu, hilo ndio suala
Nawashauri wanaume,tusitangaze dosari za wanawake zetu,iwe ni mkeo au mchepuko,badala yake tuwasaidie kuziondoa hizo dosari.Kumbukeni mwanamke ni muhimu sana kwa maisha yetu sisi wanaume,watusaidia mambo mengi sana
Kikubwa ndoa inakwenda kuvunjika, sina haja hiyo, ila kama ni kuthibitisha mahakaman, sina shida kufanya vipimo kuthibitisha hiloPole sana Kwa yaliyokumuta. Ila fanya uchunguzi Kuna mtu anamfanyia huko mchezo mke wako.
Nakusikiliza chiefMkuu naomba uniruhusu nikupe ushauri.
Ni wazimu tu kaka, nyumaba viwanja na gari 1 ndio mali? Yan ndio kwanza nimeanza kusimama katika ujasiriamali kisha anataka kunivuruga na kunifanya nianguke.Duh mkuu pole umeamuaje Sasa?inaonekana una Mali anataka mgawane.
Mkuu, siwezi sema neno kwasasa ila kataa ndoa wana point za msingi sana, ni vile tu wamekaa kihun huni 😅Pole sana mkuu
Kwahiyo unanishauri nisioe sio et?
Mwanamke ni wa kusamehewa na kupendwa Ila Mimi tusi ambalo mwanamke akinitukana siwezi kusamehe ni kusema kwanza una kibamia ,hapo siwezi msamehe na ngumi zitatembeaMwanamke ndo anayeongoza kumtukana mpenziwe/mumewe hadharani..
Kwanza hujui kutomba , kimoja tu chalii...mtu mwenyewe Una kibamia ..
Hizi akili sijui huwa wanazitoa wapi? halafu badae anakuja kuomba msamaha
Pengine anawezakuwa yupo sahihi kwa kutofautisha na mashafti mengine yaliyompitia.Mwanamke ni wa kusamehewa na kupendwa Ila Mimi tusi ambalo mwanamke akinitukana siwezi kusamehe ni kusema kwanza una kibamia ,hapo siwezi msamehe na ngumi zitatembea
Mimi sitaki kujua Ila hiyo ni Vita kubwaPengine anawezakuwa yupo sahihi kwa kutofautisha na mashafti mengine yaliyompitia.
Muache akae na hao watoto angalau kipindi kifupi, na baada ya hapo ukiona malezi sio mazuri unaruhusiwa kufungua shauri mahakamani kuhusu watoto kutokuwa salama.Nakusikiliza chief
ni kweli lakini sisi wanaume tusiwaige kwa kutoa siri zao au udhaifu wao hadharani
Mwanamke ni wa kusamehewa na kupendwa Ila Mimi tusi ambalo mwanamke akinitukana siwezi kusamehe ni kusema kwanza una kibamia ,hapo siwezi msamehe na ngumi zitatembea
Muache akae na hao watoto angalau kipindi kifupi, na baada ya hapo ukiona malezi sio mazuri unaruhusiwa kufungua shauri mahakamani kuhusu watoto kutokuwa salama.
Poa ukiacha kumfuatilia unaipa nafasi karma (kisasi asilia) kufanya kazi na atajutia. Ukiendeleq kumfuatilia unakuza vita na watoto watakuona wewe ni katili.
HakikaAmpe muda, kuna kipindi akiishiwa luku halafu chakula kimeisha ndani hana hata buku. Akili zitamkaa sawa. Atakutafuta tu.
Nashkuru kaka. Ila suala la kwenda mahakaman ni yeye yuko mbioni kunipeleka huko ila auze nyumba.Muache akae na hao watoto angalau kipindi kifupi, na baada ya hapo ukiona malezi sio mazuri unaruhusiwa kufungua shauri mahakamani kuhusu watoto kutokuwa salama.
Poa ukiacha kumfuatilia unaipa nafasi karma (kisasi asilia) kufanya kazi na atajutia. Ukiendeleq kumfuatilia unakuza vita na watoto watakuona wewe ni katili.
Usiogope mkuu, jipe miezi hata miwili tu utaona matokeo. Kuhusu kuuza nyumba wewe ukifika mahakamani weka zuio ukiwa na sababu moja tu, nyumba ni ya familia hivyo haiwezi kuuzwa kwasababu watoto hawatakuwa na pa kuishi.Nashkuru kaka. Ila suala la kwenda mahakaman ni yeye yuko mbioni kunipeleka huko ila auze nyumba.
Pia watoto kaenda nao mbali kias ambacho mimi ni ngumu kupata update ya chochote kinachoendelea huko.
Hapo nafanyaje mkuu???
Nimekuelewa chief. Kiukwel week 1 sasa nimeamua kujiweka nao mbali, siwafuatilii, nilikua napenda kupiga simu kwa mama yao niongee na watoto, ila sasa nimeamua pia kuacha. Nassubiri kuitwa mahakaman very soon halaf nitajua kitakachofuataUsiogope mkuu, jipe miezi hata miwili tu utaona matokeo. Kuhusu kuuza nyumba wewe ukifika mahakamani weka zuio ukiwa na sababu moja tu, nyumba ni ya familia hivyo haiwezi kuuzwa kwasababu watoto hawatakuwa na pa kuishi.
Pia kujiweka mbali naye ni kwaajili ya usalama wako mkuu, huwezi jua nini kipo nyuma yake