Tuache kutangaza dosari za wanawake zetu

Tuache kutangaza dosari za wanawake zetu

Baada ya kesi alionifungulia wife kukwama mbele ya gender desk police, akaipeleka baraza za kata nikaitwa kuhojiwa jana, na huko akaongeza tuhuma ili ipate nguvu kes yake ,akawaambia huwa namuingilia kinyume na maumbile..
imagine ni mke wangu na tumezaa watoto 4 kwenye ndoa 15 yrs!!! Now ana force divorce ila hoja zake dhaifu kila anakonipeleka so akanituhum tuhuma hii nzito.

Wewe mkuu hujawajua wanawake bado, tulia kwanza yakukute
Si umpatie talaka yake kwani ni lazima uwe na ndoa nae???
Mambo mengine mnajitakia tu
 
Si umpatie talaka yake kwani ni lazima uwe na ndoa nae???
Mambo mengine mnajitakia tu
Unafikiri taraka za mahakaman ni kama hiz za JF za kusema tu "piga chini" 😂..
Mkuu kuna mambo mengi sana ya kuweka sana kesi ikishtinga kwenye ground za kisheria, otherwise lengo la ninyi wanawake wengi litatimia maana huwa mnawaza kutufirisi na kuturudisha nyuma tuanze upya. Kinacholengwa hapo ni mali tu.
By the way hatuko pamoja muda sasa we are apart ila she is counted as my wife ndio maana namu address kama mke wangu kwa ndoa za kikristo. Ila she is far away mpaka muda huu tunaongea

NB
simaanishi wewe personally.
 
Unafikiri taraka za mahakaman ni kama hiz za JF za kusema tu "piga chini" 😂..
Mkuu kuna mambo mengi sana ya kuweka sana kesi ikishtinga kwenye ground za kisheria, otherwise lengo la ninyi wanawake wengi litatimia maana huwa mnawaza kutufirisi na kuturudisha nyuma tuanze upya. Kinacholengwa hapo ni mali tu.
By the way hatuko pamoja muda sasa we are apart ila she is counted as my wife ndio maana namu address kama mke wangu kwa ndoa za kikristo. Ila she is far away mpaka muda huu tunaongea

NB
simaanishi wewe personally.

Kuliko kuishi maisha ya kukosa raha na manunguniko mpe talaka yake, mali utatafuta tu
 
Baada ya kesi alionifungulia wife kukwama mbele ya gender desk police, akaipeleka baraza za kata nikaitwa kuhojiwa jana, na huko akaongeza tuhuma ili ipate nguvu kes yake ,akawaambia huwa namuingilia kinyume na maumbile..
imagine ni mke wangu na tumezaa watoto 4 kwenye ndoa 15 yrs!!! Now ana force divorce ila hoja zake dhaifu kila anakonipeleka so akanituhum tuhuma hii nzito.

Wewe mkuu hujawajua wanawake bado, tulia kwanza yakukute

kuna mwingine akiwa kwenye mishe zake huko mtaani huwaambia watu hajaolewa. na wakati ukweli ni kwamba yuko kwenye ndoa kwa miaka 15 sasa. Mungu tu aturehemu tufikie mwisho mwema. tukapumzike, dunia hadaa
 
kuna mwingine akiwa kwenye mishe zake huko mtaani huwaambia watu hajaolewa. na wakati ukweli ni kwamba yuko kwenye ndoa kwa miaka 15 sasa. Mungu tu aturehemu tufikie mwisho mwema. tukapumzike, dunia hadaa
Ni kwel mkuu, uko sahihi
 
Baada ya kesi alionifungulia wife kukwama mbele ya gender desk police, akaipeleka baraza za kata nikaitwa kuhojiwa jana, na huko akaongeza tuhuma ili ipate nguvu kes yake ,akawaambia huwa namuingilia kinyume na maumbile..
imagine ni mke wangu na tumezaa watoto 4 kwenye ndoa 15 yrs!!! Now ana force divorce ila hoja zake dhaifu kila anakonipeleka so akanituhum tuhuma hii nzito.

Wewe mkuu hujawajua wanawake bado, tulia kwanza yakukute
Bado unaishi nae???
 
Baada ya kesi alionifungulia wife kukwama mbele ya gender desk police, akaipeleka baraza za kata nikaitwa kuhojiwa jana, na huko akaongeza tuhuma ili ipate nguvu kes yake ,akawaambia huwa namuingilia kinyume na maumbile..
imagine ni mke wangu na tumezaa watoto 4 kwenye ndoa 15 yrs!!! Now ana force divorce ila hoja zake dhaifu kila anakonipeleka so akanituhum tuhuma hii nzito.

Wewe mkuu hujawajua wanawake bado, tulia kwanza yakukute
Hapo shida unayo wewe mkuu, mwanamke akisema anaomba talaka ni unampa hapo hapo, kama ni alisema kwa bahati ama hasira, ataenda kujieleza kwao.

Kama kakupa tuhuma nzito hivyo, je anashindwa kukuwekea sumu kwenye msosi, kukukodia watu wakudhuru?

MUACHE MARA 1.
 
Mwanaume kutangaza mapungufu ya mwenzio ni UJUHA, hata kama mmeachana.
 
Ni wazimu tu kaka, nyumaba viwanja na gari 1 ndio mali? Yan ndio kwanza nimeanza kusimama katika ujasiriamali kisha anataka kunivuruga na kunifanya nianguke.
Hakuna nilichoamua zaidi ya kwamba taraka sitoi, ila yeye anaruhusiwa kuandika, na all in all kaondoka nyumban so hii ndio imeisha hiyo.
Mkuu kubali tu kugawana na kuanza moja,usipo mpa talaka anaweza fanya juu chini akakudedisha na akabaki na vyote,play smart.
 
Huyo Mwanamke tayari kwake wewe ni adui yake,maana hapo anachokihitaji ni kugawana hizo mali.
Na ukweli ni kuwa utakuta katika hizo mali mchango wake ni zero,play safe lasivyo unaweza danjishwa.
Wanawake ni watu wenye akili za hovyo sana.
 
Hapo shida unayo wewe mkuu, mwanamke akisema anaomba talaka ni unampa hapo hapo, kama ni alisema kwa bahati ama hasira, ataenda kujieleza kwao.

Kama kakupa tuhuma nzito hivyo, je anashindwa kukuwekea sumu kwenye msosi, kukukodia watu wakudhuru?

MUACHE MARA 1.
Tuko kwenye process hiyo ya kuachana mkuu..
 
Back
Top Bottom