nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Na Rais alicheza wimbo uliobadirishwa, lakini kosa la CDM kuwepo viongozi wakuu.Mbona na ccm wameubadili n kuweka maneno mengine ya kumsifia maguduli.. nyie vipi.. acheni utoto
Hivi kwa nini mnapenda kutanguliza matusi kuficha ujinga wako? Huu wimbo ulitokana na wimbo wa Nkosi Sikelel iAfrika uliotungwa 1897 na Padri Enoch Sontoga kama wimbo wa kanisani wa ki Xhosa. Kama kuna maneno ya kiingereza yalikuja baadae. Wimbo huu ulitumiwa na ANC kama wimbo wao na baadae kama mojawapo wa nyimbo za taifa za Afrika Kusini, mwingine ulikuwa Die Stem van Suid Afrika. Sasa hivi Afrika Kusini wameunganisha nyimbo hizo na kuongeza maneno kutoka makabila mengine. Kwa sababu hii, utaona kuwa watu wamekuwa wakiongeza na kubadilisha maneno ya wimbo kukidhi mahitaji yao toka utungwe na Sontoga. CDM sio wa kwanza na hawatakuwa wa mwisho.- Ficha upumbavu wako, Wimbo wa taifa la Tanzania ulianza kutumika mwaka 1961 baada ya uhuru, wasouth afrika walianza kutumia wimbo wao mwaka 1997. Yet unasema tanzania iliiba wimbo.
- Mtunzi wa huu wimbo sio mtanzania na sio Msouth afrika, maneno yalibadilishwa kutoka kiingereza. Someni historia sio mnaongea mambo kwa mihemko na mkumbo.
Toa elimu hapa wewe ulie elimika, usinifokee mimiNenda kajielimishe kwanza ndo urudi kuchangia sio kupayuka payuka tu bila uhakika.
Ujasusi huanzia mbali sana, hauzuki tu.Zitto ana busara zaidi kuliko chadema nzima
Komrade hawa Bavicha wasikupotezee mda wako wao wamefundishwa kukariri tu maneno ya DJKwa hiyo leo Baraza kuu la Chadema lilosheheni viongozi wa Chama kama vile Mwenyekiti, Katibu mkuu, viongozi wa Kanda wameamua kujitoa ufahama kwa sababu kuna vijana wa UVCCM wamejitoa ufahamu?
Hebu tuficheni aibu
Kosa likifanywa na vijana wa CCM wa Temeke haiwi sahihi kufanywa na Uongozi mkuu kabisa wa Chadema tena vikaoni.
Leo Role Models wa Baraza kuu la Chadema wamekuwa ni vijana hao wa UVCCM wa Temeke?
Acheni utani!
Upo sahihi kiasi fulani, lakini hebu ongelea upande wa msajiri sasa yupo sahihi kuwa buyers?kuna mambo yafuatayo
1. Si sahihi Wapinzani kufanya ya hovyo eti. kwa kuwa CCM huwa wanafanya ya hovyo
2. wapinzani ili waheshimike na wakubalike kwa wananchi inabidi wawe humble zaidi, wafanye vitu ambavyo ni modest ili kuvutia umma usiwaone watu wasiofuata taratibu na kuheshimu tunu ambazo tumeshazipokea kuwa ni tunu au alama za taifa.
CCM wanaweza kufanya upuuzi, na wakaweza kujiclear easily kwa sababu wana dola, wana all bullying pulpits za kuweza kutwist matendo yao na kushape public opinion in their favor. Wapinzani hawana hiyo luxury ndiyo maana inabidi wawe exemplary.
3. Makosa mawili hayafanyi kosa moja lisiwe kosa
4. Haifai wapinzani kuwapa CCM ammunition ya kuwaondolea credibility mbele ya wananchi. Matendo kama haya yaweka ukuta baina ya wananchi wazalendo kwa taifa lao ambao wamekua toka nursery school wakiimba wimbo wa Taifa kwa heshima zote. Leo ukireplace Tanzania ukaweka Chadema, wananchi hawa hawawezi kuwa comfortable
5. Ni makosa sana kubase argument za "mbona na CCM. hivi, au mbona CCM vile", hizo hazisaidii wapinzani. Ni tofauti sana vijana wa Temeke wasio na uongozi katika chama chochote cha siasa kufanya jambo fulani baya na Baraza kuu la Chadema kufanya jambo hilohilo tofauti yake ni mbingu na ardhi!
Jamaa wanafanya msahafu!! Haya mambo yanaongeleka lakini si kwa panic hii as if Taifa limeigizwa kwenye vita.Huu wimbo wa Taifa sio sawa na maandiko matakatifu.
Ujinga unao wewe si ajbu ni uzao wa shule za kata ambapo huelewi nini maana ya wimbo wabTaifaAcha ujinga kule radio mawingu wanaupiga kila siku mbaya zaidi hauimbiki unavyotakiwa unaimbwa na wabana pua Nani anasimama
Hivi kwa nini mnapenda kutanguliza matusi kuficha ujinga wako? Huu wimbo ulitokana na wimbo wa Nkosi Sikelel iAfrika uliotungwa 1897 na Padri Enoch Sontoga kama wimbo wa kanisani wa ki Xhosa. Kama kuna maneno ya kiingereza yalikuja baadae. Wimbo huu ulitumiwa na ANC kama wimbo wao na baadae kama mojawapo wa nyimbo za taifa za Afrika Kusini, mwingine ulikuwa Die Stem van Suid Afrika. Sasa hivi Afrika Kusini wameunganisha nyimbo hizo na kuongeza maneno kutoka makabila mengine. Kwa sababu hii, utaona kuwa watu wamekuwa wakiongeza na kubadilisha maneno ya wimbo kukidhi mahitaji yao toka utungwe na Sontoga. CDM sio wa kwanza na hawatakuwa wa mwisho.
Usipende kuwaita wenzako wapumbavu kwenye vitu ambavyo hata wewe hauvijui.
Amandla...
Hata walipozuia wengine kufanya siasa hatukuwaona mnakemea.CCM Mbona hawakupewa onyo walipo badili
Umeona nembo ya 'Adam na Hawa'' ya mbao?Nimeona onyo la Msajili wa vyama akiwaonya CHADEMA kwa kitendo chao cha kubadili maneno ya wimbo wa Taifa na kuweka mengine.
Mwanzo sikuchukulia serious, lakini kitendo cha kuona kuwa kumbe ni kweli CHADEMA wamebadili wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao ya uvyama vyama kwa kweli, hicho siyo kitendo cha busara na uungwana kwa Taifa.
Sote tunaisema CCM kuwa CCM ni Chama dola, kumbe kuna Chama kingine ambacho kinawaza na kuota kuwa chenyewe kiwe ndiyo Taifa Kabisaa!!. Absurd!!
Mistake kama hizi ndizo zinazoweza kuwafanya wananchi wawaone Wapinzani kama watu Fanatic, waleta vurugu, wasioheshimu alama na nembo za Taifa.
Na kwa kweli vitendo kama hivi vikionyeshwa kwa wananchi wengi, wanakuwa pissed off kwa kuwaona Wapinzani kama watu ambao ni immature!
Kuna sababu gani kwa mfano kubadili maneno ya Taifa na kuweka mengine ndani ya wimbo huo?. Kwa nini wasiimbe wimbo wa Taifa kama ulivyo ndani ya vikao vyao, kuna tatizo gani kuuchukua wimbo wa Taifa kama ulivyo?
Katika hili siwezi kuwatetea Chadema hata kidogo, Lazima waonyeshe maturity, wasiwe watu wa ushabikishabiki na bila sababu.
Hebu tazama hapa chini CHADEMA wakidistort wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao.
Mwenyekiti Mbowe Shame on you
Katibu Mkuu wa Chadema Shame on you
Tundu Lissu Shame on you
Mmetukosea wananchi wote wenye vyama na wasio na vyama kwa kuleta mzaha kwenye wimbo unautuunganisha taifa zima kwa kuleta uvyamavyama(partsanship) kwenye suala hilo
Siku nyingine tumieni busara kwenye kufanya mambo, hakuna haja ya kutafuta unnecessary troubles!
Hebu tazama hapa wanavyoimba:
View attachment 1527225
Mkuu Mimi naomba kusaidiwa,hivi ni nani mmiliki wa wimbo wa taifa? Ili ikitokea mtu akataka kuufanyia remix au kuucopy kwa matumizi Kama haya yakifanywa na Chadema Basi akaombe kibari hikoNimeona onyo la Msajili wa vyama akiwaonya CHADEMA kwa kitendo chao cha kubadili maneno ya wimbo wa Taifa na kuweka mengine.
Mwanzo sikuchukulia serious, lakini kitendo cha kuona kuwa kumbe ni kweli CHADEMA wamebadili wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao ya uvyama vyama kwa kweli, hicho siyo kitendo cha busara na uungwana kwa Taifa.
Sote tunaisema CCM kuwa CCM ni Chama dola, kumbe kuna Chama kingine ambacho kinawaza na kuota kuwa chenyewe kiwe ndiyo Taifa Kabisaa!!. Absurd!!
Mistake kama hizi ndizo zinazoweza kuwafanya wananchi wawaone Wapinzani kama watu Fanatic, waleta vurugu, wasioheshimu alama na nembo za Taifa.
Na kwa kweli vitendo kama hivi vikionyeshwa kwa wananchi wengi, wanakuwa pissed off kwa kuwaona Wapinzani kama watu ambao ni immature!
Kuna sababu gani kwa mfano kubadili maneno ya Taifa na kuweka mengine ndani ya wimbo huo?. Kwa nini wasiimbe wimbo wa Taifa kama ulivyo ndani ya vikao vyao, kuna tatizo gani kuuchukua wimbo wa Taifa kama ulivyo?
Katika hili siwezi kuwatetea Chadema hata kidogo, Lazima waonyeshe maturity, wasiwe watu wa ushabikishabiki na bila sababu.
Hebu tazama hapa chini CHADEMA wakidistort wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao.
Mwenyekiti Mbowe Shame on you
Katibu Mkuu wa Chadema Shame on you
Tundu Lissu Shame on you
Mmetukosea wananchi wote wenye vyama na wasio na vyama kwa kuleta mzaha kwenye wimbo unautuunganisha taifa zima kwa kuleta uvyamavyama(partsanship) kwenye suala hilo
Siku nyingine tumieni busara kwenye kufanya mambo, hakuna haja ya kutafuta unnecessary troubles!
Hebu tazama hapa wanavyoimba:
View attachment 1527225
..na mkutano wenyewe vyombo vya habari vilizuiwa kuutangaza hivyo hata wananchi hawakuwa na habari na kilichotokea.
Wimbo wa Taifa unaosemwa na mleta mada unatakiwa uimbwe wapi, wakati gani na na nani?Kama wimbo wa Taifa unatakiwa uimbwe popote, wakati wowote na mkusanyiko wowote, kosa liko wapi kama maneno mawili matatu yakiongezwa kukithi mazingira ya hali iliyopo? Wimbo wa Taifa kama unavyofahamika ukaimbwa na wananchi pale harusini au kilabuni au hata Kanisani kiongozi wa Serikali akiwepo ni sawa? Bendera ni nembo muhimu ya nchi yoyote pomoja na ya kwetu lakini viongozi wetu wa Serikali ya CCM utakuta wako danguro wamevaa mavazi yenye bendera ya Taifa kuwatambulisha lakini hakuna anayekemea. Sumu ni sumu wote wasile!Nimeona onyo la Msajili wa vyama akiwaonya CHADEMA kwa kitendo chao cha kubadili maneno ya wimbo wa Taifa na kuweka mengine.
Mwanzo sikuchukulia serious, lakini kitendo cha kuona kuwa kumbe ni kweli CHADEMA wamebadili wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao ya uvyama vyama kwa kweli, hicho siyo kitendo cha busara na uungwana kwa Taifa.
Sote tunaisema CCM kuwa CCM ni Chama dola, kumbe kuna Chama kingine ambacho kinawaza na kuota kuwa chenyewe kiwe ndiyo Taifa Kabisaa!!. Absurd!!
Mistake kama hizi ndizo zinazoweza kuwafanya wananchi wawaone Wapinzani kama watu Fanatic, waleta vurugu, wasioheshimu alama na nembo za Taifa.
Na kwa kweli vitendo kama hivi vikionyeshwa kwa wananchi wengi, wanakuwa pissed off kwa kuwaona Wapinzani kama watu ambao ni immature!
Kuna sababu gani kwa mfano kubadili maneno ya Taifa na kuweka mengine ndani ya wimbo huo?. Kwa nini wasiimbe wimbo wa Taifa kama ulivyo ndani ya vikao vyao, kuna tatizo gani kuuchukua wimbo wa Taifa kama ulivyo?
Katika hili siwezi kuwatetea Chadema hata kidogo, Lazima waonyeshe maturity, wasiwe watu wa ushabikishabiki na bila sababu.
Hebu tazama hapa chini CHADEMA wakidistort wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao.
Mwenyekiti Mbowe Shame on you
Katibu Mkuu wa Chadema Shame on you
Tundu Lissu Shame on you
Mmetukosea wananchi wote wenye vyama na wasio na vyama kwa kuleta mzaha kwenye wimbo unautuunganisha taifa zima kwa kuleta uvyamavyama(partsanship) kwenye suala hilo
Siku nyingine tumieni busara kwenye kufanya mambo, hakuna haja ya kutafuta unnecessary troubles!
Hebu tazama hapa wanavyoimba:
View attachment 1527225
We kuku kwani hujaona wimbo wa CCM walioigiza wimbo wa taifa?Nimeona onyo la Msajili wa vyama akiwaonya CHADEMA kwa kitendo chao cha kubadili maneno ya wimbo wa Taifa na kuweka mengine.
Mwanzo sikuchukulia serious, lakini kitendo cha kuona kuwa kumbe ni kweli CHADEMA wamebadili wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao ya uvyama vyama kwa kweli, hicho siyo kitendo cha busara na uungwana kwa Taifa.
Sote tunaisema CCM kuwa CCM ni Chama dola, kumbe kuna Chama kingine ambacho kinawaza na kuota kuwa chenyewe kiwe ndiyo Taifa Kabisaa!!. Absurd!!
Mistake kama hizi ndizo zinazoweza kuwafanya wananchi wawaone Wapinzani kama watu Fanatic, waleta vurugu, wasioheshimu alama na nembo za Taifa.
Na kwa kweli vitendo kama hivi vikionyeshwa kwa wananchi wengi, wanakuwa pissed off kwa kuwaona Wapinzani kama watu ambao ni immature!
Kuna sababu gani kwa mfano kubadili maneno ya Taifa na kuweka mengine ndani ya wimbo huo?. Kwa nini wasiimbe wimbo wa Taifa kama ulivyo ndani ya vikao vyao, kuna tatizo gani kuuchukua wimbo wa Taifa kama ulivyo?
Katika hili siwezi kuwatetea Chadema hata kidogo, Lazima waonyeshe maturity, wasiwe watu wa ushabikishabiki na bila sababu.
Hebu tazama hapa chini CHADEMA wakidistort wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao.
Mwenyekiti Mbowe Shame on you
Katibu Mkuu wa Chadema Shame on you
Tundu Lissu Shame on you
Mmetukosea wananchi wote wenye vyama na wasio na vyama kwa kuleta mzaha kwenye wimbo unautuunganisha taifa zima kwa kuleta uvyamavyama(partsanship) kwenye suala hilo
Siku nyingine tumieni busara kwenye kufanya mambo, hakuna haja ya kutafuta unnecessary troubles!
Hebu tazama hapa wanavyoimba:
View attachment 1527225
We kuku kwani hujaona wimbo wa CCM walioigiza wimbo wa taifa?
Mkuu kuwa mpinzani hakukupi nafasi ya kuharibu ili uzungumzweMtahangaika sana nyie ccm mliyofanya nyie ndio haki lkn wengine ni makosa!
Mi niko huku kalonga malawi ila naona watu mnateteana kama vile hamjui mnakoseaMsalimie polepole hapo lumumba [emoji23]
.Hivi kwa nini mnapenda kutanguliza matusi kuficha ujinga wako? Huu wimbo ulitokana na wimbo wa Nkosi Sikelel iAfrika uliotungwa 1897 na Padri Enoch Sontoga kama wimbo wa kanisani wa ki Xhosa. Kama kuna maneno ya kiingereza yalikuja baadae. Wimbo huu ulitumiwa na ANC kama wimbo wao na baadae kama mojawapo wa nyimbo za taifa za Afrika Kusini, mwingine ulikuwa Die Stem van Suid Afrika. Sasa hivi Afrika Kusini wameunganisha nyimbo hizo na kuongeza maneno kutoka makabila mengine. Kwa sababu hii, utaona kuwa watu wamekuwa wakiongeza na kubadilisha maneno ya wimbo kukidhi mahitaji yao toka utungwe na Sontoga. CDM sio wa kwanza na hawatakuwa wa mwisho.
Usipende kuwaita wenzako wapumbavu kwenye vitu ambavyo hata wewe hauvijui.
Amandla...