Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Nyie ndio ambao Lisu ndio anategemea kuwapeleka IkuluHuu wimbo wa Taifa sio sawa na maandiko matakatifu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ndio ambao Lisu ndio anategemea kuwapeleka IkuluHuu wimbo wa Taifa sio sawa na maandiko matakatifu.
Sasa wimbo wa dini unalinganisha na wa taifa?Ila Peter Msechu akibadiri nyimbo ya Dini kuweka maneno ya kumsifia magufuli iyo sawa???
Acheni double standard walichofanya chadema wala si kosa kisheria na hata pia kimaadili
Ndiyo maana Mkapa aliwaita wapumbavu na malofa.
Vitu kama hivi ndo vinafanya wananchi waone upinzani kama watu wasiojielewa
UPI ni sensitive??? Nyimbo ya Taifa au nyimbo ya dini??Sasa wimbo wa dini unalinganisha na wa taifa?
UPI ni sensitive??? Nyimbo ya Taifa au nyimbo ya dini??Usiwe jinga,! Sasa wimbo wa dini unalinganisha na wa taifa?
Yuko wapi sasa .Ndiyo maana Mkapa waliwatukana
Vitu kama hivi ndo vinafanya wananchi waone upinzani kama watu wasiojielewa
Unaweza kuweka hapa tuone alivyopost?Hukuona Magu alipost iyo nyimbo kwenye official page yake??? Nakuwa na mashaka sana na consciousness yako ndugu. Unanipa wakati mgumu
kuna mambo yafuatayo
1. Si sahihi Wapinzani kufanya ya hovyo eti. kwa kuwa CCM huwa wanafanya ya hovyo
2. wapinzani ili waheshimike na wakubalike kwa wananchi inabidi wawe humble zaidi, wafanye vitu ambavyo ni modest ili kuvutia umma usiwaone watu wasiofuata taratibu na kuheshimu tunu ambazo tumeshazipokea kuwa ni tunu au alama za taifa.
CCM wanaweza kufanya upuuzi, na wakaweza kujiclear easily kwa sababu wana dola, wana all bullying pulpits za kuweza kutwist matendo yao na kushape public opinion in their favor. Wapinzani hawana hiyo luxury ndiyo maana inabidi wawe exemplary.
3. Makosa mawili hayafanyi kosa moja lisiwe kosa
4. Haifai wapinzani kuwapa CCM ammunition ya kuwaondolea credibility mbele ya wananchi. Matendo kama haya yaweka ukuta baina ya wananchi wazalendo kwa taifa lao ambao wamekua toka nursery school wakiimba wimbo wa Taifa kwa heshima zote. Leo ukireplace Tanzania ukaweka Chadema, wananchi hawa hawawezi kuwa comfortable
5. Ni makosa sana kubase argument za "mbona na CCM. hivi, au mbona CCM vile", hizo hazisaidii wapinzani. Ni tofauti sana vijana wa Temeke wasio na chama chochote cha siasa kufanya jambo fulani baya na Baraza kuu la Chadema kufanya jambo hilohilo tofauti yake ni.bingu na ardhi!
Ni kweli usemayo, lakini hakuna mwananchi wa nchi hii atawadharau cdm kisa wameimba wimbo wa taifa na kuweka neno cdm. Usije ni mihemko vya kiccm. Zaidi ya asilimia 90% ya watanzania hakuna anayekwazika kwa matumizi yoyote ya huo wimbo wa taifa, hata huo wimbo ukaupigie guest no body cares. Usitake kuja kuleta utetezi wa wasimamizi wa siasa chafu, kwa kutaka kujifanya mzalendo kumbe tapeli tu. Kawaambie ACT waimbe wakiwa wamepiga magoti ili waaminike na wananchi kisha wapewe nchi.
Hautaeleweka mkuu lakini usichoke kuusema ukweli.Asante
Linapokuja suala la Taifa na tunu zake pamoja na alama zake, lazima tusimame wote kama Watanzania kuzilinda na kuzitetea bila kujali vyama vyetu.
Walichokifanya CHADEMA siyo sawa!
Wanaweza kutengeneza wimbo wao wa chama wakawa nao lakini siyo kuchukua wimbo wetu wa Taifa na kuufanyia distortion.
Ule wimbo ni Dua kwa Taifa zima, haifai kuuchezeachezea!
Nakuhakikishia, CCM wakiichukua hiyo clip kisha wakaiwashitaki Chadema kwa wananchi kuwa ni watu wasioheshimu alama za Taifa, wananchi wengi hawatopenda hicho kitendo.
Hapa tunajaribu kurekebisha mambo, hatufanyi haya kwa kuwa tunawachukia Chadema bali tunataka iache kufanya makosa unnecessary kama haya.. Yanaweza kuwaallaniate watu
Nakuhakikishia, CCM wakiichukua hiyo clip kisha wakaiwashitaki Chadema kwa wananchi kuwa ni watu wasioheshimu alama za Taifa, wananchi wengi hawatopenda hicho kitendo.
Hapa tunajaribu kurekebisha mambo, hatufanyi haya kwa kuwa tunawachukia Chadema bali tunataka iache kufanya makosa unnecessary kama haya.. Yanaweza kuwaallaniate watu
Mkuu unakosea aisee.Huu wimbo wa Taifa sio sawa na maandiko matakatifu.
Nimeona onyo la Msajili wa vyama akiwaonya CHADEMA kwa kitendo chao cha kubadili maneno ya wimbo wa Taifa na kuweka mengine.
Mwanzo sikuchukulia serious, lakini kitendo cha kuona kuwa kumbe ni kweli CHADEMA wamebadili wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao ya uvyama vyama kwa kweli, hicho siyo kitendo cha busara na uungwana kwa Taifa.
Sote tunaisema CCM kuwa CCM ni Chama dola, kumbe kuna Chama kingine ambacho kinawaza na kuota kuwa chenyewe kiwe ndiyo Taifa Kabisaa!!. Absurd!!
Mistake kama hizi ndizo zinazoweza kuwafanya wananchi wawaone Wapinzani kama watu Fanatic, waleta vurugu, wasioheshimu alama na nembo za Taifa.
Na kwa kweli vitendo kama hivi vikionyeshwa kwa wananchi wengi, wanakuwa pissed off kwa kuwaona Wapinzani kama watu ambao ni immature!
Kuna sababu gani kwa mfano kubadili maneno ya Taifa na kuweka mengine ndani ya wimbo huo?. Kwa nini wasiimbe wimbo wa Taifa kama ulivyo ndani ya vikao vyao, kuna tatizo gani kuuchukua wimbo wa Taifa kama ulivyo?
Katika hili siwezi kuwatetea Chadema hata kidogo, Lazima waonyeshe maturity, wasiwe watu wa ushabikishabiki na bila sababu.
Hebu tazama hapa chini CHADEMA wakidistort wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao.
Mwenyekiti Mbowe Shame on you
Katibu Mkuu wa Chadema Shame on you
Tundu Lissu Shame on you
Mmetukosea wananchi wote wenye vyama na wasio na vyama kwa kuleta mzaha kwenye wimbo unautuunganisha taifa zima kwa kuleta uvyamavyama(partsanship) kwenye suala hilo
Siku nyingine tumieni busara kwenye kufanya mambo, hakuna haja ya kutafuta unnecessary troubles!
Hebu tazama hapa wanavyoimba:
View attachment 1527225
Duh wanajaribu kutuaminisha au kutuambia nini wananchi na wanachama wa Chadema