Pythagoras
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,026
- 5,299
Kupitia hizo nyimbo mbili, hivyo vyama viwili vinastahili viwajibishwe. Ikiwezekana vifutwe kabisa 😡😡😡😡😡
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu wimbo wa Taifa sio sawa na maandiko matakatifu.
Nakuhakikishia, CCM wakiichukua hiyo clip kisha wakaiwashitaki Chadema kwa wananchi kuwa ni watu wasioheshimu alama za Taifa, wananchi wengi hawatopenda hicho kitendo.
Hapa tunajaribu kurekebisha mambo, hatufanyi haya kwa kuwa tunawachukia Chadema bali tunataka iache kufanya makosa unnecessary kama haya.. Yanaweza kuwaallaniate watu
Hautaeleweka mkuu lakini usichoke kuusema ukweli.
Siyo kila mtu anaweza kuuona ukweli katikati ya mihemko ya kimakundi.
Kupitia hizo nyimbo mbili, hivyo vyama viwili vinastahili viwajibishwe. Ikiwezekana vifutwe kabisa [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Siyo cdm hata ccm ndiyo walio anza huo utaratibu
Zamani tulikuwa hatuvai bendera, siku hizi tunachambia bendera, na maisha yanasonga usikariri dogo, vitu vyote chini ya jua Ni ubatili tuHii video uliyoweka, hawa wanaoimba wana nafasi gani ndani ya CCM, Je kitendo chao kilikuwa endorsed na CCM, au ni rogue elements tu zimeamua kuimba?
Anyway,. makosa mawili hayafanyi kosa lisiwe kosa.
hebu linganisha kosa lifanywe na Baraza kuu zima la Chadema, Mwenyekiti akiwepo, katibu mkuu yupo na mgombea uraisi yupo nao wanashiriki kudistort wimbo wa Taifa.
Yaani Baraza kuu zima la Chadema, mbele ya mwenyekiti, na katibu mkuu wake pamoja na wajumbe wanashiriki kudistort wimbo wa Taifa
Hizi video mbili hazilingani aisee!
Kuna watu hawajui kwanini wimbo wa taifa ukiimbwa watu wanasimama chadema wanaweza wakaona hawajafanya kosa kama akili zao zinavyowatuma ila ni kosa kubwa wamelifanya kuelekea uchaguzi mkuu kama ni kick imebuma
Ni viongozi gani wa CCM au ni kwenye kikao gani cha CCM walibadiri maneno ya wimbo wa Taifa?
Mkuu tuungane kuwanyoosha hawa wanasiasa, tukiwashangalia kwa kila kitu watatupanda vichwani.Haka kajamaa ka act kameanza kuwa kapuuzi
tafakari ukiwa unaandikaIla Peter Msechu akibadiri nyimbo ya Dini kuweka maneno ya kumsifia magufuli iyo sawa???
Acheni double standard walichofanya chadema wala si kosa kisheria na hata pia kimaadili
Kuna watu hawajui kwanini wimbo wa taifa ukiimbwa watu wanasimama chadema wanaweza wakaona hawajafanya kosa kama akili zao zinavyowatuma ila ni kosa kubwa wamelifanya kuelekea uchaguzi mkuu kama ni kick imebuma
[emoji3][emoji3][emoji112][emoji112][emoji16]ndio faida za kufunga,kuzuia siasa,unapokuja kufungulia unakuta watu wamejaa gas mpaka pomoni,nyongo zinaanza kutema Sasa.
[emoji44][emoji27][emoji3][emoji3][emoji112][emoji112][emoji16]