Uchaguzi 2020 Tuache kutetea Ujinga: Kubadili maneno ya wimbo wa Taifa na kuweka uvyama siyo sahihi

Uchaguzi 2020 Tuache kutetea Ujinga: Kubadili maneno ya wimbo wa Taifa na kuweka uvyama siyo sahihi

Kuna watu wako neutral aisee , hawazuzuliwi na sisiem hata kwa maneno au vitendo ambavyo mwenye akili anajua vinafanywa kama hadaa wapate kura, lkn pia wanaangalia Upinzani kama watu wanaostahili kupewa nchi na wala si Mamluki .

Fikiria leo wanabadili Wimbo wa Taifa, halafu wanaona haina madhara . Ni kweli kuuimba au kutoimba haubadulishi hali ya barabara zetu , au mfumo wa elimu lkn huo ndio nembo ya NCHI

Ipo siku watabadili bendera kuwa ina shida, watabadili taratibu za nchi, watabadili tamaduni na utaifa. Na kweli WATABADILI

Je Ujasiri huu unatoka wapi?
Waliona weakness ya Katiba na Sheria za Nchi. Na ZIPO NYINGI
Wanapata Ujasiri kusema kashtaki ,maana wajua hakuna kifungu kinawatia hatiani.
Lkn ukwelu HAWAFAI
Kutokomaa kisiasa kuliko pitiliza nadhani wataomba msamaha maisha yaende hakuna MKAMILIFU chini ya Jua ila WAMETELEZA

Lkn ukisiakia wanasema liwalo na liwe. Basi wenye akili watajua. Je UJASIRI HUU UNATOKA WAPI?
NANI YUPO NYUMA YAO?
Wengine sijui wamesingizia kuwa safari hii hakuna kumsubiri Mungu wananchi WATAINGIZWA BARABARANI. Ok sawa

Vyombo vyetu vya Usalama angalieni NDANI na NJE huenda seemu kinatokea Kiburi.

Tujenge vyama kama Simba na Yanga
Ushabiki Mzuri wa Vicheko mnakwaruzana uwanjani hata kurushiana mikojo lkn mnacheka mnapeana zawadi kwa kumfunga mwenzako.

Ova.
Sasa Basi, tumewachekea Sana,
 
Mkuu huyo the missile of the Nation ni mwana ACT hivyo anajitahidi kuichafua cdm ili Membe wao apate kuungwa mkono.
Kwahiyo kosa la kubadili bet za huo wimbo ni kwa viongozi tu, ila watu wengine wakifanya hivyo sio kosa! Acha kutetea uhuni wa huyo msajili anayekalia wazi makosa ya msingi. Kumtetea msimamizi mwenye nia ovu, ni unafiki kama unafiki mwingine.
 
Kuna watu wako neutral aisee , hawazuzuliwi na sisiem hata kwa maneno au vitendo ambavyo mwenye akili anajua vinafanywa kama hadaa wapate kura, lkn pia wanaangalia Upinzani kama watu wanaostahili kupewa nchi na wala si Mamluki .

Fikiria leo wanabadili Wimbo wa Taifa, halafu wanaona haina madhara . Ni kweli kuuimba au kutoimba haubadulishi hali ya barabara zetu , au mfumo wa elimu lkn huo ndio nembo ya NCHI

Ipo siku watabadili bendera kuwa ina shida, watabadili taratibu za nchi, watabadili tamaduni na utaifa. Na kweli WATABADILI

Je Ujasiri huu unatoka wapi?
Waliona weakness ya Katiba na Sheria za Nchi. Na ZIPO NYINGI
Wanapata Ujasiri kusema kashtaki ,maana wajua hakuna kifungu kinawatia hatiani.
Lkn ukwelu HAWAFAI
Kutokomaa kisiasa kuliko pitiliza nadhani wataomba msamaha maisha yaende hakuna MKAMILIFU chini ya Jua ila WAMETELEZA

Lkn ukisiakia wanasema liwalo na liwe. Basi wenye akili watajua. Je UJASIRI HUU UNATOKA WAPI?
NANI YUPO NYUMA YAO?
Wengine sijui wamesingizia kuwa safari hii hakuna kumsubiri Mungu wananchi WATAINGIZWA BARABARANI. Ok sawa

Vyombo vyetu vya Usalama angalieni NDANI na NJE huenda seemu kinatokea Kiburi.

Tujenge vyama kama Simba na Yanga
Ushabiki Mzuri wa Vicheko mnakwaruzana uwanjani hata kurushiana mikojo lkn mnacheka mnapeana zawadi kwa kumfunga mwenzako.

Ova.
Dogo ulikuwa wapi kutoa ushauri, mbona unaumia sasa
 
Dunia ina maajabu yake, et Mtungi naye aliwahi kuwa Jaji!! Dah hii nchi inavituko
 
Nimeona onyo la Msajili wa vyama akiwaonya CHADEMA kwa kitendo chao cha kubadili maneno ya wimbo wa Taifa na kuweka mengine.

Mwanzo sikuchukulia serious, lakini kitendo cha kuona kuwa kumbe ni kweli CHADEMA wamebadili wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao ya uvyama vyama kwa kweli, hicho siyo kitendo cha busara na uungwana kwa Taifa.

Sote tunaisema CCM kuwa CCM ni Chama dola, kumbe kuna Chama kingine ambacho kinawaza na kuota kuwa chenyewe kiwe ndiyo Taifa Kabisaa!!. Absurd!!

Mistake kama hizi ndizo zinazoweza kuwafanya wananchi wawaone Wapinzani kama watu Fanatic, waleta vurugu, wasioheshimu alama na nembo za Taifa.

Na kwa kweli vitendo kama hivi vikionyeshwa kwa wananchi wengi, wanakuwa pissed off kwa kuwaona Wapinzani kama watu ambao ni immature!

Kuna sababu gani kwa mfano kubadili maneno ya Taifa na kuweka mengine ndani ya wimbo huo?. Kwa nini wasiimbe wimbo wa Taifa kama ulivyo ndani ya vikao vyao, kuna tatizo gani kuuchukua wimbo wa Taifa kama ulivyo?

Katika hili siwezi kuwatetea Chadema hata kidogo, Lazima waonyeshe maturity, wasiwe watu wa ushabikishabiki na bila sababu.

Hebu tazama hapa chini CHADEMA wakidistort wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao.

Mwenyekiti Mbowe Shame on you
Katibu Mkuu wa Chadema Shame on you
Tundu Lissu Shame on you

Mmetukosea wananchi wote wenye vyama na wasio na vyama kwa kuleta mzaha kwenye wimbo unautuunganisha taifa zima kwa kuleta uvyamavyama(partsanship) kwenye suala hilo

Siku nyingine tumieni busara kwenye kufanya mambo, hakuna haja ya kutafuta unnecessary troubles!

Hebu tazama hapa wanavyoimba:

View attachment 1527225
Tunaomba na maelezo ya hawa hapa
 

Attachments

  • Katibu Mkuu wa BAVICHA Nusrat Hanje na mratibu wa uhamasishaji taifa Twaha Mwaip ( 336 X 640 ).mp4
    818.5 KB
Nimeona onyo la Msajili wa vyama akiwaonya CHADEMA kwa kitendo chao cha kubadili maneno ya wimbo wa Taifa na kuweka mengine.

Mwanzo sikuchukulia serious, lakini kitendo cha kuona kuwa kumbe ni kweli CHADEMA wamebadili wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao ya uvyama vyama kwa kweli, hicho siyo kitendo cha busara na uungwana kwa Taifa.

Sote tunaisema CCM kuwa CCM ni Chama dola, kumbe kuna Chama kingine ambacho kinawaza na kuota kuwa chenyewe kiwe ndiyo Taifa Kabisaa!!. Absurd!!

Mistake kama hizi ndizo zinazoweza kuwafanya wananchi wawaone Wapinzani kama watu Fanatic, waleta vurugu, wasioheshimu alama na nembo za Taifa.

Na kwa kweli vitendo kama hivi vikionyeshwa kwa wananchi wengi, wanakuwa pissed off kwa kuwaona Wapinzani kama watu ambao ni immature!

Kuna sababu gani kwa mfano kubadili maneno ya Taifa na kuweka mengine ndani ya wimbo huo?. Kwa nini wasiimbe wimbo wa Taifa kama ulivyo ndani ya vikao vyao, kuna tatizo gani kuuchukua wimbo wa Taifa kama ulivyo?

Katika hili siwezi kuwatetea Chadema hata kidogo, Lazima waonyeshe maturity, wasiwe watu wa ushabikishabiki na bila sababu.

Hebu tazama hapa chini CHADEMA wakidistort wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao.

Mwenyekiti Mbowe Shame on you
Katibu Mkuu wa Chadema Shame on you
Tundu Lissu Shame on you

Mmetukosea wananchi wote wenye vyama na wasio na vyama kwa kuleta mzaha kwenye wimbo unautuunganisha taifa zima kwa kuleta uvyamavyama(partsanship) kwenye suala hilo

Siku nyingine tumieni busara kwenye kufanya mambo, hakuna haja ya kutafuta unnecessary troubles!

Hebu tazama hapa wanavyoimba:

View attachment 1527225
Mi sioni tatizo hapo, maana huu wimbo wenyewe ni wa afrika kusini sisi tumebadilisha maneno tu, na sija sikia wenyewe wakilalamika.
 
Nimeona onyo la Msajili wa vyama akiwaonya CHADEMA kwa kitendo chao cha kubadili maneno ya wimbo wa Taifa na kuweka mengine.

Mwanzo sikuchukulia serious, lakini kitendo cha kuona kuwa kumbe ni kweli CHADEMA wamebadili wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao ya uvyama vyama kwa kweli, hicho siyo kitendo cha busara na uungwana kwa Taifa.

Sote tunaisema CCM kuwa CCM ni Chama dola, kumbe kuna Chama kingine ambacho kinawaza na kuota kuwa chenyewe kiwe ndiyo Taifa Kabisaa!!. Absurd!!

Mistake kama hizi ndizo zinazoweza kuwafanya wananchi wawaone Wapinzani kama watu Fanatic, waleta vurugu, wasioheshimu alama na nembo za Taifa.

Na kwa kweli vitendo kama hivi vikionyeshwa kwa wananchi wengi, wanakuwa pissed off kwa kuwaona Wapinzani kama watu ambao ni immature!

Kuna sababu gani kwa mfano kubadili maneno ya Taifa na kuweka mengine ndani ya wimbo huo?. Kwa nini wasiimbe wimbo wa Taifa kama ulivyo ndani ya vikao vyao, kuna tatizo gani kuuchukua wimbo wa Taifa kama ulivyo?

Katika hili siwezi kuwatetea Chadema hata kidogo, Lazima waonyeshe maturity, wasiwe watu wa ushabikishabiki na bila sababu.

Hebu tazama hapa chini CHADEMA wakidistort wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao.

Mwenyekiti Mbowe Shame on you
Katibu Mkuu wa Chadema Shame on you
Tundu Lissu Shame on you

Mmetukosea wananchi wote wenye vyama na wasio na vyama kwa kuleta mzaha kwenye wimbo unautuunganisha taifa zima kwa kuleta uvyamavyama(partsanship) kwenye suala hilo

Siku nyingine tumieni busara kwenye kufanya mambo, hakuna haja ya kutafuta unnecessary troubles!

Hebu tazama hapa wanavyoimba:

View attachment 1527225
Sijua na hiu
 

Attachments

  • Facebook-289.mp4
    403.9 KB
Waache kuharibu wimbo wa taifa Hawa wanasiasa, pia Kuna wimbo joketi alipost wa uvccm, nao wametumia maneno ya wimbo ya taifa, humo ndani na kumtaja magufuli kabisa, Yani aibu pia hata kumsifu Raisi ni kumzalilisha, jamani wimbo wa taifa na uheshimiwe na kila mtu
 
Na wale vijana wa uvccm temeke uje uwaanzishie Uzi wao pia.
CDM ni taasisi kwanini inafanya Mambo ya kizwazwa inajishushia credibility, wimbo wa taifa siwakutaniwa taniwa
 
Makosa yanajirudia mara mbili ndan ya wiki uwanja wa taifa walikiuka itifaki

Mkutano wao wamenajisi wimbo wa taifa


Watetez wao wanakuambia eti sio msitali ya biblia au msaafu

Huu ni utetezi wa watu wasio jua nembo yao ya taifa ni pamoja na wimbo wa taifa

Siku mkipewa nchi si mtabadili na rangi ya bendera mnaweka yenu ndio iwe ya taifa

Tuwe makini na vitu tunavyo tetea
Mihemko imezidi Sana sijui shida Nini, wapewe tu adhabu iwe fundisho kwa wengine
 
Ila Peter Msechu akibadiri nyimbo ya Dini kuweka maneno ya kumsifia magufuli iyo sawa???


Acheni double standard walichofanya chadema wala si kosa kisheria na hata pia kimaadili
Walichofanya Chadema, wameimba kwanza wimbo wa Taifa...... Then wakajiimbia wimbo wao kwa kutumia tune ya wimbo wa Taifa.

Original tune ya wimbo huu wa South Africa na ulitungwa mwaka 1897. Sisi tumeiga, Zambia pia wameiga na Chadema nao wameiga.
 
Back
Top Bottom