Nafikiri sio kosa kama anaishi hapo ikulu kisheria.Naomba kuuliza hivi mtu akifanyia mkutano wa chama cha siasa Ikulu na ni mtanzania, je hili kosa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri sio kosa kama anaishi hapo ikulu kisheria.Naomba kuuliza hivi mtu akifanyia mkutano wa chama cha siasa Ikulu na ni mtanzania, je hili kosa?
Kila kitu ni Magufuli maana ndiye mwenye nchi. Tusubisi na wewe utakapojiita Stroke a.k.a kiharusi CHADEMA.Tutegemee Air Tanzania kuitwa Air Chadema,
Bank of Tanzania kuitwa Bank of Chadema,
Mlima Kilimanjaro kuitwa Mlima Chadema, The List goes on.
zo
Unapokosoa Chadema usiache kutukosoa na sisi CCM, umeona vijana wa temeke CCM walivyouimba huo unaouita wimbo wa taifa?Nimeona onyo la Msajili wa vyama akiwaonya CHADEMA kwa kitendo chao cha kubadili maneno ya wimbo wa Taifa na kuweka mengine.
Mwanzo sikuchukulia serious, lakini kitendo cha kuona kuwa kumbe ni kweli CHADEMA wamebadili wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao ya uvyama vyama kwa kweli, hicho siyo kitendo cha busara na uungwana kwa Taifa.
Sote tunaisema CCM kuwa CCM ni Chama dola, kumbe kuna Chama kingine ambacho kinawaza na kuota kuwa chenyewe kiwe ndiyo Taifa Kabisaa!!. Absurd!!
Mistake kama hizi ndizo zinazoweza kuwafanya wananchi wawaone Wapinzani kama watu Fanatic, waleta vurugu, wasioheshimu alama na nembo za Taifa.
Na kwa kweli vitendo kama hivi vikionyeshwa kwa wananchi wengi, wanakuwa pissed off kwa kuwaona Wapinzani kama watu ambao ni immature!
Kuna sababu gani kwa mfano kubadili maneno ya Taifa na kuweka mengine ndani ya wimbo huo?. Kwa nini wasiimbe wimbo wa Taifa kama ulivyo ndani ya vikao vyao, kuna tatizo gani kuuchukua wimbo wa Taifa kama ulivyo?
Katika hili siwezi kuwatetea Chadema hata kidogo, Lazima waonyeshe maturity, wasiwe watu wa ushabikishabiki na bila sababu.
Hebu tazama hapa chini CHADEMA wakidistort wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao.
Mwenyekiti Mbowe Shame on you
Katibu Mkuu wa Chadema Shame on you
Tundu Lissu Shame on you
Mmetukosea wananchi wote wenye vyama na wasio na vyama kwa kuleta mzaha kwenye wimbo unautuunganisha taifa zima kwa kuleta uvyamavyama(partsanship) kwenye suala hilo
Siku nyingine tumieni busara kwenye kufanya mambo, hakuna haja ya kutafuta unnecessary troubles!
Hebu tazama hapa wanavyoimba:
View attachment 1527225
Hizi ndo akili zilizojaa huko CHADEMA. Yaani mtu anadiriki kufananisha kwaya ya kanisani na wimbo wa taifa. Kuna siku mbowe atachapisha buku aweke picha yake mtaona ni sawa kabisa.Wapi imekatazwa kunadirisha wimbo wa Taifa??? Taja sheria????
Kwa iyo kunadiri nyimbo ya kumsifu Mungu kumsifu magufuli kwako unaona sawa??
Hata mimi napinga ila ni vizuri kuwe na mizania sawa kwenye hayo makatazo.
View attachment 1527227
Nimeona onyo la Msajili wa vyama akiwaonya CHADEMA kwa kitendo chao cha kubadili maneno ya wimbo wa Taifa na kuweka mengine.
Mwanzo sikuchukulia serious, lakini kitendo cha kuona kuwa kumbe ni kweli CHADEMA wamebadili wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao ya uvyama vyama kwa kweli, hicho siyo kitendo cha busara na uungwana kwa Taifa.
Sote tunaisema CCM kuwa CCM ni Chama dola, kumbe kuna Chama kingine ambacho kinawaza na kuota kuwa chenyewe kiwe ndiyo Taifa Kabisaa!!. Absurd!!
Mistake kama hizi ndizo zinazoweza kuwafanya wananchi wawaone Wapinzani kama watu Fanatic, waleta vurugu, wasioheshimu alama na nembo za Taifa.
Na kwa kweli vitendo kama hivi vikionyeshwa kwa wananchi wengi, wanakuwa pissed off kwa kuwaona Wapinzani kama watu ambao ni immature!
Kuna sababu gani kwa mfano kubadili maneno ya Taifa na kuweka mengine ndani ya wimbo huo?. Kwa nini wasiimbe wimbo wa Taifa kama ulivyo ndani ya vikao vyao, kuna tatizo gani kuuchukua wimbo wa Taifa kama ulivyo?
Katika hili siwezi kuwatetea Chadema hata kidogo, Lazima waonyeshe maturity, wasiwe watu wa ushabikishabiki na bila sababu.
Hebu tazama hapa chini CHADEMA wakidistort wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao.
Mwenyekiti Mbowe Shame on you
Katibu Mkuu wa Chadema Shame on you
Tundu Lissu Shame on you
Mmetukosea wananchi wote wenye vyama na wasio na vyama kwa kuleta mzaha kwenye wimbo unautuunganisha taifa zima kwa kuleta uvyamavyama(partsanship) kwenye suala hilo
Siku nyingine tumieni busara kwenye kufanya mambo, hakuna haja ya kutafuta unnecessary troubles!
Hebu tazama hapa wanavyoimba:
View attachment 1527225
Nimeona onyo la Msajili wa vyama akiwaonya CHADEMA kwa kitendo chao cha kubadili maneno ya wimbo wa Taifa na kuweka mengine.
Mwanzo sikuchukulia serious, lakini kitendo cha kuona kuwa kumbe ni kweli CHADEMA wamebadili wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao ya uvyama vyama kwa kweli, hicho siyo kitendo cha busara na uungwana kwa Taifa.
Sote tunaisema CCM kuwa CCM ni Chama dola, kumbe kuna Chama kingine ambacho kinawaza na kuota kuwa chenyewe kiwe ndiyo Taifa Kabisaa!!. Absurd!!
Mistake kama hizi ndizo zinazoweza kuwafanya wananchi wawaone Wapinzani kama watu Fanatic, waleta vurugu, wasioheshimu alama na nembo za Taifa.
Na kwa kweli vitendo kama hivi vikionyeshwa kwa wananchi wengi, wanakuwa pissed off kwa kuwaona Wapinzani kama watu ambao ni immature!
Kuna sababu gani kwa mfano kubadili maneno ya Taifa na kuweka mengine ndani ya wimbo huo?. Kwa nini wasiimbe wimbo wa Taifa kama ulivyo ndani ya vikao vyao, kuna tatizo gani kuuchukua wimbo wa Taifa kama ulivyo?
Katika hili siwezi kuwatetea Chadema hata kidogo, Lazima waonyeshe maturity, wasiwe watu wa ushabikishabiki na bila sababu.
Hebu tazama hapa chini CHADEMA wakidistort wimbo wa Taifa na kuweka maneno yao.
Mwenyekiti Mbowe Shame on you
Katibu Mkuu wa Chadema Shame on you
Tundu Lissu Shame on you
Mmetukosea wananchi wote wenye vyama na wasio na vyama kwa kuleta mzaha kwenye wimbo unautuunganisha taifa zima kwa kuleta uvyamavyama(partsanship) kwenye suala hilo
Siku nyingine tumieni busara kwenye kufanya mambo, hakuna haja ya kutafuta unnecessary troubles!
Hebu tazama hapa wanavyoimba:
View attachment 1527225
Kama hutaki waonekane wangeuimba vyumbani mwaoInawezekana ukawa na hoja za msingi, lakini kwangu naona ni kosa kurekodi na kusambaza, na sio hiyo remix kwenye mkutano wa Cdm.
Hata live band huwa tunaona wakiimba nyimbo mbalimbali za wengine na kuweka vikolombwezo, lakini kosa ni kurekodi na kusambaza.
Kilichokuibua ni hicho kitisho cha huyo msajili wa vyama vya siasa. Huyo msajili ni mara ngapi anakalia kimya mambo hayo hayo yakifanywa na ccm?
Kuna siku Magufuli alipokea wanaccm kwenye kamisheni ya jeshi huko Arusha, kumbuka jeshi limetengwa kabisa kikatiba na siasa.
Je msajili alikemea hilo, je ww ulikemea jambo lile? Au huu wimbo wa taifa ndio umeona wa maana sana mpaka kuuanzishia uzi?
Kama kuweka maneno tofauti hakubadili kwanini uwekeHii nji tunaongozwa na vichaa na majuha....! Kosa Hilo Hilo AKIFANYA CCM IS OK, LAKINI AKIFANYA CHADEMA NI UHAINI....!!
Double standards za kijinga kabisa!!!
Hapa Hakuna kosa kwa CCM Wala CHADEMA.....!!
Jaji Mtungi acha kutumika Kama Tissue za chooni please. Kuongeza maneno/tune ya mwimbo wa Taifa ni kama KIBWAGIZO tu cha kushereheka/kufurahia mkutano/kikao!! Hakuna DHAMBI au jinai yoyote hapo. WIMBO WA TAIFA UNAJULIKANA KWA MANENO, SAUTI NA BETI ZAKE....!!!!
KUIMBA KWA KUONGEZA/BADILISHA MANENO HAKUBADILI WIMBO WA TAIFA....!!!
CCM, MSAJILI, MAGUFULI NA POLISI ACHENI UTOTO!!!
Huo ni uongo watu wengi wanaheshimu sana wimbo wa taifa, chadema mnashindwa hata na wanafunzi wa shule za msingi.Narudia tena, ni kweli cdm wanaweza kuchukiwa ila sio kwa huo wimbo wa taifa, na wala watu wengi hawaoni heshima wala fahari ya huo wimbo, bali wanaona ni wimbo kama wimbo mwingine. Asilimia 80+ ya watanzania hawawezi kuimba huo wimbo wa taifa kwa usahihi. Na watu wengi wanaona kama ni wimbo wa watu wenye mafungamano ya serikali au siasa. Simply hauna maana au uzito wowote kwenye maisha yao. Usitake kuufanya ni wimbo ambao jamii inaona fahari ya kuuheshimu, wakati sio kweli.
Eeeh Mungu wasamehe kwani hawajui watendalo. AMENLabda una ajenda nyingine na Chadema. Mnajishikiza kusipo na ngoziView attachment 1527916View attachment 1527917