samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,223
Kama kichwa kinavyojieleza
Ni ujinga na upumbavu kuendelea kulea wazembe, wajinga, wapumbavu, wezi nk huko makazini huku mtaani kuna malaki ya vijana kwa wazee hawana ajira.
Ni wakati wa Serikali, taasisi zake, na mashirika yote yaliopo Tanzania kulibeba hili na kutolea wazembe, wajinga na wapumbavu... Taifa linazidi kuwa na watu wajinga kwa sababu ya kuleanaleana tu.
Makampuni yote ya kigeni na wawekezaji waambiwe kabisa marufuku kulea wajinga, wapumbavu na wazembe...walijue hili wanapokuja Tanzania.
Tunahitaji sasa Taifa la wakakamavu, majasiri, mahodari, wachapa kazi, watu wenye nguvu na sio blah blah zilizojaa kila kona.
Ni ujinga na upumbavu kuendelea kulea wazembe, wajinga, wapumbavu, wezi nk huko makazini huku mtaani kuna malaki ya vijana kwa wazee hawana ajira.
Ni wakati wa Serikali, taasisi zake, na mashirika yote yaliopo Tanzania kulibeba hili na kutolea wazembe, wajinga na wapumbavu... Taifa linazidi kuwa na watu wajinga kwa sababu ya kuleanaleana tu.
Makampuni yote ya kigeni na wawekezaji waambiwe kabisa marufuku kulea wajinga, wapumbavu na wazembe...walijue hili wanapokuja Tanzania.
Tunahitaji sasa Taifa la wakakamavu, majasiri, mahodari, wachapa kazi, watu wenye nguvu na sio blah blah zilizojaa kila kona.