Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Halima miaka 10 mfululizo inamtosha sana sasa ni wakati aje mtu mwingine ashirikiane na serikali kuondoa kero na kuleta maendeleo kwa ujumla.
Halima akaangalie maswala mengine huko BAWACHA panapo majaaliwa maana kumbe kupata viti maalum kunategemeana na mwandamo wa mwezi!
Kwa sample size iliyopo ni Gwajima tu anayeweza kutosha kushinda!
Halima akaangalie maswala mengine huko BAWACHA panapo majaaliwa maana kumbe kupata viti maalum kunategemeana na mwandamo wa mwezi!
Kwa sample size iliyopo ni Gwajima tu anayeweza kutosha kushinda!