Tuache masikhara kwenye jukwaa hili la love connect

Tuache masikhara kwenye jukwaa hili la love connect

Hiyo kweli lakn pia kuna baadhi ya wanaume sijui ndo udomozege au VP yaani MTU unachat na mwanamke kama unachat na mwanaume mwenzio, they ain't romantic at all yaan mpaka unawaza huyu akiwa mume itakuwaje ndani inabidi ujikatae,
miss
yaan mtu had kwenye kuchat awe romantic, hata bado hamja fahamiana uzuri, bado hamjatambuana poa, ana anaza tu kuwa romantic!!? hapo mnatuonea bhana, give them a time hapo unaweza ku determine, ilimrad asiwe ana kutukana au ana kuvunjia heshima yako na utu wako
 
miss
yaan mtu had kwenye kuchat awe romantic, hata bado hamja fahamiana uzuri, bado hamjatambuana poa, ana anaza tu kuwa romantic!!? hapo mnatuonea bhana, give them a time hapo unaweza ku determine, ilimrad asiwe ana kutukana au ana kuvunjia heshima yako na utu wako
Hapana mkuu yaani kuna ile unachat na mtu mpaka unajiuliza nilimtafuta wa nn kuna baadhi wanachat dry sana na mm ndo tunashindwana hapo mtu anakuuliza maswali kama boss anakufanyia interview
 
Hapana mkuu yaani kuna ile unachat na mtu mpaka unajiuliza nilimtafuta wa nn kuna baadhi wanachat dry sana na mm ndo tunashindwana hapo mtu anakuuliza maswali kama boss anakufanyia interview

bora awe anachart kibabe,kuliko unachart na MTU ukidhani kuwa ni chombo kipya kumbe ni yuleyule Wa juzi ila kaja na ID mpya na hadhi ya NEW MEMBER!!!!!!!!
 
miss
yaan mtu had kwenye kuchat awe romantic, hata bado hamja fahamiana uzuri, bado hamjatambuana poa, ana anaza tu kuwa romantic!!? hapo mnatuonea bhana, give them a time hapo unaweza ku determine, ilimrad asiwe ana kutukana au ana kuvunjia heshima yako na utu wako
Kuwa romantic sio lazima kumuita mtu mpenzi, angalau mtu atumie maneno malaini laini sio unakuwa mgumu kama unachat na dume mwenzio doooh!!
 
Unachata [emoji117] Unachat

Sasa kama asili yetu (Wakurya) sio watu wa kubembeleza au kutumia maneno malaini...wataka nifanyaje?

Kwanini pia msiwe mnaconsider hilo?
Maybe wapo watakaoconsider, mie hilo kabila sijui kwanini tu, yaani basi tu kwakweli.
 
Maybe wapo watakaoconsider, mie hilo kabila sijui kwanini tu, yaani basi tu kwakweli.
Usiseme hivyo dada, na usisikilize maneno ya watu. Wakurya wa sasa wana mioyo mizuri sana

Tena wengine ni walaini kabisa na wanawasikiliza wake zao.

Karibu Mara.
 
Usiseme hivyo dada, na usisikilize maneno ya watu. Wakurya wa sasa wana mioyo mizuri sana

Tena wengine ni walaini kabisa na wanawasikiliza wake zao.

Karibu Mara.
Mie mtu wa mara ila hao watu hapana kabisaaaaaa!!!
 
Kuwa romantic sio lazima kumuita mtu mpenzi, angalau mtu atumie maneno malaini laini sio unakuwa mgumu kama unachat na dume mwenzio doooh!!
Umeonaee mkuu yaani utahis unachat na robot yaani maswali ni dry kama vile unafanyiwa interview ya Kazi ,
 
Unachata [emoji117] Unachat

Sasa kama asili yetu (Wakurya) sio watu wa kubembeleza au kutumia maneno malaini...wataka nifanyaje?

Kwanini pia msiwe mnaconsider hilo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu et wakurya, mkuu kila kitu unajifunza
 
Doooh kwa niaba ya madomo zege wenzangu... Tumepokea ushauri wako kwa mikono miwili natutajitahidi kulifanyia kazi
Vizuri mkuu unajua mwanamke anahitaji vitu vidogo tu ambavyo ww unaweza kuvidharau lkn kwake vina maana , like lugha laini ukiwa unachat nae sio unachat kama unachat na mshikaji
 
Back
Top Bottom