miss charming
JF-Expert Member
- Dec 3, 2016
- 910
- 905
Hakuna kozi ya bure mkuu itabidi ulipiebas naomba unipe koz ya lugha romantic staki kukosa watoto wazuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kozi ya bure mkuu itabidi ulipiebas naomba unipe koz ya lugha romantic staki kukosa watoto wazuri
Binamu nakuonaa nakuonaaa[emoji102] [emoji102]bas naomba unipe koz ya lugha romantic staki kukosa watoto wazuri
we miss, usjali tuwasiliane bhana, huwezi jua Mungu katupangia niniHakuna kozi ya bure mkuu itabidi ulipie
hahahahaBinamu nakuonaa nakuonaaa[emoji102] [emoji102]
Wako kibao tu watoto wakishua wakumwaga,watu kibao na heshima zao.haijakaa kihuni ileaaah!
bro hivi kuna wabongo wako tinder kweli!!?
maana huwa nahisi ya ki amerika amerika hivi
asee ngoja kwanza ni set mambo na miss charmingWako kibao tu watoto wakishua wakumwaga,watu kibao na heshima zao.haijakaa kihuni ile
Tinder iko location based,means utaona watu walio karibu na wewe atleast 100 km,sasa ustegemee kuwakuta kina mwantumu kama uko uholanziasee ngoja kwanza ni set mambo na miss charming
halafu
tutakutana tinder, ile kweli ya kikubwa asee mi kwa ubora ule nikajuaga wabongo hakuna [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mkuu niko Tandale kwa hiyo kina mwantumu ndio wanahitajika [emoji23]Tinder iko location based,means utaona watu walio karibu na wewe atleast 100 km,sasa ustegemee kuwakuta kina mwantumu kama uko uholanzi
Basi u wont be disapointed my guy,we fanya kutupiamo nyavu zako.mkuu niko Tandale kwa hiyo kina mwantumu ndio wanahitajika [emoji23]
gud manBasi u wont be disapointed my guy,we fanya kutumiamo nyavu zako.
Ukiona mtu anatafuta kwenye mitandao ujue jamii yake imemshindwa kwa tabia zake mbovu
Mkuu huo ni mtazamo wa 'kijima'.
Dunia sasa hivi iko kiganjani mwako hivyo kila mtu anaitumia kwa namna anayoona itamletea manufaa!
Hahaha tuvumiliane hivyohivyo ndugu,binadamu hatujakamilika ukijua hili mwenzako anajua lile,chamuhimu tuishi in harmony.gud man
we jamaa kwa idea kubwa kubwa uko vzuri
tatizo idea ndogo ndogo ndio tunapishanaga [emoji23]
usjali kwanza in a health society people think differntly and they celebrate their differenceHahaha tuvumiliane hivyohivyo ndugu,binadamu hatujakamilika ukijua hili mwenzako anajua lile,chamuhimu tuishi in harmony.
Mkuu, huo ni mtazamo hasi! vipi wanaotoa ushuhuda wa kuwapata wenza wema kupitia jukwaa kama hili?Nanyie mkome kupenda kuseleleka.we. ushindwe kupata mtu wa kukufaa huko kwenye mtaani maisha halisi utegemee kuja kumpatia humu?
Tru dat.wachache wanafahamu kuwa munaweza kukubaliana kutokukubalianausjali kwanza in a health society people think differntly and they celebrate their difference
Alamsiki bibieNakupata mkuu wala sijasema ni jambo baya,mie mwenyewe nmetega nyavu zangu maeneo kadhaa(sio jf).tatizo hawa wanaodandia alafu wanashindwa kukabiliana na changamoto wanakuja kulialia
Mkuu, huo ni mtazamo hasi! vipi wanaotoa ushuhuda wa kuwapata wenza wema kupitia jukwaa kama hili?
Ib nur!Alamsiki bibie
Nakupata mkuu wala sijasema ni jambo baya,mie mwenyewe nmetega nyavu zangu maeneo kadhaa(sio jf).tatizo hawa wanaodandia alafu wanashindwa kukabiliana na changamoto wanakuja kulialia
Hahah huko ni kimya kimya shosti,hata ukikutana na mtu unayemfahamu mnapishana kama hamjuani.ni kama ule msemo wa what happens in vegas stays in vegasIb nur!
Mitego yako ikinasa usisahau kunishtua ili nami nikatege yangu huko.[emoji12] [emoji12] [emoji12]