Tuache mazoea ya kuvumilia kila kitu kwenye ndoa

Tuache mazoea ya kuvumilia kila kitu kwenye ndoa

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Tuache upumbavu wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" .... Wanawake wengi wamepoteza kazi, ndoto zao na hata wengine wamelemazwa kabisa kwasababu ya huu upuuzi wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" ..... na kuna wale ambao wameuawa katika ndoa.

Ninyi wazazi ambao mnakimbilia kila mara kuwaambia binti zenu kuvumilia mambo ya kinyama katika ndoa, tafadhali acheni upuuzi huo.

Nanyi wanawake wapumbavu mnaonyanyaswa halafu mnaendelea kuvumilia ujinga kwa sababu mnaamini kuwa ndoa ni uvumilivu, ninaamuru mara moja kuacha ujinga huo.

NDOA NI FURAHA NA AMANI, NA SI VINGINEVYO. UNANIELEWA ?

1624606006694.png
 
Tuache upumbavu wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" .... Wanawake wengi wamepoteza kazi, ndoto zao na hata wengine wamelemazwa kabisa kwasababu ya huu upuuzi wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" ..... na kuna wale ambao wameuawa katika ndoa. Ninyi wazazi ambao mnakimbilia kila mara kuwaambia binti zenu kuvumilia mambo ya kinyama katika ndoa, tafadhali acheni upuuzi huo. Nanyi wanawake wapumbavu mnaonyanyaswa halafu mnaendelea kuvumilia ujinga kwa sababu mnaamini kuwa ndoa ni uvumilivu, ninaamuru mara moja kuacha ujinga huo. NDOA NI FURAHA NA AMANI, NA SI VINGINEVYO. UNANIELEWA ??
Je upo kwenye ndoa? Tupe experience yako?
 
Si mwanaume si mwanamke wote wakiwa kwenye ndoa,wanakutana na mabalaa

Ova
 
Naunga mkono hoja, nafikir wanakumbuka lile tukio la magunia ya mkaa na mgomba wa ndizi. Mambo ya eti sijui uvumilivu tupa mbali tuepushe vifo vya kipumbavu
 
Tuache upumbavu wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" .... Wanawake wengi wamepoteza kazi, ndoto zao na hata wengine wamelemazwa kabisa kwasababu ya huu upuuzi wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" ..... na kuna wale ambao wameuawa katika ndoa. Ninyi wazazi ambao mnakimbilia kila mara kuwaambia binti zenu kuvumilia mambo ya kinyama katika ndoa, tafadhali acheni upuuzi huo. Nanyi wanawake wapumbavu mnaonyanyaswa halafu mnaendelea kuvumilia ujinga kwa sababu mnaamini kuwa ndoa ni uvumilivu, ninaamuru mara moja kuacha ujinga huo. NDOA NI FURAHA NA AMANI, NA SI VINGINEVYO. UNANIELEWA ??
Mpaka pale vijana watakapo elimishwa ndoa sio moja kati ya mafanikio katika maisha au ni sheria au lazima uonekane umeoa au umeolewa vinginevyo unakua kama unakasoro hapo ndipo haya mamboi ya hoyo yatapotea pia eimu ya mahusiano ni ndogo...halafu siku hizi utakuta vijana wemye maisha magumu ndio wan stress za kuoa, na hii lawama mimi mara nyigi na wapa viongozi wa dini na wazazi na jamii ya watu wazee wanafanya watu wanakua na uoga na mambo ya kuvumilia na kuishi kwa kutaka kuingia doani ili uoneakane perfect
 
Tuache upumbavu wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" .... Wanawake wengi wamepoteza kazi, ndoto zao na hata wengine wamelemazwa kabisa kwasababu ya huu upuuzi wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" ..... na kuna wale ambao wameuawa katika ndoa. Ninyi wazazi ambao mnakimbilia kila mara kuwaambia binti zenu kuvumilia mambo ya kinyama katika ndoa, tafadhali acheni upuuzi huo. Nanyi wanawake wapumbavu mnaonyanyaswa halafu mnaendelea kuvumilia ujinga kwa sababu mnaamini kuwa ndoa ni uvumilivu, ninaamuru mara moja kuacha ujinga huo. NDOA NI FURAHA NA AMANI, NA SI VINGINEVYO. UNANIELEWA ??
Weka picha kwanza tuone kama umeolewa maana isije ikawa ni "waiter"

Kwenye maisha kila hatua inahitaji uvumilivu
Kufanikiwa kunahitaji uvumilivu
Kutoka kwenye majonzi kunahitaji uvumilivu
Kuipata amani ya moyo kunahitaji uvumilivu
Kusubiri teuzi kunahitaji uvumilivu

Ndio maana wanasema HAKIKA WENYE KUSUBIRI WAKO PAMOJA NA MWENYEZIMUNGU

lakini SHETANI yeye hana "subira" yaani SHETANI yeye anataka mambo yake kwa haraka na wepesi nafikiri hicho ndicho ilichokuja kutufunza hapa leo

Na umapokua unanyanyaswa ndani ya ndoa rudi nyuma tafuta "source" ya tatizo na kama utaona itarekebishika basi kua mvumilivu na urekebishe taratibu na kama unaona haitarekebishika basi mke/mume si mzazi mke/mume si mtoto mke/mume si ndugu wa damu na ndio maana WAISLAMU wao wana TALAKA japo hii WAKRISTO haiwahusu maana kwa YESU mke/mume ni mwili mmoja hivo ni wa milele hata akuchome kisu huyo ni wako hakuna kuachana

Pia nikupe ELIMU nyingine ni kwamba ile mnayoita 50/50 MWENYEZIMUNGU haitambui na hiyo ipo kwa SHETANI na kama na wewe mrengo wako ni huo wa 50/50 basi trust me mpaka utaingia kaburini wewe utakua ni wakunyanyasika tu otherwise usiwe na wivu na NYAPU yako yaani uihalalishe kwa kila JOGOO
 
Tuache upumbavu wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" .... Wanawake wengi wamepoteza kazi, ndoto zao na hata wengine wamelemazwa kabisa kwasababu ya huu upuuzi wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" ..... na kuna wale ambao wameuawa katika ndoa. Ninyi wazazi ambao mnakimbilia kila mara kuwaambia binti zenu kuvumilia mambo ya kinyama katika ndoa, tafadhali acheni upuuzi huo. Nanyi wanawake wapumbavu mnaonyanyaswa halafu mnaendelea kuvumilia ujinga kwa sababu mnaamini kuwa ndoa ni uvumilivu, ninaamuru mara moja kuacha ujinga huo. NDOA NI FURAHA NA AMANI, NA SI VINGINEVYO. UNANIELEWA ??
Ukiachwa usilazimishe wenzio waachane! Kama unahisi ndoa ni kukurupuka rudi shule upya😅😅😂
 
Weka picha kwanza tuone kama umeolewa maana isije ikawa ni "waiter"

Kwenye maisha kila hatua inahitaji uvumilivu
Kufanikiwa kunahitaji uvumilivu
Kutoka kwenye majonzi kunahitaji uvumilivu
Kuipata amani ya moyo kunahitaji uvumilivu
Kusubiri teuzi kunahitaji uvumilivu

Ndio maana wanasema HAKIKA WENYE KUSUBIRI WAKO PAMOJA NA MWENYEZIMUNGU

lakini SHETANI yeye hana "subira" yaani SHETANI yeye anataka mambo yake kwa haraka na wepesi nafikiri hicho ndicho ilichokuja kutufunza hapa leo

Na umapokua unanyanyaswa ndani ya ndoa rudi nyuma tafuta "source" ya tatizo na kama utaona itarekebishika basi kua mvumilivu na urekebishe taratibu na kama unaona haitarekebishika basi mke/mume si mzazi mke/mume si mtoto mke/mume si ndugu wa damu na ndio maana WAISLAMU wao wana TALAKA japo hii WAKRISTO haiwahusu maana kwa YESU mke/mume ni mwili mmoja hivo ni wa milele hata akuchome kisu huyo ni wako hakuna kuachana

Pia nikupe ELIMU nyingine ni kwamba ile mnayoita 50/50 MWENYEZIMUNGU haitambui na hiyo ipo kwa SHETANI na kama na wewe mrengo wako ni huo wa 50/50 basi trust me mpaka utaingia kaburini wewe utakua ni wakunyanyasika tu otherwise usiwe na wivu na NYAPU yako yaani uihalalishe kwa kila JOGOO
Ulipofika kweny kuchomana visu hapo! Huo ni upuuzi hali ikifikia kwenye physical abuse hata kama ndoa ilifungishwa na papa mtakatifu kanisa la Vatican nitaingia mitini tu😅😅😅
 
Mtu fulani hawezi kuamka kutoka kusiko julikana, na kwenda kuua mtu mwingine. Ni marachache watu wanapokea wasivyostahili.

Mtu akipigwa, tafsiri itakuwa ni unyanyasaji lakini, ukweli ukisikiliza kwanini amepigwa unaweza kutamani aongezwe.
Ujinga Nyakati hizi uko pande zote. Tena huo upande unaowatetea ndio wamekuwa wajinga kuzidi.
Alafu hakuna Mtu analazimishwa kuingia kwenye ndoa.
 
Tuache upumbavu wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" .... Wanawake wengi wamepoteza kazi, ndoto zao na hata wengine wamelemazwa kabisa kwasababu ya huu upuuzi wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" ..... na kuna wale ambao wameuawa katika ndoa. Ninyi wazazi ambao mnakimbilia kila mara kuwaambia binti zenu kuvumilia mambo ya kinyama katika ndoa, tafadhali acheni upuuzi huo. Nanyi wanawake wapumbavu mnaonyanyaswa halafu mnaendelea kuvumilia ujinga kwa sababu mnaamini kuwa ndoa ni uvumilivu, ninaamuru mara moja kuacha ujinga huo. NDOA NI FURAHA NA AMANI, NA SI VINGINEVYO. UNANIELEWA ??

Tuache upumbavu wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" .... Wanaume wengi wamepoteza kazi, ndoto zao na hata wengine wamelemazwa kabisa kwasababu ya huu upuuzi wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" ..... na kuna wale ambao wameuawa katika ndoa. Ninyi wazazi ambao mnakimbilia kila mara kuwaambia vijana zenu kuvumilia mambo ya kinyama katika ndoa, tafadhali acheni upuuzi huo.

Nanyi wanaume wapumbavu mnaonyanyaswa halafu mnaendelea kuvumilia ujinga kwa sababu mnaamini kuwa ndoa ni uvumilivu, ninaamuru mara moja kuacha ujinga huo. NDOA NI FURAHA NA AMANI, NA SI VINGINEVYO. UNANIELEWA ?


Above is a Gender-Reversal Test. This thread would have been a little bit better if it was presented as gender-neutral.
 
Tuache upumbavu wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" .... Wanawake wengi wamepoteza kazi, ndoto zao na hata wengine wamelemazwa kabisa kwasababu ya huu upuuzi wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" ..... na kuna wale ambao wameuawa katika ndoa.

Ninyi wazazi ambao mnakimbilia kila mara kuwaambia binti zenu kuvumilia mambo ya kinyama katika ndoa, tafadhali acheni upuuzi huo.

Nanyi wanawake wapumbavu mnaonyanyaswa halafu mnaendelea kuvumilia ujinga kwa sababu mnaamini kuwa ndoa ni uvumilivu, ninaamuru mara moja kuacha ujinga huo.

NDOA NI FURAHA NA AMANI, NA SI VINGINEVYO. UNANIELEWA ??
Ugomvi kwenye ndoa ni kitu Cha kawaida,kama ugomvi huo ni ule wa maneno kwa nia ya kujengana na kukosoana,lakini ugomvi ukiwa wa ngumi,matusi,maneno ya kukera,dharau hapo kimbia,tena kwa wanawake,
Usisubili uumizwe,upewe ulemavu,kimbia,na Ili ukimbie inabidi uwe na kipato,dada zangu maswala ya kuolewa ukaenda kuwa mama wa nyumbani,utaumia,omba uolewe na muungwana,
 
Back
Top Bottom