Ni kweli, ndoa sio kuvumiliana bali ni kufurahiana, dhana ya kuvumiliana inatokana na makuzi tofauti kati ya wana ndoa au mapungufu ya kibinaadamu lakini sio mistreatment au ukatili wa namna yoyote.Tuache upumbavu wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" .... Wanawake wengi wamepoteza kazi, ndoto zao na hata wengine wamelemazwa kabisa kwasababu ya huu upuuzi wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" ..... na kuna wale ambao wameuawa katika
HAHAHAA wewe huwa unaongelea kiuhalisia sana. Bro kiukweli sijasikia hiyo issue. Kama hutajali tupia stori ilikuwaje kwenye PM.Hahaha hahaha
Mzee pm kunakuwaga na mushkeli sana
Nilipata hiyo code,wazee mbona wako kazini
Sana bado tena ukiisha moto ni ule ule
Si ulisikia ile issue ya tegeta+ununio+kino
Ova
Ni kweli. Wiki hii Millard Ayo karipoti mauaji zaidi ya mawili yaliyotokana na mapenziNi kweli, ndoa sio kuvumiliana bali ni kufurahiana, dhana ya kuvumiliana inatokana na makuzi tofauti kati ya wana ndoa au mapungufu ya kibinaadamu lakini sio mistreatment au ukatili wa namna yoyote.
Mwaka jana niliandika huu uzi na leo kila mtu anaongelea mauaji ya Swalha. Msidharau nyuzi zangu maana inawezekana Swalha alisoma huu uzi akapuuza.Ni shida sana.
HahahTuache upumbavu wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" .... Wanawake wengi wamepoteza kazi, ndoto zao na hata wengine wamelemazwa kabisa kwasababu ya huu upuuzi wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" ..... na kuna wale ambao wameuawa katika ndoa.
Ninyi wazazi ambao mnakimbilia kila mara kuwaambia binti zenu kuvumilia mambo ya kinyama katika ndoa, tafadhali acheni upuuzi huo.
Nanyi wanawake wapumbavu mnaonyanyaswa halafu mnaendelea kuvumilia ujinga kwa sababu mnaamini kuwa ndoa ni uvumilivu, ninaamuru mara moja kuacha ujinga huo.
NDOA NI FURAHA NA AMANI, NA SI VINGINEVYO. UNANIELEWA ?