sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
Watanzania tuache siasa za ngiriba ngiba hizi,
Hivi mnasema ameondoa tatizo, mnajua kuna sehemu ndani ya wilaya Ubungo tufanye wilaya ya Kinondoni ya zamani hazina maji kabisa?
Mfano eneo kama King'azi? Kifuru na Hali ya hewa haya maeneo zamani yalikuwa wilaya ya Kinondoni, kwa ngiriba za mwendazake za kutafutia watu ajira zisizo na tija wakaamua kuongeza wilaya ya Ubungo kwa kuimega wilaya ya Ubungo..
Huwezi amini haya maeneo niliyoyataja wananchi wanakunywa maji ya visima na ya chumvi.
Then Kuna jitu linamdanganya mama eti kaupiga mwingi Dar na Pwani hakuna shida ya maji? Aweso ni mchapa kazi ila ni mchongo kama wengine.
Hivi mnasema ameondoa tatizo, mnajua kuna sehemu ndani ya wilaya Ubungo tufanye wilaya ya Kinondoni ya zamani hazina maji kabisa?
Mfano eneo kama King'azi? Kifuru na Hali ya hewa haya maeneo zamani yalikuwa wilaya ya Kinondoni, kwa ngiriba za mwendazake za kutafutia watu ajira zisizo na tija wakaamua kuongeza wilaya ya Ubungo kwa kuimega wilaya ya Ubungo..
Huwezi amini haya maeneo niliyoyataja wananchi wanakunywa maji ya visima na ya chumvi.
Then Kuna jitu linamdanganya mama eti kaupiga mwingi Dar na Pwani hakuna shida ya maji? Aweso ni mchapa kazi ila ni mchongo kama wengine.