Tuache siasa kwa maisha ya watu, Rais Samia hajaondoa tatizo la maji Dar na Pwani

Tuache siasa kwa maisha ya watu, Rais Samia hajaondoa tatizo la maji Dar na Pwani

Kama huko ndio kuondoa tatizo basi huenda ame-set her targets Too Low.....

Aim at the moon if you Miss you will hit the Stars...
 
Nyie semeni kote huko ila Kigamboni ni nouma, wananchi wake wana degree ya uvumilivu kwa asili yao, achilia mbali kulipia vivuko na daraja kila uchao ila sidhani kama washawahi kuyaona maji ya Dawasco yakitoka - ila jamaa wapo kimyaaa !!
 
Watanzania tuache siasa za ngiriba ngiba hizi,

Hivi mnasema ameondoa tatizo, mnajua kuna sehemu ndani ya wilaya Ubungo tufanye wilaya ya Kinondoni ya zamani hazina maji kabisa?

Mfano eneo kama King'azi? Kifuru na Hali ya hewa haya maeneo zamani yalikuwa wilaya ya Kinondoni, kwa ngiriba za mwendazake za kutafutia watu ajira zisizo na tija wakaamua kuongeza wilaya ya Ubungo kwa kuimega wilaya ya Ubungo..

Huwezi amini haya maeneo niliyoyataja wananchi wanakunywa maji ya visima na ya chumvi.

Then Kuna jitu linamdanganya mama eti kaupiga mwingi Dar na Pwani hakuna shida ya maji? Aweso ni mchapa kazi ila ni mchongo kama wengine.
Nani kakuambia amelimaliza?

Tatizo la maji litaondolewa kwa kukamilika mradi huu wa Bwawa la kidunda.👇

Screenshot_20220322-223343.png


Screenshot_20220322-223426.png
 
Hamna Rais aliotupotezea muda kama Magafuli, hiyo hela ya flyover ya Ubungo angetusambazia maji Kinondoni yote, tungemuona wa maana kwa kweli, kuliko flyover wakati unaondoa na stendi kuu ya ma Ubungo elio kua inaleta foleni pale kukurupuka ndo uliokuwa mpango mzima wa Magufuli.
Mkuu ila pamekua pazuri [emoji39][emoji39][emoji39]
 
Hamna Rais aliotupotezea muda kama Magafuli, hiyo hela ya flyover ya Ubungo angetusambazia maji Kinondoni yote, tungemuona wa maana kwa kweli, kuliko flyover wakati unaondoa na stendi kuu ya ma Ubungo elio kua inaleta foleni pale kukurupuka ndo uliokuwa mpango mzima wa Magufuli.
Wewe ni mjinga mmoja. Wala huioni tofauti kati ya kero ya maji ya wakazi kadhaa wa ubungo.

Na tofauti ya flyover inayohudumia watanzania na wasio watanzania.

Foleni ya magari ni tatizo kiuchumi kwa sababu inachelewesha muda pia inakula mafuta mengi kwenye mitambo ya magari na hivyo kuwadumaza kiuchumi wamiliki na watumiaji wake.

Malori yanayohudumia Bandari ya Dar es Salaam kutoka Zambia,Malawi,Rwanda,
Burundi na mikoa yote ya Tanzania yanapitia hapo.

Mabasi yote ya Abiria ya nje na ndani ya nchi ni hiyohiyo barabara.

Halafu wewe mpuuzi mmoja kutoka ubungo unamkejeli Magufuli kwa sababu unawaza kwa kutumia matiti.

Shame on you [emoji53]
 
Korogwe Tanga maji hayajatoka unaenda mwezi wa pili na hata siku ambazo yanatoka hua yanatoka kila baada ya siku nne kuanzia saa moja asubuhi mpaka saa nne asubuhi.

Nilikua najiuliza kwanini hii sehemu ni potential kwa vitu vingi ila ipo nyuma mno angalau sababu zinajionyesha.
Hii korogwe kuna sehemu maji mara ya mwisho tumeona mwezi wa nane mwanzoni mpka leo
 
Watanzania tuache siasa za ngiriba ngiba hizi,

Hivi mnasema ameondoa tatizo, mnajua kuna sehemu ndani ya wilaya Ubungo tufanye wilaya ya Kinondoni ya zamani hazina maji kabisa?

Mfano eneo kama King'azi? Kifuru na Hali ya hewa haya maeneo zamani yalikuwa wilaya ya Kinondoni, kwa ngiriba za mwendazake za kutafutia watu ajira zisizo na tija wakaamua kuongeza wilaya ya Ubungo kwa kuimega wilaya ya Ubungo..

Huwezi amini haya maeneo niliyoyataja wananchi wanakunywa maji ya visima na ya chumvi.

Then Kuna jitu linamdanganya mama eti kaupiga mwingi Dar na Pwani hakuna shida ya maji? Aweso ni mchapa kazi ila ni mchongo kama wengine.
Tatizo akili zao zimejikita kwenye kura za urais tu!
 
Hii korogwe kuna sehemu maji mara ya mwisho tumeona mwezi wa nane mwanzoni mpka leo
Ni hovyo sana sasa maajabu yake ni bili ya maji nimeipata juzi inaonyesha nyumba inadaiwa laki tisa. Nikamuambia mwenye nyumba akasema hawa hawapo serious ngoja niwafuate.

As in maji hayajatoka mwezi wa pili sasa ila bili imekuja laki tisa.
 
Wewe ni mjinga mmoja. Wala huioni tofauti kati ya kero ya maji ya wakazi kadhaa wa ubungo.

Na tofauti ya flyover inayohudumia watanzania na wasio watanzania.

Foleni ya magari ni tatizo kiuchumi kwa sababu inachelewesha muda pia inakula mafuta mengi kwenye mitambo ya magari na hivyo kuwadumaza kiuchumi wamiliki na watumiaji wake.

Malori yanayohudumia Bandari ya Dar es Salaam kutoka Zambia,Malawi,Rwanda,
Burundi na mikoa yote ya Tanzania yanapitia hapo.

Mabasi yote ya Abiria ya nje na ndani ya nchi ni hiyohiyo barabara.

Halafu wewe mpuuzi mmoja kutoka ubungo unamkejeli Magufuli kwa sababu unawaza kwa kutumia matiti.

Shame on you [emoji53]
Kaka titi linawaza kweli?
 
Watanzania tuache siasa za ngiriba ngiba hizi,

Hivi mnasema ameondoa tatizo, mnajua kuna sehemu ndani ya wilaya Ubungo tufanye wilaya ya Kinondoni ya zamani hazina maji kabisa?

Mfano eneo kama King'azi? Kifuru na Hali ya hewa haya maeneo zamani yalikuwa wilaya ya Kinondoni, kwa ngiriba za mwendazake za kutafutia watu ajira zisizo na tija wakaamua kuongeza wilaya ya Ubungo kwa kuimega wilaya ya Ubungo..

Huwezi amini haya maeneo niliyoyataja wananchi wanakunywa maji ya visima na ya chumvi.

Then Kuna jitu linamdanganya mama eti kaupiga mwingi Dar na Pwani hakuna shida ya maji? Aweso ni mchapa kazi ila ni mchongo kama wengine.
King'azi hali ni mbaya yan ka sio dar vile,kuanzia maji hadi barabara ni shida na serikali wala aijali
 
Back
Top Bottom