Sina uzoefu wa nadharia za uchumi wa siasa ( Political economy), IMF na WB ni mashirika ya kijasusi, Yakiamua nchi yako kuiporomosha kiuchumi huwa wanafanya hivyo, Kuna nchi kadhaa wamezifanyia umafia kwa Propaganda za uchumi mara hazikopesheki,
Hata kipindi fulani enzi za JPM walishaanza kuwa na mgogoro na Gov kuhusu ukuaji wa uchumi
Kiuhalisia sekta ya Fedha hapa Tanzania bado inakua, Haijafikia maturity kama Kenya
Ripoti za IMF na WB na indicator zao na vigezo vyao tuwaachie wenyewe, Let's build our own Financial culture system
Moja ya kigezo hovyo cha WB na IMF ni hiki cha kuchukua Total income/Population=Per capital income
Kigezo cha GDP ndio kina mashaka zaidi na kuna ubishani mwingi sana
Kuna nchi wana maisha bora sana na Per capital income WB na IMF wanasema ni ndogo
Sent using
Jamii Forums mobile app