JF .
Imeniwia vigumu kukaa kimya lakini Nina hakika nitakuwa nimetoa mchango wangu kwa kulisaidia Taifa
Trafik wapo mabarabarani lakini mabasi yanapita tu na abiria wamesimama abiria anasimama mpaka masaa manne ni ajabu wenye mabasi wakifika karibu na police block wanaambiwa wakae chini kwenye korido. Wakishapita wanasimama auwanaendelea kukaa.
Sasa sijui wanamdanganya nani..trafiki wanajua mchezo huu na nimeona mabasi mengi ya mikoani yakifanya mchezo huu ni hatari sana kwa usalama wa abiria.
Serikali ilishapiga marufuku lakini binadamu sijui mpaka wafwanywaje inatia hasira. Sasa kero kubwa kwa abiria ambao wamekaa kwenye viti. Wakati mwingine Wanaminywa vilivyo sipendi kuyataja mabasi lakini mjue wananchi wanafikia mahali wanachoka.
Sasa wanapochoka mnajua wenyewe impact yake, tafadhali wajameni polisi msijisahau..simamieni hili ni wajibu wenu sio mpaka mkumbushwe
Asalaam Alaikum.
Imeniwia vigumu kukaa kimya lakini Nina hakika nitakuwa nimetoa mchango wangu kwa kulisaidia Taifa
Trafik wapo mabarabarani lakini mabasi yanapita tu na abiria wamesimama abiria anasimama mpaka masaa manne ni ajabu wenye mabasi wakifika karibu na police block wanaambiwa wakae chini kwenye korido. Wakishapita wanasimama auwanaendelea kukaa.
Sasa sijui wanamdanganya nani..trafiki wanajua mchezo huu na nimeona mabasi mengi ya mikoani yakifanya mchezo huu ni hatari sana kwa usalama wa abiria.
Serikali ilishapiga marufuku lakini binadamu sijui mpaka wafwanywaje inatia hasira. Sasa kero kubwa kwa abiria ambao wamekaa kwenye viti. Wakati mwingine Wanaminywa vilivyo sipendi kuyataja mabasi lakini mjue wananchi wanafikia mahali wanachoka.
Sasa wanapochoka mnajua wenyewe impact yake, tafadhali wajameni polisi msijisahau..simamieni hili ni wajibu wenu sio mpaka mkumbushwe
Asalaam Alaikum.