Hawez ingia ndani sababu anajua basi limefulika...na labda chochote kitu ameshatanguliziwa....Haa mabasi ya songea dar. Tena hawa ndio hawaogopi trafiki kabisa, anapita mbele ya trafiki na vioo viko wazi abiria wamesimama wengine wamekaa kwenye korido. Trafiki mwenyewe hathubutu kuingia ndani ya basi.
Ina maana trafik wanajua wanachokifanya..gari jipya linakuwa halijapata network ya mchongo,. Hilo lazima walisumbue mpaka liingie kwenye 18 likae mguu sawa...hahaha..Askari wetu oneni aibu Basi tekelezeni wajibu wenu..tunawapenda mnachapa kazi Ila kwa haya Mambo ni aibu...Mambo yanakuwa holela tu Sasa mbona huko nyuma mlikuwa mmenyooka..Na mimi ndio nawazungumzia hayo hayo. Kuna siku nimeshuhudia spfo ya Songea Dar abiria wamesimama kutoka njombe hadi iringa.
kuna mwingine akalala kwenye korido kutoka iringa hadi Morogoro.
Katika safari nzima hakuna trafiki aliyeingia kukagua. Lakini kuna siku nimepanda basi ambalo halina jina kubwa kutoka DSM hadi Kyela, kutoka mbezi haadi Makambako tu hapo trafiki waliingia ndani ya basi mara 2 na uhamiaji mara moja.
KabisaaDawa faini ni kwawote, abiria alisimama na wenye gari
Wakati naend mbeya majuzi tulipofika mafinga niliona abiria wengi waliingia kweny bas walisimama had tunafik mbeya ni zaid ya masaa 4Abiria anaesimama kwenye basi fala tu
Huwa nakasirika sana mtu kuja kusimama pembeni yanguHua wanakera sana abiria wanaokaa
Huyo faini ya abilia wengi wataishia jela maana wengine hata hela yakula njiani hana! Labda akikosa pesa yakulipa apewe vibokoDawa faini ni kwawote, abiria alisimama na wenye gari
Halafu ukute anuka jasho halafu anakula njia nzima mie nawambiaga kabisaHuwa nakasirika sana mtu kuja kusimama pembeni yangu
Naunga mkono hoja.JF .
Imeniwia vigumu kukaa kimya lakini Nina hakika nitakuwa nimetoa mchango wangu kwa kulisaidia Taifa
Trafik wapo mabarabarani lakini mabasi yanapita tu na abiria wamesimama abiria anasimama mpaka masaa manne ni ajabu wenye mabasi wakifika karibu na police block wanaambiwa wakae chini kwenye korido. Wakishapita wanasimama auwanaendelea kukaa.
Sasa sijui wanamdanganya nani..trafiki wanajua mchezo huu na nimeona mabasi mengi ya mikoani yakifanya mchezo huu ni hatari sana kwa usalama wa abiria.
Serikali ilishapiga marufuku lakini binadamu sijui mpaka wafwanywaje inatia hasira. Sasa kero kubwa kwa abiria ambao wamekaa kwenye viti. Wakati mwingine Wanaminywa vilivyo sipendi kuyataja mabasi lakini mjue wananchi wanafikia mahali wanachoka.
Sasa wanapochoka mnajua wenyewe impact yake, tafadhali wajameni polisi msijisahau..simamieni hili ni wajibu wenu sio mpaka mkumbushwe
Asalaam Alaikum.
Tatizoo mtee kaka hizo ni hela ya dereva na kondaSasa abiria mwenyewe inakuaje asimame!! au wamedandia tu hawalipii hao?
Ndio maana hatuendelei..mawazo gani mbinuko hayawewe acha kimbelembele sisi wenyewe tuna enjoy cha msingi niende na muda hakuna sehemu imeandikwa kwamba ukisafir lazima ukae.
huo usalama kama upo upo tu acha kimbelembela kijana ...
Hivi ni kwanini[emoji23]Haa mabasi ya songea dar. Tena hawa ndio hawaogopi trafiki kabisa, anapita mbele ya trafiki na vioo viko wazi abiria wamesimama wengine wamekaa kwenye korido. Trafiki mwenyewe hathubutu kuingia ndani ya basi.
Kwa super feo hii ni kawaida sana na hawafanywi kitu,Pia super feo ya kutoka mtwara kwenda mbeya kupitia songea inasimamisha Sana abiria ikifika masasi na wanachukulia kawaida TU hawaogopi ht askar
Ikitokea ajali hawa wanaosimama nadhani ndio wanaokufa. Haya mabasi maarufu ndio abiria wanajaa hadi kusimama na hawaogopi trafiki.Hivi ni kwanini[emoji23]
Songea mbeya abiria wamesimama hata hewa hakuna,trafik akawa anakunua tu na kusema hii too much,mie nilijua watashushwa,,trafik akasema tu safari njema[emoji23]
😀😀😀 kwamba mawazo mbinuko ?Ndio maana hatuendelei..mawazo gani mbinuko haya