Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]mmiss kwanza mengine yatafuata...[emoji6][emoji854]Me kuna wakwang tuliachan wiki 2 zilizopit kiukweli nimekaza tu fuvu Ila nampenda sana tu huw simtafut kabisa mpak yeye anitafute Ila huw namjib short sana juzi kaniambia amemiss utani wang lkn mara ya mwisho aliniambia anajamaa yake mpya na wanapendana ki ukweli bado nampend je nifanyaje wakulungwa?
Napata shida kweli najikaza tu nilipitia zile makala za kumfanya x arud ss cjui zinatumika kwa mda gan maana nataman nikajishushe Ila naogop maana najua atanites akijua nampend kias icho[emoji23][emoji23][emoji23]mmiss kwanza mengine yatafuata...[emoji6][emoji854]
Kama hupotezi kitu...jiondoe ufahamu...jitose...upate majibu yaliyokamilika...ufunge ukurasa.Napata shida kweli najikaza tu nilipitia zile makala za kumfanya x arud ss cjui zinatumika kwa mda gan maana nataman nikajishushe Ila naogop maana najua atanites akijua nampend kias icho
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndo maana mnateswa.
endelea kuvumilia mkuu, pole piaNimekuwa nikifuatilia mada za watu wenye changamoto katika mahusiano wakihitaji ushauri.
Cha ajabu majibu mengi hayana uhalisia utasikia",piga chini","mrudishe kwao""muolee mke wa pili"etc,hayo majibu ya wadau wengi,ila ukweli kumuacha mke unayempenda sio rahisi hivyo tusidanganyane.
Hao wanaokushauri hivyo nyumba zao zinawaka moto hawaachani wapo tu ,tupeane ushauri wa kujenga na kudumisha mahusiano badala ya kudanganyana.
Kaka we sikia tu kumuachia mtu unayempenda,wakulungwa watakwambia mblock kwenye simuMe kuna wakwang tuliachan wiki 2 zilizopit kiukweli nimekaza tu fuvu Ila nampenda sana tu huw simtafut kabisa mpak yeye anitafute Ila huw namjib short sana juzi kaniambia amemiss utani wang lkn mara ya mwisho aliniambia anajamaa yake mpya na wanapendana ki ukweli bado nampend je nifanyaje wakulungwa?
Nimekuwa nikifuatilia mada za watu wenye changamoto katika mahusiano wakihitaji ushauri.
Cha ajabu majibu mengi hayana uhalisia utasikia",piga chini","mrudishe kwao""muolee mke wa pili"etc,hayo majibu ya wadau wengi,ila ukweli kumuacha mke unayempenda sio rahisi hivyo tusidanganyane.
Hao wanaokushauri hivyo nyumba zao zinawaka moto hawaachani wapo tu ,tupeane ushauri wa kujenga na kudumisha mahusiano badala ya kudanganyana.
Assume kafa tu. YOLO
Hayajawakuta tu ndugu yanguUmenena Mkuu...
Kuna mtu anakwambia et we muache atarud wanawake hawana ujanja kwa kua anadate na wakuu za anajua wanawake wote sawa pumbav...
Usione mtu anamlilia mwanamke ukamcheka kuna wanawake wana atract ata kama sura mbaya wana mvuto wa ndan wanaheshima wanamawazo wana mapenzi yan unaanzaje kuacha aende mwanamke ka uyo [emoji22]