Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,251
- 6,299
Reserve mbali mno, hata Under 20Acheni utani, hakuna timu ya Ligi Kuu ya NBC yenye kiwango kinachoifikia timu ya reserves ya Manchester City
Kabisa mkuu.....mfano... mwanzoni nilikuwa naona ntibazonkiza ....Kama hana madhara ...ila saiz ni Moto sanaYaan mpaka February, Prof atakua anapata shida sana nani aanze, nani abaki.
Djigui /Abuu
Bryson/ Kibwana/Djuma/ Athuman, hku Farid/Moloko /Saido/Yacouba, Aucho/Sureboy, Fiston/Makambo
Moto unaingia moto.
Yanga utamu kunoga (mpenja voice)
😅😅😅😅 60% tuMkuu......subiri yajayo yanafurahisha
Tulitolewa coz kikosi kilikua ndo kinaundwa......wrong timing ya hiyo michuano ndiyo iliyotucost
Kumbuka
up to know YANGA inacheza 60% ya mpira ulio kichwani mwa proffesor
Jiulize ikifika 100%. Pira litakuwaje
🤣🤣🤣🤣🤣🤣we ni mmoja ya wanasimba naowakubali humuKwakweli nawapongeza sana Uto watani zetu.
mnaonyesha kuimarika kila angle,japo wachezaji wa Dodoma wameonyesha kama wamechoka sana au awakula chakula jana na leo sijui ni misumari au ni mchongo.
ila yote kwa yote huu ndo mwaka wenu wa kubeba ubingwa mkijikwaa msimu huu sahauni ubingwa mabwege nyinyi[emoji23][emoji23](jockes)
Kipimo ni Dodoma jiji? Watanzania tunaelekea kuwa vichaa wote. Tena 2022 haitatuacha tukiwa salama.Kama wewe ni mdau wa soka na sio shabiki wa mipira basi utaniunga mkono kwa hili. Mpira wanaocheza yanga unatisha.
Imagine aneyeingia sub ni Moto kuliko anayetoka (kitaa tunaeema "linatoka jini ......linaingia jini" kwamba hakuna ambaye mdhaifu.
Ikumbukwe ni hii Dodoma jiji aliyocheza na SIMBA
Angalia ball possession kati ya WANANCHI na Dodoma jiji[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji113]
View attachment 2064358