Tuache unafiki, Utawala Awamu ya 5 ulikuwa hatarishi!

Tuache unafiki, Utawala Awamu ya 5 ulikuwa hatarishi!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Mimi si mpenzi sana wa " Nabii" , "Askofu" Josephat Mwingira kwani mambo yake mengi yana figisu nyingi.
Tuhuma alizozitoa Mwingira si ngeni kusikika, kuwa alinusurika kuuwawa na mali zake kuteketezwa.

Sisi wananchi tunashangazwa na unafiki wa wazi katika matukio hasi , ambayo yaliyiwahi kutokea huko nyuma Awamu ya 5.
Tungeoenda kumshauri Simbachawene aache unafiki wa kuchunguza yale tu wanayopenda na kuacha mengine mazito zaidi, kama ifuatavyo:

1.Tundu Lissu
Serikali ichunguze kupigwa risasi kwa mtu huyu. Mimi si mpenzi wa Lissu wala Chadema lakini ukweli hauna chama.

2. Ben Saanane
Serikali imelifumbia jicho tatizo hili, Simbachawene upo tu.

3. Kifo cha Lwajabe
Alikotwa Mkuranga eti kajinyonga, Serikali itoe majibu ya kuridhisha.

4. Kutekwa Mo, Roma Mkatoliki na wengine.
Ni hii hii serikali yetu pendwa ilikuwepo haya yakitokea, na hakuna maelezo ya kuridhisha.

Sasa Mwingira anapotoa shutuma zinazolingana na haya yaliyotokea, Simbachawene anashituka nini?

Yote yalitikea kipindi cha Awamu ya 5, Magufuli alipokuwa madarakani.

Serikali isisite kukubali kuwa Utawala Awamu ya 5 ulifanya mambo mengi ambayo ni kinyume ya Haki za Binadamu.
 
Kuna watu kesi zao za kusingiziwa zilifutwa baada ya jiwe kufa. Sasa waliowasingizia wenzao hizi kesi hasa zile za kumtukana jiwe wapo.

Visasi vinawahusi ni suala LA muda tu
 
Mimi si mpenzi sana wa " Nabii" , "Askofu" Josephat Mwingira kwani mambo yake mengi yana figisu nyingi.
Tuhuma alizozitoa Mwingira si ngeni kusikika, kuwa alinusurika kuuwawa na mali zake kuteketezwa.

Sisi wananchi tunashangazwa na unafiki wa wazi katika matukio hasi , ambayo yaliyiwahi kutokea huko nyuma Awamu ya 5.
Tungeoenda kumshauri Simbachawene aache unafiki wa kuchunguza yale tu wanayopenda na kuacha mengine mazito zaidi, kama ifuatavyo:

1.Tundu Lissu
Serikali ichunguze kupigwa risasi kwa mtu huyu. Mimi si mpenzi wa Lissu wala Chadema lakini ukweli hauna chama.

2. Ben Saanane
Serikali imelifumbia jicho tatizo hili, Simbachawene upo tu.

3. Kifo cha Lwajabe
Alikotwa Mkuranga eti kajinyonga, Serikali itoe majibu ya kuridhisha.

4. Kutekwa Mo, Roma Mkatoliki na wengine.
Ni hii hii serikali yetu pendwa ilikuwepo haya yakitokea, na hakuna maelezo ya kuridhisha.

Sasa Mwingira anapotoa shutuma zinazolingana na haya yaliyotokea, Simbachawene anashituka nini?

Yote yalitikea kipindi cha Awamu ya 5, Magufuli alipokuwa madarakani.

Serikali isisite kukubali kuwa Utawala Awamu ya 5 ulifanya mambo mengi ambayo ni kinyume ya Haki za Binadamu.
Lengo ni kutisha watu wasiongee ukweli
 
Legacy ya maovu yaliyotendwa, kuna viongozi hawataki yajulikane.

Kabisa, kila mtu anajua Magufuli alikuwa rais muovu,hata hawa akina Simbachawene wanajua hilo, wanachojaribu kufanya sasa ni kuficha ukweli wa yaliyotokea, kwani wanajua hata wao wako madarakani kwa uovu wake. Hivyo wanataka kila mtu ajifanye hakuna baya lililotokea, ili kuendelea kulinda uhalali wa serikali hii iliyopatikana kwa uhalifu wa kidola.
 
Mimi si mpenzi sana wa " Nabii" , "Askofu" Josephat Mwingira kwani mambo yake mengi yana figisu nyingi.
Tuhuma alizozitoa Mwingira si ngeni kusikika, kuwa alinusurika kuuwawa na mali zake kuteketezwa.

Sisi wananchi tunashangazwa na unafiki wa wazi katika matukio hasi , ambayo yaliyiwahi kutokea huko nyuma Awamu ya 5.
Tungeoenda kumshauri Simbachawene aache unafiki wa kuchunguza yale tu wanayopenda na kuacha mengine mazito zaidi, kama ifuatavyo:

1.Tundu Lissu
Serikali ichunguze kupigwa risasi kwa mtu huyu. Mimi si mpenzi wa Lissu wala Chadema lakini ukweli hauna chama.

2. Ben Saanane
Serikali imelifumbia jicho tatizo hili, Simbachawene upo tu.

3. Kifo cha Lwajabe
Alikotwa Mkuranga eti kajinyonga, Serikali itoe majibu ya kuridhisha.

4. Kutekwa Mo, Roma Mkatoliki na wengine.
Ni hii hii serikali yetu pendwa ilikuwepo haya yakitokea, na hakuna maelezo ya kuridhisha.

Sasa Mwingira anapotoa shutuma zinazolingana na haya yaliyotokea, Simbachawene anashituka nini?

Yote yalitikea kipindi cha Awamu ya 5, Magufuli alipokuwa madarakani.

Serikali isisite kukubali kuwa Utawala Awamu ya 5 ulifanya mambo mengi ambayo ni kinyume ya Haki za Binadamu.
Na hii ndio legacy wanayoililia sukuma gang sababu wanajua watu wengi waliumizwa na Sasa mambo yao waliyofanya gizani they are about to be unfolded.

Usione kelele za akina polepole na troop yake yote Wana agenda yao wanajua kabisa their days are numbered.
 
Na hii ndio legacy wanayoililia sukuma gang sababu wanajua watu wengi waliumizwa na Sasa mambo yao waliyofanya gizani they are about to be unfolded.

Usione kelele za akina polepole na troop yake yote Wana agenda yao wanajua kabisa their days are numbered.
Polepole amethubutu kusema anasikitika hakuwamaliza watu fulani.
Ina maana wasiojulikana anajua walitumwa wapi.
 
kuna kipindi hii nchi ilikwenda kufanana na mabutu seseko.
ila kutokana na nguvu za mwenyezi mungu kaondoa jambia ambalo lingekuwepo mpaka leo!.
tungeumia vibaya sana
 
Mimi si mpenzi sana wa " Nabii" , "Askofu" Josephat Mwingira kwani mambo yake mengi yana figisu nyingi.
Tuhuma alizozitoa Mwingira si ngeni kusikika, kuwa alinusurika kuuwawa na mali zake kuteketezwa.

Sisi wananchi tunashangazwa na unafiki wa wazi katika matukio hasi , ambayo yaliyiwahi kutokea huko nyuma Awamu ya 5.
Tungeoenda kumshauri Simbachawene aache unafiki wa kuchunguza yale tu wanayopenda na kuacha mengine mazito zaidi, kama ifuatavyo:

1.Tundu Lissu
Serikali ichunguze kupigwa risasi kwa mtu huyu. Mimi si mpenzi wa Lissu wala Chadema lakini ukweli hauna chama.

2. Ben Saanane
Serikali imelifumbia jicho tatizo hili, Simbachawene upo tu.

3. Kifo cha Lwajabe
Alikotwa Mkuranga eti kajinyonga, Serikali itoe majibu ya kuridhisha.

4. Kutekwa Mo, Roma Mkatoliki na wengine.
Ni hii hii serikali yetu pendwa ilikuwepo haya yakitokea, na hakuna maelezo ya kuridhisha.

Sasa Mwingira anapotoa shutuma zinazolingana na haya yaliyotokea, Simbachawene anashituka nini?

Yote yalitikea kipindi cha Awamu ya 5, Magufuli alipokuwa madarakani.

Serikali isisite kukubali kuwa Utawala Awamu ya 5 ulifanya mambo mengi ambayo ni kinyume ya Haki za Binadamu.
Dikteta kichaa aliharibu Nchi
 
Huyo Lwajabe inasemekana walimwingilia kinyume na maumbile, wakamchukua picha na video, wakamtisha akifanya chochote watavujisha, then wakamwachia arudi home!! Haikutosha, wakamtafuta tena na kwenda kummalizia huko Mkuranga!! Then kuna yule jamaa wa Ewura alinyongwa/jinyonga hotelini Sinza! Ulikuwa ni utawala wa Giza! Kuna yule dogo alipigwa misumari ya ugoko na Sabaya, kuna mwingine alikatwa sikio na huyo huyo Sabaya! Wizara ya Mambo ya Ndani ilibidi apewe mtu mcha mungu na aliyenyooka kama Balozi Katanga, watu wengi waliobebwa na uovu wa awamu ya 5 wangekimbia nchi hii!! Unfortunately wizara kapewa chapombe
 
Watakuja vijana wapenda vyeo na kusema haya uliyoandika ni upuuzi na kwamba hayana maana.

Hivi vitu vyote ulivyoorodhesha na ambavyo havijawa wazi kiukweli vimewaumiza sana sana watu.Wanatamani Mungu aje aweke wazi ijulikane na hatua wachukuliwe na Mungu mwenyewe na iwe kali.

Sio sawa kumuua binadamu mwenzako,si sawa.

Mungu atufumbulie
 
Back
Top Bottom