Tuache unafiki, Utawala Awamu ya 5 ulikuwa hatarishi!

Tuache unafiki, Utawala Awamu ya 5 ulikuwa hatarishi!

Kuna haja kama taifa kufuatilia Kwa ukaribu sana utimamu wa akili wa wagombea wa uongozi wa kitaifa

Bila kupepesa macho Magu hakuwa timamu kiakili.
Wenzetu wangesema alikuwa na mental disorder or insanity.

Hili kosa halitakiwi kujirudia tena katika maisha ya Watanzania.

Kama raia wema hatuna budi kumsamehe.
 
Mimi si mpenzi sana wa " Nabii" , "Askofu" Josephat Mwingira kwani mambo yake mengi yana figisu nyingi.
Tuhuma alizozitoa Mwingira si ngeni kusikika, kuwa alinusurika kuuwawa na mali zake kuteketezwa.

Sisi wananchi tunashangazwa na unafiki wa wazi katika matukio hasi , ambayo yaliyiwahi kutokea huko nyuma Awamu ya 5.
Tungeoenda kumshauri Simbachawene aache unafiki wa kuchunguza yale tu wanayopenda na kuacha mengine mazito zaidi, kama ifuatavyo:

1.Tundu Lissu
Serikali ichunguze kupigwa risasi kwa mtu huyu. Mimi si mpenzi wa Lissu wala Chadema lakini ukweli hauna chama.

2. Ben Saanane
Serikali imelifumbia jicho tatizo hili, Simbachawene upo tu.

3. Kifo cha Lwajabe
Alikotwa Mkuranga eti kajinyonga, Serikali itoe majibu ya kuridhisha.

4. Kutekwa Mo, Roma Mkatoliki na wengine.
Ni hii hii serikali yetu pendwa ilikuwepo haya yakitokea, na hakuna maelezo ya kuridhisha.

Sasa Mwingira anapotoa shutuma zinazolingana na haya yaliyotokea, Simbachawene anashituka nini?

Yote yalitikea kipindi cha Awamu ya 5, Magufuli alipokuwa madarakani.

Serikali isisite kukubali kuwa Utawala Awamu ya 5 ulifanya mambo mengi ambayo ni kinyume ya Haki za Binadamu.
Inasemekana AZORY GWANDA 'alitekwa' huko Kibiti na hakupatikana tena hadi leo!
Taarifa pekee iliyopo juu ya huyu mhanga ni ya waziri mmoja kutamka kuwa alitoweka na kufariki!!!

 
Kuna haja kama taifa kufuatilia Kwa ukaribu sana utimamu wa akili wa wagombea wa uongozi wa kitaifa

Bila kupepesa macho Magu hakuwa timamu kiakili.
Wenzetu wangesema alikuwa na mental disorder or insanity.

Hili kosa halitakiwi kujirudia tena katika maisha ya Watanzania.

Kama raia wema hatuna budi kumsamehe.
Kuna wana CCM damu damu kama mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza, nd Dialo, amesema bila kumung'unya maneno kuwa Magufuli alikuwa na faili Mirembe.

Sasa wananchi tunajiuliza, ni nanu ali circumvent(kuizinguka) vetting process?
Je, ni Mkapa?
Na ni kwa sababu gani?
 
Ili nchi isimame lazma wachache waumie .......... Lazma tuwaondoe wanaozuia jitihada

Magu alipiga kazi sanaaaa......hao waliopotea walikuwa wapinga maendeleo
 
Ili nchi isimame lazma wachache waumie .......... Lazma tuwaondoe wanaozuia jitihada

Magu alipiga kazi sanaaaa......hao waliopotea walikuwa wapinga maendeleo
Nchi inaendeshwa kwa Katiba, na kila mwananchi anayo haki.
Sasa kama mkuu unatetea watu " kuondolewa" , hii ni kwa mujibu wa kifungu kipi cha katiba?
 
Mimi si mpenzi sana wa " Nabii" , "Askofu" Josephat Mwingira kwani mambo yake mengi yana figisu nyingi.
Tuhuma alizozitoa Mwingira si ngeni kusikika, kuwa alinusurika kuuwawa na mali zake kuteketezwa.

Sisi wananchi tunashangazwa na unafiki wa wazi katika matukio hasi , ambayo yaliyiwahi kutokea huko nyuma Awamu ya 5.
Tungeoenda kumshauri Simbachawene aache unafiki wa kuchunguza yale tu wanayopenda na kuacha mengine mazito zaidi, kama ifuatavyo:

1.Tundu Lissu
Serikali ichunguze kupigwa risasi kwa mtu huyu. Mimi si mpenzi wa Lissu wala Chadema lakini ukweli hauna chama.

2. Ben Saanane
Serikali imelifumbia jicho tatizo hili, Simbachawene upo tu.

3. Kifo cha Lwajabe
Alikotwa Mkuranga eti kajinyonga, Serikali itoe majibu ya kuridhisha.

4. Kutekwa Mo, Roma Mkatoliki na wengine.
Ni hii hii serikali yetu pendwa ilikuwepo haya yakitokea, na hakuna maelezo ya kuridhisha.

Sasa Mwingira anapotoa shutuma zinazolingana na haya yaliyotokea, Simbachawene anashituka nini?

Yote yalitikea kipindi cha Awamu ya 5, Magufuli alipokuwa madarakani.

Serikali isisite kukubali kuwa Utawala Awamu ya 5 ulifanya mambo mengi ambayo ni kinyume ya Haki za Binadamu.


Hata mbele ya Mungu Mwendawazimu atasamehewa.
 
Mimi si mpenzi sana wa " Nabii" , "Askofu" Josephat Mwingira kwani mambo yake mengi yana figisu nyingi.
Tuhuma alizozitoa Mwingira si ngeni kusikika, kuwa alinusurika kuuwawa na mali zake kuteketezwa.

Sisi wananchi tunashangazwa na unafiki wa wazi katika matukio hasi , ambayo yaliyiwahi kutokea huko nyuma Awamu ya 5.
Tungeoenda kumshauri Simbachawene aache unafiki wa kuchunguza yale tu wanayopenda na kuacha mengine mazito zaidi, kama ifuatavyo:

1.Tundu Lissu
Serikali ichunguze kupigwa risasi kwa mtu huyu. Mimi si mpenzi wa Lissu wala Chadema lakini ukweli hauna chama.

2. Ben Saanane
Serikali imelifumbia jicho tatizo hili, Simbachawene upo tu.

3. Kifo cha Lwajabe
Alikotwa Mkuranga eti kajinyonga, Serikali itoe majibu ya kuridhisha.

4. Kutekwa Mo, Roma Mkatoliki na wengine.
Ni hii hii serikali yetu pendwa ilikuwepo haya yakitokea, na hakuna maelezo ya kuridhisha.

Sasa Mwingira anapotoa shutuma zinazolingana na haya yaliyotokea, Simbachawene anashituka nini?

Yote yalitikea kipindi cha Awamu ya 5, Magufuli alipokuwa madarakani.

Serikali isisite kukubali kuwa Utawala Awamu ya 5 ulifanya mambo mengi ambayo ni kinyume ya Haki za Binadamu.
Jeshi la Polisi Matukio yote hayo HAYAJAPATA UFUMBUZI MPAKA LEO halafu Wanataka Watu Wasiseme
 
Magufuli will remain the best president ever, he had a vision, he wanted to see immediate results, he hated negligence and corruption, he borrowed usable and repayable loans. Umeme tutauza mpaka nje, rail italeta faida sana mpaka kwa majirani, the shortcomings of its few executives cannot eliminate the good he has done for this country.


He did all that in expenses of human lives and prestiges --- we Tzs are not used to those fracases.

Do you see what Mama is doing??, that is what Magu was supposed to do.
 
Jeshi la Polisi Matukio yote hayo HAYAJAPATA UFUMBUZI MPAKA LEO halafu Wanataka Watu Wasiseme
Mbele ya macho ya wananchi jeshi la polisi kwa sasa limekuwa kama mwanasesere asiye na akili anayechezewa na wanasiasa kama wapendavyo.
 
Kabisa, kila mtu anajua Magufuli alikuwa rais muovu,hata hawa akina Simbachawene wanajua hilo, wanachojaribu kufanya sasa ni kuficha ukweli wa yaliyotokea, kwani wanajua hata wao wako madarakani kwa uovu wake. Hivyo wanataka kila mtu ajifanye hakuna baya lililotokea, ili kuendelea kulinda uhalali wa serikali hii iliyopatikana kwa uhalifu wa kidola.
Embu tuache chuki binafsi kwa JPM uovu wa wake ni issue ya Lissu na kuteketeza mali za mwingira na mbowe kila utawala una maovu yake mbona hamyasemi ya kina JK mnasubiri afe ndo muongee Mwagosi akitumbuliwa utumbo njee mbona hamsemi bomu lililouwa watu kanisani Arusha na mpaka leo mbona hamsemi akina kakobe walivunja ukuta wa kanisa mbona hamsemi gwajima kawekwa ndani na akina kova enzi zile nakupekuliwa nyumbani kwake mbona hamsemi tuache unafiki na chuki binafsi ila hata mumchafua vipi? Jpm ana watu na atabaki kuwa mfano kwenye nyanja za maendeleo kwenye nchi hii
 
Mimi si mpenzi sana wa " Nabii" , "Askofu" Josephat Mwingira kwani mambo yake mengi yana figisu nyingi.
Tuhuma alizozitoa Mwingira si ngeni kusikika, kuwa alinusurika kuuwawa na mali zake kuteketezwa.

Sisi wananchi tunashangazwa na unafiki wa wazi katika matukio hasi , ambayo yaliyiwahi kutokea huko nyuma Awamu ya 5.
Tungeoenda kumshauri Simbachawene aache unafiki wa kuchunguza yale tu wanayopenda na kuacha mengine mazito zaidi, kama ifuatavyo:

1.Tundu Lissu
Serikali ichunguze kupigwa risasi kwa mtu huyu. Mimi si mpenzi wa Lissu wala Chadema lakini ukweli hauna chama.

2. Ben Saanane
Serikali imelifumbia jicho tatizo hili, Simbachawene upo tu.

3. Kifo cha Lwajabe
Alikotwa Mkuranga eti kajinyonga, Serikali itoe majibu ya kuridhisha.

4. Kutekwa Mo, Roma Mkatoliki na wengine.
Ni hii hii serikali yetu pendwa ilikuwepo haya yakitokea, na hakuna maelezo ya kuridhisha.

Sasa Mwingira anapotoa shutuma zinazolingana na haya yaliyotokea, Simbachawene anashituka nini?

Yote yalitikea kipindi cha Awamu ya 5, Magufuli alipokuwa madarakani.

Serikali isisite kukubali kuwa Utawala Awamu ya 5 ulifanya mambo mengi ambayo ni kinyume ya Haki za Binadamu.
Kutekwa Kwa Dr ulimboka na kungolewa meno, kifo cha Dr Sengondo Mvungi Kwa kupigwa na shoka, kuuliwa Kwa mwangosi, kuuliwa Kwa wapita Barabara kipindi cha maandamano ya chadema ilikuepo ni awamu ya ngapi. Watanzania wanasahau haraka Sana
 
Kutekwa Kwa ulimboka, kifo cha Dr Sengondo Mvungi Kwa kupigwa, kuuliwa Kwa mwangosi, kuuliwa Kwa wapita Barabara kipindi cha maandamano ya chadema ilikuepo ni awamu ya ngapi. Watanzania wanasahau haraka Sana
Sio kwamba wanasahau wanajuwa sana ila lengo lao ni kumchafua JPM ila watu wanaijuwa historia ya nchi hii na JPM alitoa darasa nzuri sana watakwama tu
 
bibi yako na babu yko ndio mnajua hayo sisi tunachojua ametufumbua macho na wahuni kama nyie na kutuletea maendeleo yanayoonekana hata na kipofu sio mbwembwe za maneno tupu na kuzurura hovyo na kukopa kopa hvyo

Jifunze kwanza matumizi ya herufi kubwa na ndogo, kuweka koma na nukta, kisha ndio uje uongee na wanaume.
 
Sio kwamba wanasahau wanajuwa sana ila lengo lao ni kumchafua JPM ila watu wanaijuwa historia ya nchi hii na JPM alitoa darasa nzuri sana watakwama tu

Mtu mchafu anachafuliwaje?
 
Embu tuache chuki binafsi kwa JPM uovu wa wake ni issue ya Lissu na kuteketeza mali za mwingira na mbowe kila utawala una maovu yake mbona hamyasemi ya kina JK mnasubiri afe ndo muongee Mwagosi akitumbuliwa utumbo njee mbona hamsemi bomu lililouwa watu kanisani Arusha na mpaka leo mbona hamsemi akina kakobe walivunja ukuta wa kanisa mbona hamsemi gwajima kawekwa ndani na akina kova enzi zile nakupekuliwa nyumbani kwake mbona hamsemi tuache unafiki na chuki binafsi ila hata mumchafua vipi? Jpm ana watu na atabaki kuwa mfano kwenye nyanja za maendeleo kwenye nchi hii

Acha kuandika kwa kupanick mpaka huweki koma au nukta. Uzi huu ni kumhusu Magufuli, tumuongelee JK ili iweje? Ukitaka tumuongelee JK na uhuni wake anzisha uzi wake, ila kwa huu tunamjadili yule kiongozi muovu, hutaki jinyonge.
 
Acha kuandika kwa kupanick mpaka huweki koma au nukta. Uzi huu ni kumhusu Magufuli, tumuongelee JK ili iweje? Ukitaka tumuongelee JK na uhuni wake anzisha uzi wake, ila kwa huu tunamjadili yule kiongozi muovu, hutaki jinyonge.
Ni kweli mkuu.
Watu wengine wanataka kushindanisha uivu kwa uovu mwingine, adala ya kulinganisha matendo mema ya viongozi kwa wananchi wao.

Ati JK aliua mtu mmoja, Magufuli akiua watatu ni poa tu!
 
Acha kuandika kwa kupanick mpaka huweki koma au nukta. Uzi huu ni kumhusu Magufuli, tumuongelee JK ili iweje? Ukitaka tumuongelee JK na uhuni wake anzisha uzi wake, ila kwa huu tunamjadili yule kiongozi muovu, hutaki jinyonge.
Sawa nashukuru mkuu.ila vyombe peke ambavyo vinaweza kumuhukumu binadamu ni Mungu na mahakama tu.Je wewe ndugu yangu umepata nakala wapi ya hukumu kuwa JPM alikuwa muovu?.Au unataka kutupa msg kuwa ni mmoja wa wahuni ambao JPM aliiwashughulikia kisiasa na kiuchumi?.Nimetoa mfano ya JK ili mujuwe kuwa hakuna jambo geni kuwahi kutokea katika serikali na awamu zake ila nyie mnataka kutuaminisha kuwa yalitokea kwa JPM tu
 
Ili nchi isimame lazma wachache waumie .......... Lazma tuwaondoe wanaozuia jitihada

Magu alipiga kazi sanaaaa......hao waliopotea walikuwa wapinga maendeleo
Halafu akamalizia kwa kuliondoa dicteta kwa corona
 
Sawa nashukuru mkuu.ila vyombe peke ambavyo vinaweza kumuhukumu binadamu ni Mungu na mahakama tu.Je wewe ndugu yangu umepata nakala wapi ya hukumu kuwa JPM alikuwa muovu?.Au unataka kutupa msg kuwa ni mmoja wa wahuni ambao JPM aliiwashughulikia kisiasa na kiuchumi?.Nimetoa mfano ya JK ili mujuwe kuwa hakuna jambo geni kuwahi kutokea katika serikali na awamu zake ila nyie mnataka kutuaminisha kuwa yalitokea kwa JPM tu

Narudia tena, huu uzi ni kumhusu Magu, hao wengine wana nyuzi zao na sio kwamba kutokujadiliwa kwenye uzi huu ni wema. Isitoshe hata kama JK alikuwa na mouvu yake hayajafikia ya kiwango cha Magu.

NB: Hongera kwa kujitahidi kuweka koma na nukta, ila hili limeondoa ile shaka yangu kuwa wewe una tatizo la uandishi. Kwa sasa nimejiridhisha pasi na shaka kuwa ww ni kilaza halisi. Na wengi wa vilaza ndio mlimuelewa Magufuli bila kutumia akili zenu, bali kulingana na propaganda alizowalisha.
 
Back
Top Bottom