Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Kuna haja kama taifa kufuatilia Kwa ukaribu sana utimamu wa akili wa wagombea wa uongozi wa kitaifa
Bila kupepesa macho Magu hakuwa timamu kiakili.
Wenzetu wangesema alikuwa na mental disorder or insanity.
Hili kosa halitakiwi kujirudia tena katika maisha ya Watanzania.
Kama raia wema hatuna budi kumsamehe.
Bila kupepesa macho Magu hakuwa timamu kiakili.
Wenzetu wangesema alikuwa na mental disorder or insanity.
Hili kosa halitakiwi kujirudia tena katika maisha ya Watanzania.
Kama raia wema hatuna budi kumsamehe.