Tuache unafiki, Utawala Awamu ya 5 ulikuwa hatarishi!

Tuache unafiki, Utawala Awamu ya 5 ulikuwa hatarishi!

Usikwepe.
Aisifuye mvua, imemnyeshea.

Nyie ndo wasiijulikana, na Task Force iliyopora mali za wananchi na Bureu de Change.
Sasa mko juan, mnajidai kumsifu JPM kumbe mnasikitika kukosa uporaji.
Mliyaona madudu lakini mnajidai kusifia JPM maana mlifaidika nayo.
Sijawahi kubebwa na Rais yeyote wala kupewa ulaji au dhamana fulani.labda Mama akiongozwa na Mungu anikumbuke mimi ni mtafuta ridhiki kwa Jasho tu na uvumilivu wa dhiki. Tafadhali ndugu usinipe kashfa ambayo sijashiriki
 
Ulikua hatarishi namna gani mbona wewe bado upo kuandika unverified stories.
 
Kumbuka Samia alikuwa Makamu na Majaliwa Waziri Mkuu na Sirro IGP. Tuanze na hawa kwanza
 
Sijawahi kubebwa na Rais yeyote wala kupewa ulaji au dhamana fulani.labda Mama akiongozwa na Mungu anikumbuke mimi ni mtafuta ridhiki kwa Jasho tu na uvumilivu wa dhiki. Tafadhali ndugu usinipe kashfa ambayo sijashiriki
Mkuu tunapitua huu uzi na wachangiaji.
Michango yako haina criticsl analysis za pros and cons za utawala wa JPM.
Ni wazi kuna mema JPM alifanya na kuna maovu ambayo ni vyema yakawekwa wazi.

Sasa unapo sifu na kuabudu tu, logic inatuambia wewe ni mfaidika.
Usiruke viunzi.
 
Mimi si mpenzi sana wa " Nabii" , "Askofu" Josephat Mwingira kwani mambo yake mengi yana figisu nyingi.
Tuhuma alizozitoa Mwingira si ngeni kusikika, kuwa alinusurika kuuwawa na mali zake kuteketezwa.

Sisi wananchi tunashangazwa na unafiki wa wazi katika matukio hasi , ambayo yaliyiwahi kutokea huko nyuma Awamu ya 5.
Tungeoenda kumshauri Simbachawene aache unafiki wa kuchunguza yale tu wanayopenda na kuacha mengine mazito zaidi, kama ifuatavyo:

1.Tundu Lissu
Serikali ichunguze kupigwa risasi kwa mtu huyu. Mimi si mpenzi wa Lissu wala Chadema lakini ukweli hauna chama.

2. Ben Saanane
Serikali imelifumbia jicho tatizo hili, Simbachawene upo tu.

3. Kifo cha Lwajabe
Alikotwa Mkuranga eti kajinyonga, Serikali itoe majibu ya kuridhisha.

4. Kutekwa Mo, Roma Mkatoliki na wengine.
Ni hii hii serikali yetu pendwa ilikuwepo haya yakitokea, na hakuna maelezo ya kuridhisha.

Sasa Mwingira anapotoa shutuma zinazolingana na haya yaliyotokea, Simbachawene anashituka nini?

Yote yalitikea kipindi cha Awamu ya 5, Magufuli alipokuwa madarakani.

Serikali isisite kukubali kuwa Utawala Awamu ya 5 ulifanya mambo mengi ambayo ni kinyume ya Haki za Binadamu.
Waunde tume ya huru ya usuluhishi,wale waliotendewa ubaya wajitokeze wachunguzwe na ikibainika ni Kweli serikali itoe fidia.Ila Mwigulu ana siri kubwa mno,akiendelea kukaa nayo itamtesa mbeleni.Ben saanane na viroba vya maiti daah,hivi huwa anasali kweli yule jamaa?!
 
Waunde tume ya huru ya usuluhishi,wale waliotendewa ubaya wajitokeze wachunguzwe na ikibainika ni Kweli serikali itoe fidia.Ila Mwigulu ana siri kubwa mno,akiendelea kukaa nayo itamtesa mbeleni.Ben saanane na viroba vya maiti daah,hivi huwa anasali kweli yule jamaa?!
Ni kweli, sijui kwa nini hatujifunzi toka Afrika Kusini-The Truth and Recoinciliation Commission.
 
Tutaamini tuhuma zako ukienda mahakamani na kutoa ushahidi na hao watu kufungwa. Nje hapo ni majungu tu
Mahakama ipi nipeleke ushahidi? Hizi za CCM? Wacha kujifanya MPUMBAVU huku una familia inakutegemea
 
Mkuu tunapitua huu uzi na wachangiaji.
Michango yako haina criticsl analysis za pros and cons za utawala wa JPM.
Ni wazi kuna mema JPM alifanya na kuna maovu ambayo ni vyema yakawekwa wazi.

Sasa unapo sifu na kuabudu tu, logic inatuambia wewe ni mfaidika.
Usiruke viunzi.
Mimi ni binadamu nina moyo wa nyama.Naumia sana marehemu anavyosemwa vibaya as if na sisi hatukufa,ni kweli hakuna binadamu aliyekamilika ile sio utamaduni mwafrika kumnanga marehemu. Embu beba kama JPM angekuwa mazazi wako and then unasikia kila siku wanamnanga Je ungejisikiaje?. Tuwaonee huruma mke wake,mama yake mzazi,watoto zake,kila zake na dada zake.kwanza wanauchungu wa kupoteza ndugu yao halafu kila siku wa2 wanamnanga kwenye mitandao na vyombo vya habari Je? Huu ni ungwana?
1) Embu tumwombee apokelewa huko aliko na Mungu amsamehe

2) Tuwafariji wafiwa na kuacha kumnanga ndugu ya

Nyepesi ni kwamba JPM hakutaka kugombea urais ila tu wazee wa nchi nasikia walienda kumuomba hadi kwa mama yake mwishoni akakubali na kuchukua form time za majeruhu Leo kafa na wanasikia watz wanamnanga ivo Embu wanajisikiaje? Na wale walioenda kumwomba mzazi wake wanajisikiaje?.Hakuna aliye juu kifo wote tuko nyuma yake tutafuata
 
Bado bado,, tutawasikia wengi....ni swala la muda tu
 
Ukweli siku zote haufichwi Bali hucheleweshwa tu hata Yanga chawene anajua hivyo
 
Na hii ndio legacy wanayoililia sukuma gang sababu wanajua watu wengi waliumizwa na Sasa mambo yao waliyofanya gizani they are about to be unfolded.

Usione kelele za akina polepole na troop yake yote Wana agenda yao wanajua kabisa their days are numbered.
Akina pole pole naona Sasa
JamiiForums577259844.jpg
 
Matusi ya nini? Uwe mstarabu huu mchezo hauhitaji hasira
Basi tumia akili zako vizuri ili usitukanwe. Unauliza ushahidi wa uhusika wa Serikali ya Magufuli kwenye vifo vya akina Ben Saanane au kushambulia kwa Tundu Lissu, halafu tukuache hivi hivi?? Hapana

Mwisho utatuuliza tulete hata ushahidi wa jinsia yako
 
Basi tumia akili zako vizuri ili usitukanwe. Unauliza ushahidi wa uhusika wa Serikali ya Magufuli kwenye vifo vya akina Ben Saanane au kushambulia kwa Tundu Lissu, halafu tukuache hivi hivi?? Hapana

Mwisho utatuuliza tulete hata ushahidi wa jinsia yako
Kuna watu humu, ni wahusika wa moja kwa moja katika vitendo vya wasiojulikana.
Sana sana wanataka kudivert attention.
 
Mimi ni binadamu nina moyo wa nyama.Naumia sana marehemu anavyosemwa vibaya as if na sisi hatukufa,ni kweli hakuna binadamu aliyekamilika ile sio utamaduni mwafrika kumnanga marehemu. Embu beba kama JPM angekuwa mazazi wako and then unasikia kila siku wanamnanga Je ungejisikiaje?. Tuwaonee huruma mke wake,mama yake mzazi,watoto zake,kila zake na dada zake.kwanza wanauchungu wa kupoteza ndugu yao halafu kila siku wa2 wanamnanga kwenye mitandao na vyombo vya habari Je? Huu ni ungwana?
1) Embu tumwombee apokelewa huko aliko na Mungu amsamehe

2) Tuwafariji wafiwa na kuacha kumnanga ndugu ya

Nyepesi ni kwamba JPM hakutaka kugombea urais ila tu wazee wa nchi nasikia walienda kumuomba hadi kwa mama yake mwishoni akakubali na kuchukua form time za majeruhu Leo kafa na wanasikia watz wanamnanga ivo Embu wanajisikiaje? Na wale walioenda kumwomba mzazi wake wanajisikiaje?.Hakuna aliye juu kifo wote tuko nyuma yake tutafuata
JPM hakuwa na utofauti na shetani

1. Tundu Lissu kapigwa risasi. Wananchi wanataka kuchangia damu kuonyesha mshikamano Ili ndugu yetu apone yeye na police wake wanakataza. Inamaana hapo muhusika alikuwa ni yeye.

Mbaya zaidi akamnyima na pesa za matibabu na mshahara wa ubunge akamnyima mpk pension nayo kaizuia.

Kifo chake watu walifurahia sana

2. Watu kibao wasiokuwa na hatia waliuliwa na kutekwa kupotezwa.

Mtu kama huyo sio wa kawaida ni mbaya zaidi.

Mungu mkubwa kaliondoa tatizo
 
Magufuli will remain the best president ever, he had a vision, he wanted to see immediate results, he hated negligence and corruption, he borrowed usable and repayable loans. Umeme tutauza mpaka nje, rail italeta faida sana mpaka kwa majirani, the shortcomings of its few executives cannot eliminate the good he has done for this country.
Ubaya, Uovu na upumbavu wake unafuta kila kitu.
 
Waunde tume ya huru ya usuluhishi,wale waliotendewa ubaya wajitokeze wachunguzwe na ikibainika ni Kweli serikali itoe fidia.Ila Mwigulu ana siri kubwa mno,akiendelea kukaa nayo itamtesa mbeleni.Ben saanane na viroba vya maiti daah,hivi huwa anasali kweli yule jamaa?!
Simbachawene aunde hii tume ili wote wenye shutuma kama za Mwingira waziweke wazi.
Kuitumia Polisi kufutika ukweli haisaidii.
 
Back
Top Bottom